nani asiyetilia shaka tamko la uvccm? Wanataka tu kumsafisha lowasa.baadaye wamesikika wakise wanataka waliodanganya taifa na kuingiza serikali hasara wawajibishwe.sasa mtu akiongea hivyo kwenye...
Jamani mie nimetumiwa e mail tu! just to review whats writtten. Msinihukumu bali nanyi fanyeni review zenu. Angalizo just review as a great thinker na sio mshabiki tu. Hapo tutakuwa sawa. Je wewe...
Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda amesisitiza, Uchaguzi wa Meya na Naibu Meya kwa Jiji la Arusha ni halali na haustahili kurudiwa.
Kwa mujibu wa Kamati Kuu ya CCM, uamuzi wao ulikuwa...
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU HAIHUSIKI NA MIGOMO YA HIVI KARIBUNI KATIKA VYUO VYA ELIMU YA JUU
1.0 UTANGULIZI
Katika kipindi cha hivi karibuni pamekuwepo migomo ya...
Tumeshuhudia migomo Mbalimbali katika vyuo vyetu vikuu.Maana halisi ya kugoma ni kuonesha kwamba mfumo flani una ufa unaoweza kufanya haki flani isipatikane.Hivyo kama kwa macho ya kawaida uzibaji...
Msomaji Raia
WIKI iliyopita baadhi ya vyombo vya habari viliripoti kuwa Ridhiwani Kikwete, mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vijana wa CCM...
Jamani ukifuatilia sasa hivi nchi za uarabuni kuna mwamko mkubwa zidi ya uonevu, na hii ni baada ya Tunisia kufanikiwa kuondoa jabali lao ambalo lilikaa madarakani kwa mda mrefu ,watu waliandamana...
There is an obnoxious odour in various parts of Dar es salaam. It smells like ampicciln affected urine and it is terrible. I am sick but I got immediately up to investigate the matter. Kindly, all...
Na Baraka Kimwanga
SERIKALI imesema mjadala kuhusu fidia ya kampuni ya Dowans hautarudishwa bungeni na badala yake itafuata taratibu za kisheria kwa kwenda mahakamani ili mkondo wa sheria uchukue...
Sema kwa mfano baada ya hukumu na kabla ya malipo new facts zinatokea ambazo ni muhimu katika hukumu na zilifichwa kwa makusudi ili kunufaisha upande mmoja aliyedhuriwa ana recourse gani ya...
Kutokana na hali halisi inayolikabili taifa katika sekta ya elimu hasa kwa ngazi ya msingi na sekondari, pamoja na mapendekezo ya kuboresha maslahi ya walimu, mazingira ya kujifunzia na vitendea...
Jamani, katika pitapita zangu leo nikajikuta nimeitembelea website ya CHADEMA. Upekuzi wangu ukanipeleka kuingia kwenye ukurasa wa blogu za wanachama. kufungua nikakuta wameweka picha za viongozi...
Hivi umewahi kukaa chini ukafikria ni wapi JK anatupeleka? Miaka 5 iliyopita ni virtually hakuna kitu alichokifanya. Alichotuletea ni ma dowans, richmond na nk. Uadilifu na uzalendo unazidi...
Ndg wana JF.
Siku zote huwa naguswa sana na hawa watu wanaoitwa watoto wa mitaani. Mara nyingi hawa watoto hawana baba na mama, na wakati mwingine hawana ndugu kabisa. Watoto hawa hulandalanda...
Na Saed Kubenea - Imechapwa 22 December 2010
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri, Mizengo Pinda amejitwisha zigo lisilobebeka. Litamuangusha. Ameahidi kulipa mabilioni ya shilingi kwa kampuni ya kufua...
Wandugu,
Kumekuwa na vuguvugu la chinichini linalofanywa na waumini wa dini ya kiislam kutaka Ijumaa nayo iwe ni siku ya mapumziko kitaifa. Kwa muda mrefu sisi wapagani tumesahaulika sana kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.