Ukimya wake sasa wamponza
Wabunge CCM wamkoromea
SUALA la kampuni ya kufua umeme ya Dowans limemweka Rais Jakaya Kikwete njiapanda, MwanaHALISI limeelezwa.
"Sasa anapewa masharti kutoka...
Watu wote makini, wanakubaliana ya kuwa rais Kikwete hastahili hata kidogo kutuchagulia jopo la wataalamu wa kuratibu mchakato wa uandikaji wa katiba mpya. Hii inatokana na sababu zifuatazo...
Tokea mapinduzi ya Tunisia yatokee na sasa yanayo elekea kutokea Misri nimekua nikisoma maoni ya wanaJF mbali mbali ambao baadhi wao (sina uhakika kama ni wengi wao) wana hoji kwa nini hayo haya...
Kuna taarifa kua wamachinga jijini mwanza wamegoma kugama katikati ya jiji la mwanza ni hivi sasa polisi wana randaranda jijini humo tayari kwa kuwaondoa kwa nguvu endapo wataendelea kugoma...
Some of the Chinese national residing in Tanzania carry a paper dragon and dance up and down the Mnazi Mmoja Garden in Dar es salaam on Saturday.The event is part of festivities to mark the...
Nilikuwa safarini kuja tukuyu,abiria akaniambia segerea wana siku ya pili hawana umeme,nimeingia hapa tukuyu ni giza totoro! Bahati nzuri nna simu ya kitochi.Nadhani nchi imefilisiwa,njiani...
Saturday, 29 January 2011 08:33
0diggsdigg
Elias Msuya na Fredy Azzah
KIKIWA kinatimiza miaka 34 tangu kuzaliwa kwake Februari 5, 1977, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimelezewa kuwa, ingawa...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemrejeshea cheo cha Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Zitto Kabwe, na kupanga mikakati ya kukabili CCM katika mikoa yote nchini.
Uamuzi huo...
Chadema wagoma kuzungumza
Na Richard Makore
30th January 2011
Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana ilikutana Jijini Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali...
Nimekuwa nikijiuliza kwa nini watumishi wengi wanapoamua kugombea ubunge wanakimbilia ccm tu na si upinzani kama cdm hivi?wanaogopa?kwani sheria inawakataza kugombea upinzani?au kuna tatizo?na je...
Msijaribu tena ,kilichotokea Arusha kimetoa fundisho ,haswa pale mliposhindwa kuendelza mapambano ,inamaana CCM na serikali yake wamefanikiwa kuwazima na leo hii tumerudi kwenye amani na utulivu...
Siku 3 zilizopita nilikuwa na safari kwenda sehemu moja nchini , nilipomweleza rafiki yangu mmoja kuhusu safari hiyo mara moja akaniambia kama naenda nihakikishe sikai mwanza muda mrefu siku hiyo...
Inasikitisha sana kuona kuwa viongozi wengi wa afrika wamekuwa makupe wa madaraka, wakishaonja ikulu tu, inakuwa kama sumu sijui hasari? mimi hata sielewi, tena wengine wanasingizia kuwa...
Nani anaamini kuwa utawala wenye nguvu na kama wa IVORY COAST ...ya Gagbo ...ni historia... utawala wa TUNISIA wa Ben Ali na chama chake Tawala kilichokaa madarakani umeondoka ...sasa ndani ya...
Wakati hoja hiyo ikisugua vichwa vya wabunge, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) imesema serikali haitalitelekeza Shirika la Umeme nchini (Tanesco) iwapo litaamua kwenda Mahakama Kuu...
Kama ulibahatika kuona mdahalo wa katiba uliorushwa na ITV jumapili utagundua ni viongozi wa aina gani wanaoiongoza ccm na taifa. Hao ndio watawala wa CCM. Pius Mswekwa hawezi kuongea hoja...
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, amewashukia watendaji wa ofisi yake kwamba wanahatarisha maisha yake kwa kuvujisha siri za wizara hiyo.
Mkulo alitoa kauli hiyo baada ya gazeti hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.