Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Waziri mkuu aliachia ngazi kwa kashfa ya richmond nae ameongelea masuala mbalimbali yanayohusu nchi hii.Akiwa monduli katika hafla ya wahitimu wa chuo kimoja cha ufundi mjini humo Mheshimiwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kutokana na kile ambacho kinachotokea Duniani hivi sasa cha wananchi kuandamana na kutaka viongozi wao waliokaa muda mrefu waondoke madarakani imethibitika viongozi hao kutaka kuondolewa kwao ni...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wale aliodai Membe kwamba wamemkariri ndivyo sivyo na akadai wakiri makosa, je wameshakiri? Sijawasikia bado na wala Membe mwenyewe sijasikia amechukuwa hatua gani. Au wameishiana kiana tu kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yusuph Makamba Katibu mkuu wa CCM amenishangaza.Ilikuwa wakati akihojiwa na waandishi wa habari katika maandalizi ya sherehe za kuzaliwa kwa CCM.Ni pale aliposema eti lengo kuu la CCM ni kushinda...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
HUYU MEYA AMESOMA ALAMA ZA NYAKATI AKAONA ANAPWAYA MEYA wa Manispaa ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, Samweli Kisabwiti kupitia CCM ametangaza kujiuzulu wadhifa wake, zikiwa zimepita siku 45 tu tangu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanaJF, Nimetafakari sana kauli za hivi karibuni za hawa wanaojiita watoto wa JK, Makamba, Sumae, Mzindakaya, Lowasa, Msekwa etc. wakiongozwa na redio na TV ya propaganda kama Clouds...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika hali ambayo mie siielewi ni ile ya mtu mmoja kuwa na madaraka nyeti kana kwamba yeye pekee ndo kaenda shule. Au ndo tuseme serikali inabana matumizi kwa kumneemesha mmoja tu alafu wengine...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi wadau, hii serikali ni ya nani? Ni serikali ya rais (kwa sasa JK) au ni serikali ya watanzania? Maana kuna speech moja rais anajitetea kuhusu kupitisha barabara kwenye hifadhi ya taifa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu Zangu, HUTOKEA, kuku akimdaka panzi mdomoni, basi, ukimwandama ukimpigia kelele. Kuku huyo atakimbia na panzi wake mdomoni . Mara ile atakapoona umesitisha kumfukuza , na kelele...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KILA SIKU,UKIFUNGUA JAMII FORUM UTAKUTANA NA THREAD TUANDAMANE,CHADEMA ANDAENI MAANDAMANO,VYOMBO VYA HABARI HAMASISHENI MAANDAMANO NK NAFIKIRI NI WAKATI UMEFIKA SASA SISI WENYEWE TULIOMO HUMU...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
South Africa part of AU's Ivory Coast panel | News by Country | Reuters Swali, hivi hii imekaaje?... Mon Jan 31, 2011 10:54am GMT ADDIS ABABA Jan 31 (Reuters) - The presidents of South...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu ninacho jifunza kutoka kaskazini ya Africa ni kama tulivyo wavumilivu sisi watanzania, nao pia walivumilia sana tena wao wanaviongozi ambao ni madictator kuliko tulio nao sisi kwetu africa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
source RadioONE
0 Reactions
14 Replies
2K Views
US to give $2m for farm project Source: The Guardian By Correspondent - 31st January 2011 Tanzanian President, Jakaya Mrisho Kikwete The US Administration announced will contribute...
0 Reactions
2 Replies
814 Views
Hivi kwanini Tanzania hakuna utamaduni wa kuwajibika mtu unaposhindwa kazi? Angalia matokeo ya form four: Matokeo ya ajabu sana haya. Division one: 5,363, Divison two: 9,942; Division three...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi wadau, nani anafahamu kwa nini kuna mgao wa umeme sasa hivi? Kama kuna wafanyakazi wa TANESCO humu ndani, tunaomba watusaidie kujibu hili pia. Je kuna upungufu wa kina cha maji? Au kuna...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
UVCCM kaeni vikao vya chama, mumshauri Raisi ambaye ni mwenyekiti wa chama chenu, mshaurini atoe elimu bure kwa wananchi wa Tanzania. Kuanzia chekechea mpaka university, mbona kenya na uganda...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Hakuna jeshi linaloweza kuzuia nguvu ya umma
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nadhani wasioelewa wanaweza kuongea hisia zao na wasiongee ukweli wa mambo, wakijaribu kuunganisha na maswala mengine hasa yale yanayohusu maisha binafsi. DOWANS ilikuwa kampuni na ilifanya kazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huu ndiyo ukweli na haihitaji kufanya utafiti wa ndani kujuwa hili kwa Mh.Freeman Mbowe, Mwenyekiti m-babe wa chadema, kiongozi wa upinzani bungeni na mfanyabiashra wa kibepari Tanzania akiwa ni...
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Back
Top Bottom