Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ni wakati wa serikali kufungua macho kuona jinsi shule za kata zitakavyoleta ukabili'mtu anazaliwa hapo anasoma toka chekechea, primary ,secondary' hapo kwenye kata anasoma na jamii ya aina moja...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Wadau, nimeangalia shule moja yenye jina la Yusuph Makamba, na pale watoto waliopata zero wapo 314 (mia tatu na kumi nne)hivi; Unajua bwana haya mambo ya kutaja shule fulani majina ya watu fulani...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
There was a “little explosion” weekday at the Post Hotel Morosani in Davos, Switzerland, which is hosting the high-powered period World Economic Forum this week, personnel there said. RELATED...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF, Hii tabia ya viongozi wetu kutokuwajibika imeota mizizi sana. Tumeiendekeza mpaka sasa imekuwa ni kawaida. Kwa mfano, Leo tarehe 27.01.2011 kuna taarifa hizi; 1. Watu 3 wamekutwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mheshimiwa alisema yafuatayo: 1. Amepita bila kupingwa, ndo imetoka hiyo! 2. Anawashukuru wananchi wa Nyamagana kwa kuwa na Imani nae 3. Mwanza hakuna upinzani, na alikua na imani kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nimesoma gazeti la daily nation la leo wakenya wanalalamika kuwa watz wanaenda kenya wanasoma kwenye shule za serikali bure. shule nyingi hasa za mipakani zimefurika. wanalaumu kuwa inakuwaje...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wengi tutakuwa tumesahau lakini katika utawala wa Mkapa Lowassa alikuwa Waziri wa maji na katika pita pita zake kule Misri alifahamishwa ya kuwa kwa mwaka Misri inazalisha wakufunzi wa elimu ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
• Ataja mashahidi walioiponza TANESCO ICC na Happiness Katabazi MMOJA wa mawakili mahiri wa kujitegemea nchini, Kennedy Fungamtama, ameiomba serikali na umma upuuze ushauri wa aliyekuwa...
0 Reactions
84 Replies
8K Views
Serikali ya Tanzania isikoonyesha ukakamavu wa kupambana na rushwa nchi yetu itakuwa kama somalia. Wananchi wa Tanzania wamefikia wakati wa kuchoshwa na hali ya juu ya rushwa ambayo kila mtu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kufuatia mlongongo wa kashfa za mikataba na manunizi isiyo natija naomba bunge linalokutana February liazimie ya kwamba Serikali isiingie au kufanya maamuzi yoyote bila kuhusisha kamati za Bunge...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pamoja na Mambo mazito ambayo yanaendelea kuikumba nchi yetu nashauri sasa ni mda muafaka wa kuandaa mpango mkakati wa kueleka 2015, Tunahitaji Chama Makini, kilicho na watu makini kuweza...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
VITA dhidi ya ufisadi iliyovuma katika Bunge lililopita imewagawa watumishi wa Ofisi ya Bunge katika makundi mawili yanayohasimiana huku kila kundi likijaribu kusaidia vigogo wake kujinasua au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mods kama ilishawasilishwa na mwingine ondoeni yangu. Nimeshindwa kuvumilia. Sijui wanaitakia nini nchi hii hwa mahasidi, mafisadi,... Tujiulize Zanibar nako ni Tanzania? Kama ndiyo huko waislamu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunajua hali halisi ya yaliyotokea Tanzania kwenye uchaguzi wa 2010 . Lakini naamini vijana wengi pia hawakuwa wamejiandikisha kupiga kura 2010 hivyo kukosa fursa ya kumchagua kiongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza yule mbunge na muasisi wa chama cha UDP na alikua ni mbunge AKA Bwana Mapesa yuko wapi? na je bado ni mbunge na pia chama chake kina wabunge wangapi? Asanteni.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hili linahusu ndoa halali iwe ya Kikristu au ya Kiislamu au kimila na kiserikali. Mtu unapoenda kufunga ndoa na mtu unatarajia kuwa yule mtu mwingine hayuko kwenye ndoa nyingine halali - aidha...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
kwenye strong democracy yoyote ile Media ni kama 4th estate lakini kwetu inaonekana kama vile media kazi zao ni kuserve special interests be it ziko owned na Chama tawala, serikali,opposition...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Inatia moyo sana kuona kuwa CHADEMA wamelipokea rasmi wazo la kuwa na redio na televisheni yao. Iwapo vyombo hivi vya habari vitaanzishwa, binafsi napendekeza viitwe CHADEMA Education...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
Sauti:Mjadala wa meza ya duara – Mapinduzi
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Siasa ni majadiliano (debates) isiyo na mwisho (endless debate) kila mwaka bungeni.. Siasa ni ahadi zisizo na mwisho (endless promises) kila baada ya miaka mitano manifesto mpya, mambo mapya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom