Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
• Asema wananchi wataichukia CCM daima na Waandishi wetu SAKATA la serikali kutaka kuilipa mabilioni ya fedha kampuni ya Dowans, limeendelea...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Africa ni moja,matatizo yetu yanafanana,mfano kilichowafanya vijana wa Tunisia na Misri kuingia mitaani is the same as to what we are facing in our country; ufisadi, ukosefu wa ajira, bei ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina ham nayo sana. Leo nitasikiliza kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe. Kama haitokuwapo sitakaa nisikilize tena maisha! Je itakuwapo? Hotuba?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jukius Mtatiro, Naibu Katibu Mkuu wa CUF ametangaza maandamano hapa Dar ya kupinga kulipwa Dowans. Kasema yataongozwa na Profesa, kuanzia Buguruni hadi Kidongo Chekundu ambako yatahutubiwa na...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Kikwete na viongozi wa Afrika hatimae wameenda kumzungumzia Gbgbo wa Ivory Coast. Raisi aliejipatia ushindi kupitia Tume ya Uongo kama hiyo ya Kikwete. Kikwete na wenzie kama Mugabe na Museven na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
The Corruption Perception Surveys (CPS) report published by the Concern for Development Initiatives in Africa (ForDIA) has indicated increasing levels of corruption in Tanzania during 2010...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Imefika mahala chadema kuanza kuongoza mabadiliko ndani ya nchi yetu lakini chadema hawaonekani kuijua nafasi hii, nchi nzima asilimia kubwa wanapinga kuhusu swala zima la DOWANS hii ni hot cake...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
YouTube - CUF kupinga Dowans,wamachinga waandamana
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani siku hizi nalala nimechoka sana nikiwaza jinsi tunavyodhurumiwa na baaadhi ya wenzetu. Sasa naomba kuuliza swali moja hivi kubadirika badirika kwa majina ya makampuni ya simu na mahotel ni...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
UVCCM hivi sasa wanakutana na wanafunzi wa UDSM ktk ukumbi wa Vijana Social Hall Kinondoni na hapo Riz1, Bashe na Shigela wametoa matamko mazito dhidi ya serikali. Wamerudia kama yale ya tamko...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Kwa wale wanaofuatilia maswala ya kisiasa nchini, nadhani mtakubaliana nami kwamba Rais wetu Mpendwa Dr. JK hawezi kuliacha taifa letu tukufu la Tanzania lipatwe na majanga ya Tunisia na Misri. JK...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wajameni hali ya mambo inavyoendelea naskia tetesi kuna maagizo ya kulifungia mojawapo ya magazeti kati ya The Citizen au The East African! Kuna nguvu kubwa inaelekeza hayo yafanywe ikumbukwe The...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yes we have our disagreements kila kukicha lakini inaniuma tena sana kuwa natazama Obama anazungumza kwenye STATE OF THE UNION ADDRESS and i feel ashamed to admit kuwa I'm getting inspired by...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo. Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa...
0 Reactions
67 Replies
7K Views
Katika kile kinachoonekana kama kukimbia kivuli cha mwanachama wake na naibu katibu mkuu Mh. ZITTO KABWE kwa kukubali kumrudishia cheo chake na naibu wa kiongozi bungeni , CHADEMA yaonekana kabisa...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Jana wakati naangalia taharifa ya habari ya ITV saa mbili usiku nikakutana na taharifa ambayo kidogo sikuielewa au ilinichanganya kumkichwa. Eti Prof.shivji na Jen.ulimwengu walikuwa wanawaambia...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
30th January 2011 Rais Jakaya Kikwete Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelist Assembly of God, (EAGT), Mosses Kulola...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
NIMESIKITISHWA SANA NA UKIMYA WA VIONGOZI WA TUCTA. MPAKA SASA WAFANYA KAZI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE AWAJAPATA MSHAHARA WA JANUARY. JE FEBRUARY WANAENDA KAZINI KWA BUDGET GANI? AU NDIO NJIA YA...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
By Samuel Kamndaya, Dodoma Nearly Sh10 billion has vanished from the bank account of Tanzania Railway Limited (TRL), as the foreign concessioner, Rites of India, threatens to abandon the...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna tetesi za kujiuzuru meya wa manispaa ya sumbawanga bwana kisagwite(ccm). Nafuatilia uzuri, saa5 asubuh kesho inshalah ntawapa full data.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom