VIONGOZI 105 wa madhehebu mbalimbali ya dini kutoka nchi za ukanda wa Maziwa Makuu na Kusini mwa Afrika wamemtaja Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jeneralali Saidi Mwema kuwa anashika...
Jamani,
Hivi hotuba ya jk jana mjini Dodoma imeleta matumaini gani kwa chama chake cha ccm na wananchi kwa ujumla kuhusu mustakabali wa nchi yetu kiuchumi, kisiasa na kijamii??
Mh. Jakaya Kikwete,
Natanguliza samahani kama matumizi ya misemo ya taarab yatakukwaza. Sio kwamba mimi ni mmoja wa wale wanaoamini kwamba unapenda mipasho au wasaidizi wako kama Salva...
hivi ni kweli wapiga kura wa wilaya ya nyamagana/ile
mela ni wengi kuliko wapiga kura wa nchi ya zanzibar? vilevile madiwani wa bara kura zao ni sawa wabunge wateule wa nchi ya zanzibar...
Mheshimiwa JK,
Nakusalim!
Hii ni taarifa ambayo nategemea utaifanyia kazi haraka iwezekanavyo!
Nategemea utachukua hatua. Sitaki kuwa mnafiki na nafsi yangu imenisukuma kuwa mkweli...
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana kikiadhimisha miaka 34 tangu kianzishwe, zaidi ya wanachama wake 1,550 wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
......"I have no personal grudge against President Kikwete…people should understand that he is the lawful President of our country," Mr Mbowe told The Citizen by telephone.........
"We...
MKAZI mmoja wa Mbezi Juu, jijini Dar es Salaam, wamejiua kwa kujiteketeza kwa moto, kwa maelezo kuwa amechoshwa na maisha magumu yanayoambatana na kukabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni.
Marehemu...
CUF ni wanafiki sana. sana.
Unafiki wao unajionyesha wazi kwa jinsi walivyowasahaulifu na wepesi kujitetea ili mradi waonekane wao ndio wao. Wanajiaminisha kwamba CHADEMA wanawachukia au...
Kwa mshirikina, hata matatizo yenye chanzo kilicho dhahiri hudai kuna mkono wa mtu. Mfano kipindupindu kinapoikumba familia hajiangaishi na uchafu wa nyumbani kwake au kutochemsha maji ya kunywa...
Hivi kuna yeyote anayeweza kukubaliana na maneno ya JK aliyoyatoa jana kwa kusema eti na yeye Hakubaliani kabisa malipo kufanyika dhidi ya Dowans? Cha kujiuliza maneno aliyoyatoa Chiligati yalikua...
Nawakumbusha mumkumbuke Mungu, siasa weka pembeni twenden tukasali, tuliombee taifa letu na viongozi wetu, ili wawe na busara na moyo wa huruma kwa watanzania wenzao. Amen
WAKATI mkutano wa 11 wa Bunge ukitarajiwa kuanza keshokutwa mjini Dodoma, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahaha kuzizuia hoja binafsi za wabunge wa upinzani zisijadiliwe bungeni ili kulinda...
Nadhani itafika mahali mawazo kama haya yataanza kutolewa! Ili kuondoa migomo mashuleni na sehemu nyingine utasikia 'tuchapishe noti nyingi tuwape walimu na wanafunzi'. Kuna siku nilimsikia...
Heshma kwenu wachangiaji.
Wanajamii uarabuni kwa bahati ya miundombinu mizuri ya mawasiliano wameshirikishana nia zao na kusema sasa basi. Hatimaye uma utashinda. Swali labaki. Je? watawala hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.