Wakuu taarifa za uhakika ni kwamba tangu wiki iliyopita watu kadhaa wametiwa mbaroni katika idara za serikali na watu binafsi kwa kosa la kusambaza picha inayoonyesha kiwilili cha kike lakini...
Nampa ushauri wa bure Waziri wa Ujenzi za kuondoa kero ya foleni Dar es Salaam. Kujenga barabara kila kona sio suluhisho la kudumu, kila siku watu wanaongezeka na kuingia Dar es Salaam. Kifuatacho...
Mgaya wa TUCTA ameandaa ya kwake na hataki wanasiasa waingilie anadai wasije kuingiza mambo ya siasa kupitia wao na maandamano yake yanashonewa sare kabisa wakati wanaoteseka ni wananchi wengi...
NAULIZA CHEO CHAKE KWANI MAMBO YOTE MABOVU ANAYAFANYA YEYE HII NI PAMOJA NA KUGOMBANISHA WATU,KUDHULUMU,KUMUUNGANISHA KIKWETE NA WAGANGA,NA MENGINE KIBAO. SASA TUAMBIWE KAMA SERIKALI YETU...
wadau,kitu ambacho kila siku najiuliza bila kupata majibu ni kazi ya CDA,yaani hawa watu hakuna chochote wanachokifanya labda hawajui maana ya USTAWIASHAJI,hebu angalia:1.Stendi kuu ya...
Watu wengi wamekuwa wakimtuhumu sana Rostam Aziz kwa hujuma mbali mbali kwa nchi yetu. ukichunguza kwa undani, katika hujuma zote hizo zinazoelekezwa kwa R.A na CCM ina mkono wake humo...
Machinga Complex haina watu, Shule za Kata Hazina wanafunzi, Mahospitalini, hatuna madawa, Madaktari hawatoshi, umeme full mgawo, yaani wasipokata tunashangaa,matokeo ya kidato cha nne shule za...
Naangalia aljazeera live. Wamisri bado wanazidi kuhamasika na maandamano. Inasadikika wanakaribia milioni moja kwenye viwanja vya tahrir. Madai yao ni kwamba wanataka mubarak angatuke na pia...
Hi! Wana jf
najaribu kutafakari na kujiuliza sipati majibu.nimezoe kila ifikapo mwisho wa mwezi jk anakawaida ya kuhutubia taifa.hotuba ambayo mara nyingi hujibu maswali ambayo wananchi...
1. Viongozi hupingana hadharani
2. Watu hukata tamaa na kuwa tayari kufanya lolote
3. Wasomi na wafanyakazi hujipambanua wazi kukipinga chama au serikali
4. Tofauti kubwa ya kipato kati ya...
Nimesikitishwa sana kuona Zakia Meghji kuwa mbunge wa kuteuliwa. Huyu ni yule aliyeidhinisha ukwapuaji mabilioni pale BOT kupitia Kagoda . Kwa mara ya kwanza alipohojiwa na kampuni ya auditing ya...
Ndugu wana JF. Umachinga ambao serikali yetu imekuwa ikiutukuza ni bomu kubwa na linalosubiri kulipuka. Kwenye kampeni yake ya urais Dr. Dr. Dr. Kikwete alitangaza kuwa atajenga machinga complex...
Kila leo nasikia UVCCM wakisema wanataka viongozi wa serikali wafocus na kazi na wanataka CCM isije ikawa chama cha upinzani. Hivi UVCCM ni chama kingine cha siasa? Hili si Tawi la CCM/TANU? Mbona...
Hoseah abanwa kuhusu Dowans Send to a friend Monday, 31 January 2011 20:25 0diggsdigg
Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward Hoseah
Ramadhan Semtawa...
Mama Maria: Kuilipa Dowans tatizo kubwa
* Ataka CCM, wanachama watafakari kabla ya kulipa
Na Daud Magesa, Butiama
Majira
MJANE wa Hayati Baba wa Taifa...
Ilikuwa ni siku ya tarehe 31/01/2011 ndani ya manispaa ya kinondoni katika kikao cha kamati ya fedha kinachoshirikisha wabunge wote na baadhi ya madiwani....... wakati wanakamati wakipitia taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.