Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nidhahiri kwamba nguvu ya umma ndiyo njia pekee ya kuwang'oa madikiteta wa demokrasia kwani imeonekana hakuna uchaguzi unaokuwa wa huru,hivyo mageusi ya siasa za afrika nimaandamano bila hivyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mara nyingi Viongozi wanapochaguliwa ama kuteuliwa utakuta wanaapa kwa kutumia vitabu vitakatifu,yaani kama Muislamu utaapa kwa Quraan na Mkristo ataapa kwa biblia.Sasa swali linakuja wanajamii...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani hata serikali ya China nao wameshaanza kuingia woga kutokana na yanayoendelea kule Egypt!! Everybody's talking about a revolution. Except, that is, in China. As the unrest in Egypt...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajameni, leo kwemye taarifa ya usiku saa 2 mbona sijaona TBC wakionyesha maandamano ya Misri? Ndo kusema hayana umuhimu wowote? Nawasilisha?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa wale wasikilizaji wa mara kwa mara wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Ujerumani (DW) mnaonaje hakuna harufu ya udini pale? Sina haja ya kutaja udini wenye umeegemea wapi.
0 Reactions
28 Replies
14K Views
Nimekuwa nikisoma habari za kesi ya Bwana Liyumba kupitia magazeti mbali mbali,likiwemo Tanzania Daima ambako mwandishi Happyness Katabazi ndiye anayeripoti masuala ya mahakamani. Uandishi wake...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Jamani nina uchu wa kujua haya yafuatayo: 1) Suala la uchaguzi wa Meya wa Arusha kurudiwa limefikia wapi? Je Chadema wamechukua hatua gani za ziada baada ya maandamano ili kuendeleza msimamo wao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Son: "Daddy, I have to write a special report for school, but I don't know what Politics is." Father: "Well, let's take our home as an example. I am the bread-winner, so let's call me...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Botswana has 3 major mineral resources, namely diamonds, copper/nickel and soda ash all of which contribute significantly to GDP and exports. Diamonds, with dwarf all others, contribute...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana katika idara zote za serikali kuliko hata ile iliyowahi kuripotiwa wakati wa uchaguzi. Chanzo cha kuaminika kutoka idara moja nyeti kinasema wamepelekewa waraka...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
There are those people, who thought that CCM will relinquish power on a platter, they were wrong. They never knew that CCM thugs are used to power and they will do anything possible under the sun...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
The University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly (UDASA) Welcomes you all to A Panel Discussion on The Truth about the Dowans Issue Date...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani wanajf naomba kuuliza chama gani kati ya chadema, cuf na nccr kitakuwa mpinzani mkuu wa ccm mwaka 2015 maana chadema kinaanza kuandamwa na mikosi mara zito kabwe mara mbowe mara dk slaa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
CCM yaibuka na ushindi mnono Monday, 31 January 2011 19:35 administrator NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA CHAMA Cha Mapinduzi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wale wenye madukuduku yao, na wale wenye ushauri kwa serikali gonga hapo chini Ikulu Mawasiliano
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeanza na kichwa cha habari cha kusisimua zaidi kama ilivyo kwa kawaida ya baazi ya magazeti yetu kuandika kichwa cha habari kizito kwa habari nyepesi na wakati mwingine habari kutokuwa na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
NCCR calls for fresh exam marking By DAILY NEWS Reporter, 30th January 2011 @ 15:00, Total Comments: 0, Hits: 56 NCCR-Mageuzi has requested the government to critically examine the just...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
0 Reactions
0 Replies
5K Views
:peace:migomo imekuwachachu na msukumo wa mageuzi katika nchi. kupitia Jf tunapenda kuwaalika ni namna gani tunaweza kufanya migomo na maandamano yenye mafanikio.pia migomo itaanza mwezi huu mpaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ningependa kumuona mpiganaji samuel 6 akijiuzuru uwaziri afu akakitema chama cha mafisadi(ccm) na kujiunga chadema ili aongeze nguvu maana mwaka 2015 tunajiandaa kuchukua nchi tukiwa na watu...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Back
Top Bottom