Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Jamani hivi mnajua kua ukimwalika Mkuu wa mkoa, Waziri, Mkuu wa wilaya au kiongozi yeyote serikalini aje kufungua Mkutano, warsha, semina au mafunzo Unamlipa hela. 1. unamlipa full perdiem kama...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Muungano kambi ya upinzani mashakani *Mbowe awataka kina Hamadi Rashidi 'wazidi kusubiri' Na Tumaini Makene ZIKIWA zimebaki takribani wiki mbili kabla bunge la 10 halijaanza vikao vyake...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Mh. Juma Kapuya ambaye ni mbunge wa huko Tabora, akijiliwaza kwa kucheza dansi mtindo wa 'Pekecha-pekecha' wa bendi ya AKUDO IMPACTO wakati akiwa ndani ya ukumbi wa Mango Gardens, Kinondoni jijini...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Hivi ni kwa nini watu wanang'anag'ania kulipa matapeli wa DOWANS WASICHANGISHANE WAO NA WAKE ZAO WALIPE !HEBU FIKIRIA MTU KAMA CHENGE ANA 2 BILIONI HUKO UGHAIBUNI ...NA HIZO NI VIJISENTI TU...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nilimsikia Tambwe hiza ktk kipindi cha Tanzania inapoelekea kilichorushwa na Star tv akisema hapa tz watu wengi sasa wanaamini Chama chochote ambacho kitaonekana kina harufu ya dini fulani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nadhani nitakuwa sawa kama nikisema kwamba Tanzania haijawahi kuwa na post election fever and enxiety ndefu kama hii ya wakati huu. Kadri hali ya siasa za Tz inavyozidi kuchacha, hali ya...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
TAMKO LA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA MKOA WA DODOMA KULAANI MATUMIZI MABAYA YA NGUVU ZA POLISI MKOANI ARUSHA NA KUSABABISHA MAUAJI YA RAIA WASIO NA HATIA. UTANGULIZI. Ndugu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za chini ya kapeti zinaelezwa kuwa Ofisi ya Bwana Mkulo haina fedha. Imefulia na hali ya nchi kifedha ni tete. Wakati huo wahisani hawana habari na wala hawataki kusikia nchi iliyotumia...
0 Reactions
91 Replies
8K Views
haewezekani masuala ya hatma ya nchi yakamuliwa na wajumbe wa chama tena chama kimoja.itakuwa sere ni ile ile serekali 2-1. Katika kumbukumbu zangu zote hakuna nchi hata moja Africa iloko katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia michango mbalimbali kuhusiana na mgamo wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini MAKUMIRA. Wengi waliochangia wameonekana kuwapongeza wanafunzi hao kuwa ni mashujaa wanaopigania...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Kuna kila dalili za kutimia kwa kauli ya DK SLAA kuwa bajeti ya mwaka huu ilikuwa ni kiini macho ,na kuwa haitafika mbali!baada ya serikali kuanza kuziagiza wizara kukata kiwango fedha ili ziende...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nalia mimi, kila mada nzuri ninayoifuatilia, baada ya dakika 5,MOD anaitoa! Jamani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MAPUNGUFU/MAMBO YANAYOHITAJI MAREKEBISHO NDANI YA CCM.( Maoni) 1. Top down directions/order ni tatizo.Viongozi wa juu wasiwe mara zote wanatoa maagizo chini, badala yake...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Ni jambo la kushangaza na kusikitisha, katika soko la kubadilishana fedha shilingi ya Tanzania imeshuka thamani mno. Leo dola 1 inabadilishwa kwa shilingi 1508 za Tanzania. Watu wamekaa kujadili...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Katika pitapita zangu nimekutana na matokeo ya kidato cha nne.Ukweli ni kwamba watoto wetu wamefeli sana.Je wizara wameweka matokeo haya kimya kimya kuepusha aibu ya shule za kata?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nimekufa ganzi asubuhi hii baada ya kuona gazeti la mtanzania la leo,limeandika habari za matusi makubwa dhidi ya Chadema.Limeandika kwamba Chadema wamevurugana kwa sababu ya udini...
0 Reactions
141 Replies
17K Views
Wabunge wa upinzani wasaidie kupunguza posho zao ili kunachobakia kisaidie sekta nyingine tusikae tunapiga kelele kwa pesa ambazo hazijalipwa nadhani itakuwa busara tukianza na hizi zinazolipwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
a. Ningekuwa Nimeona Jinsi Gani Wananchi Hawapendi Serikali ya CCM, Sera zake na Zaidi Rushwa na Ufisadi Mbaya Tuliouleta. Ningeona Mapinduzi Yana Karibia na Kujaribu Kuhepusha Janga Kubwa… b...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa Kweli kwa hili sakata la DO-ONCE(DOWANS) katika serikali hii ya kaka mkubwa(JK) ambalo limeitikisa nchi yetu kwa muda sasa inastahili ADHABU.... sijajua ni aina gani ya adhabu bado....ila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wazee, Hilo jina la shule bado lina thamani au mantiki yoyote???
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Back
Top Bottom