SERIKALI imeondoa posho ya upepelezi na nyumba kwa askari polisi bila maelezo katika mishahara ya miezi ya Desemba 2010 na Januari mwaka huu, Mwananchi limebaini.Habari zilizolifikia gazeti hili...
Amesema: "kutokana nayanayoendelea kutokea katika baadhi ya nchi za Afrika Kama Tunisia, Misri, Ivory Coast, na hata yanayoendelea Algeria, viongozi wetu wanatakiwa kuwa makini, kwani ni wazi pia...
ASKOFU wa kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Dayosisi ya Iringa Dkt Owdenburg Mdegella (pichani)amedai kuwa utendaji mbovu wa baraza la mawaziri la serikali ya awamu ya tano chini...
Ndugu zangu zana halisi ya ubunge ni kusema kwa niaba ya wapiga ambao hawana uwezo wa kusema,Mhe Mosse Machali kasuli mjini amemuunga Mhe cheo mkono kwa kazungumzia matatizo ya wananchi bila...
Kila siku ukiangalia mada zinazorushwa hapa JF dhidi ya Rostam Aziz zinalenga zaidi kwenye chuki. Imepelekea hadi baadhi ya watu kusahau kwamba huyu jamaa ni mwanadamu kama tulivyo sisi. Wengi...
Msuya: Kuna uwezekano CCM kung'olewa
Na Tumaini Makene
WAZIRI Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Bw. Cleopa Msuya amesema kwa jinsi vuguvugu la kisiasa lilivyo kwa sasa nchini, si ajabu...
TAARIFA YA KIKAO MAALUM CHA USURUHISHI WA MGOGORO
WA CCM TAWI LA MAREKANI KILICHOFANYIKA
KATIKA UKUMBI WA SAFARI-HOUSTON TEXAS, TAREHE 02/Januari/2011
WAJUMBE WALIOHUDHURIA
1. Frank...
Jamani wana Jf hebu naomba mnifahaamishe kwa kuzingatia makundi na mivutano ya hapahapa ndani ya chama tawala CCM naamini hivi sasa kuna kambi ambazo zimeshaanza mikakati ya chinichini kuelekea...
Wana JF naamini wengi wetu tulisoma lile tamko la vijana wa CCM kuwa wanataka mjadala wa Dowans urudishwe bungeni ili umma ujue mmliki wake ni nani. Swali likawa Je, nani kawatuma hawa vijana...
Hamad Rashid alikuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ( bunge la tisa) 2005-2010.Kwa wakati huu wa bunge la kumi ambapo Chadema wamepata uhalali wa kikanuni wa kuunda kambi ya upinzani...
Wakati huo huo, maandamano ya Tucta yaliyotarajiwa kufanyika Januari 29 mwaka huu yameahirishwa hadi Februari 12 mwaka huu.
Hatua hiyo inatokana na Shirikisho hilo kushindwa kurekebisha mambo...
Baada ya siku 3, yalifanyika hitma ya marehemu. licha ya kuwa chadema sio chama cha kidini, lkn utu ni bora kuliko kitu, lkn kuna taarifa kwamba Chadema hawakumuwakilisha kiongozi yoyote katika...
Mabalozi pia waandikiwa Barua za kuomba hela, baadhi washangaa kwani hawajawahi kusikia tangu wazaliwe
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, (IGP) Said Mwema.
SERIKALI imeondoa posho ya upepelezi...
personally nawashukuru mlio design hii kitu but what am i discouraged is some of information are not true yani mtu anakaa afu analeta info ambazo chanzo utata sasa if we are great thinker kweli...
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa arusha amepandishwa kizimbani leo,akiunganishwa na kesi inayowakabili viongozi na wabunge wa chama hicho,kuhusu tukio la tarehe 5.
Ndg zangu kila napotafakari kuwa DOWANS wameshawasilisha hukumu yao mahakama kuu kwa ajili ya usajili na kulipwa hakika na kosa raha na nakata tamaa na nchi yangu pendwa ya Tanzania. kama wadau...
Ndugu wana jamvi kwa mtazamo wangu kikwete anawalipa deni lao waliomuweka madaraani yaani EL na rafiki yake RA. Kwa wafadhili hawa EL na RA wanataka malipo yao sasa Kikwete anawalipa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.