Wameshindwa ku-manage ipasavyo website sasa wamekuja na hii...sijui nchi ni sawa kutokuwa na website madhbut na kuwa na blogu badala yake?...mimi naona ni kama ya Salva tu......
Ikulu Mawasiliano
Katika hali inayoonyesha kujihami zaidi na kutegemea nguvu za dola serikali ya Tanzania imeendelea kuboresha masilahi ya Askari Jeshi huku watumishi wengine na wananchi wakiwa hoi.Inaelezwa kuwa...
Hakielimu: Siasa zimeathiri matokeo kidato cha nne
Saturday, 29 January 2011 08:55 0diggsdigg
Mkurugenzi wa Shirika la Haki Elimu, Elizabeth Missokia akizungumza katika mkutano na...
Jana nilikuwa ofisini kwangu, mara akaja mzee mmoja maarufu sana na alishawahi kugombea ubunge jimboni kwake akapigwa chini typically huyu mzee ni mwanachama mtiifu wa CCM, nisiendelee sana...
Ndugu Wana JF,
Katika kupitia sera za Chadema wakati wa uchaguzi mkuu mojawapo ilikuwa kutoa elimu bure kuanzia awali hadi high school na sera hiyo ilikuwa mwiba mchungu kwa wana ccm,
Hivyo...
Chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimesema hakiko tayari kukishirikisha chama kilichoko serikalini kwenye kambi ya upinzani. Katibu mkuu wa chama hicho amesema chama hicho cha chadema...
Chama cha Mapinduzi huwa kina mteuwa mgombea wao wa uraisi mnamo mwezi wa tano wa mwaka wa uchaguzi. Vyama vingine havi teuwi mgombea na mgombea mwenza wao mpaka kwenye mwezi wa nane au wa tisa...
Mfuko wa surali ya Rostam Aziz ni mkubwa sana kiasi cha kuweza kuiweka serikali ya ccm na cc yake mfukoni. Lakini, Samweli Sitta na Mwakyembe ni wanene sanakiasi kwamba wameshindwa kuwekwa ndani...
Nipo Musoma Mjini kuna Gari linatembea likipiga Muziki ya TOT na kuwatangazia watu kuwa Kesho Mchana Spika Mstaafu Bw. Msekwa atautubia wakazi wa Musoma na Vitongoji vyake juu ya hali mstakhabali...
Mimi nachangazwa na Chadema kufanya hasira na chama cha Cuf kwaa jili wameunda Serekali ya kitaifa Zanzibar, Jee walipokuwa Wzanzibar wakisagwa na Jeshi la Tanganyika lililoko Zanzibar Chadema...
Serikali ilitangaza kubinafsishwa kwa kiwanda cha nyuzi Tabora miaka kadhaa iliyopita, na kweli wakaja Wahindi ambao walionekana pale wakiendesha shughuli za uzalishaji. Kiwanda hiki kiliendelea...
A special envoy dispatched to Egypt by President Barack Obama told Egyptian President that the U.S. saw his presidency at an end and urged him not to seek another term in office while preparing...
Tunaelewa na ipo katika katiba ya nchi kwamba kazi za Wabunge na Bunge ni KUTUNGA SHERIA na KUISIMAMIA SERIKALI, kifupi ni kuwakilisha wapiga kura wake bungeni, pale ambapo serikali inagawa...
Ni kipindi cha maoni yako, wanatoa kilio cha matokeo mabovu ya form four
Source: http://www.radiomaria.org/media/start.asp?SOURCE=tanzania&TITLE=tanzania
:peace:WAPIGANAJI KATIKA VYUO.MIGOMO NA MAANDAMANO PEKEE NDIYO SULUISHO.TUKIMALIZA SEHEMU MOJA TUNAKWENDA NYINGINE. SASA RUSHA RATIBA NA HAKUNA KUKATAA MIGOMO.HATA HUU WA WATOTO WA MAFISADI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.