Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu wana jamvi nimekua na mjadala na baadhi ya wa2 kuhusu viongozi wadhambi wa africa, tulipofikia habari za bokasa,wanasema alianza kama rais then akaamua kujibadilisha na kua mfalme na baadae...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Saturday, 29 January 2011 09:35 0diggsdigg Lilian Lucas,Morogoro KAMATI Kuu ya Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu), imeiomba serikali kutekeleza ahadi yake kuhusu kuvunja mkataba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni CCM au Raisi ? Kipimo cha wanaoondolewa kwenye madaraka kwa nguvu za umma ni viongozi waliokaa madarakani kwa mida mwingi sana. Kwa hapa kwetu Raisi aliepo madarakani huwa hatimizi zaidi ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mji wa Mwanza leo umezizima kwa masaa takribani matano baada ya Wamachinga kuteka mitaa yote ya katikati ya jiji. Uongozi wa Jiji la Mwanza umevunja vibanda vya Wamachinga katika operesheni...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wadau -- kama mme-notice jiunsi siku zinavyoenda, ndiyo jinsi CCM inavyozidi kuchukiwa na wananchi. Ukiangalia vipindi vingi vya TV (mfano: Jiji Let/Hapa na Pale vya ITV) utaiona hasira ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sakata la Dowans, nani alaumiwe ? Rais Jakaya Kikwete 3937 77% Baraza la mawaziri 377 7.4%...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Katika moja ya hotuba zake, Baba wa Taifa Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa chama goigoi huzaa serikali goigoi. Je, mwenendo wa nchi hivi sasa unaashiria kutimia kwa maneno hayo ya Nyerere?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
YouTube - dedichijr's Channel
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kenya wins round one as AU buys motion Published on By Lucianne Limo The African Union has successfully begun the process of seeking to defer the cases filed at the International...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wandugu poleni na mchoko wa siku nzima, Kumbe na sisi tukiamua tunaweza tumeona Tunisia, Misri na kinachofuata...............tuchangia mada hii wandugu,Nasema tena DOWANS tumechokaaaa pesa za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam kwenu wana Jamvi, Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekaribia kuanza mwezi february wiki chache zijazo. hamu yangu kuu ni kuona sura halisi ya spk Anna Makinda katika...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Mafisadi Tanzania Wanyongwe - Community | Facebook 2. President Jakaya M. Kikwete MUST Resign - Non-Profit Organization - Founded: January 5th, 2011 | Facebook 3. F'uck Jakaya Kikwete...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Ilikuwa Richmond, sasa Dowans na habari nyeti nilizozipata leo ni kuwa imeshauzwa na itaitwa CPS Energy na deni lao lipo palepale na litalipwa fasta. A United States-based company, CPS Energy...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
Tunaijua ndiyo. Hatuitaji Kamati wala Tume: Katiba ya sasa inaruhusu polisi kufyatulia risasi za moto na kuuwa raia na "upelelezi unaendelea" Katiba ya sasa inaruhusu ufisadi kama huu wa...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Kuna taarifa kua wamachinga jijini mwanza wamegoma kugama katikati ya jiji la mwanza ni hivi sasa polisi wana randaranda jijini humo tayari kwa kuwaondoa kwa nguvu endapo wataendelea kugoma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimepitia matokeo ya kidato cha nne na kugundua kwamba robo tatu ya wahitimu katika shule za sekondari za kata zilizojengwa kidhaifu na kuwekwa kidhaifu bila walimu bora, vitabu, na maabara...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauliza wadau: Hivi serikali ya CCM ina kitu gani cha kuwapa wanafunzi wanaomaliza shule zaidi ya umachinga? Hawa maelfu ya wanafunzi wa Kidato cha 4 waliofeli, na hata waliofaulu, kitu kikubwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WADAU wa kilimo cha pamba nchini wakiwamo wamiliki wa vinu vya kuchambulia wameshitakiwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi ya Pamba mjini Liverpool, Uingereza, baada ya kushindwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WanaJF, Jana kwenye matangazo ya BBC nilisikia wakisema kuwa gharama za kuhudhuria mkutano wa World Economic Forum huko Davos zinaanzia $71,000 hadi $300,000 (kama sikosei) kwa kichwa. Leo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom