Na sisi kama Watanzania tunao Muungano wetu. Rais wetu wa JMT naye angekuwa na hotuba yake kila mwanzoni mwa mwaka akalihutubia BUNGE pamoja na BARAZA LA WAWAKILISHI kwenye kikao cha pamoja...
Madiwani wapanga kumwengua meya
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
BAADHI ya madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Shinyanga wanadaiwa kula njama za kutaka kumuengua Meya wao...
Wananchi na Chadema na Wote Wapenda Taifa letu. Wananchi tunataka Vita vya Rushwa Vianzie Hapa, Dowans Swala lipo Mahakamani na Sio mwisho? Tukumbuke Mahakama Imeteuliwa na JK. Tunaweza kujadili...
Rais Dr Mohamed Shein
Makamu wa I wa Rais Maalim Seif Khatibu (CUF)
Makamu wa II wa Rais Balozi Seif Iddy
Katibu Mkuu Kiongozi Katibu Mkuu Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
Spika wa Bunge Mzee...
Tutakapomaliza kugombania pesa za Dowans na EPA tusianze kulalamika kuwa Kenya wanatunyanganya watalii kwa kujenga uwanja wa ndege karibu na mpaka wetu.
Inauma, inatia huzuni, aibu kwa taifa...
Ndugu Wana JF,
Napenda kukiri wazi kabisa na bayana siku zote huwa na kuwa na mitazamo tofauti na Ismail Jussa kwenye masuala mbali mbali yanayohusu siasa na mustakabali wa Taifa letu lakini leo...
Ndugu wana jamvi, nimekaa na kutafakari, nimeona kweli rais wa ccm ndugu kikwete ni mbumbu na mtu anayependa misifa. Simuelewi anavyosema ifanyike sherehe kubwa ya miaka 50 ya kukumbuku ya uhuru...
what do these two have in common?
of course wote ni wake wa Marais
clue ziko hapa:
https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/105237-nationmedia-and-conflict-of-interest.html
Kwa wiki kadhaa sasa kumekuwa na migomo na maamdamano kwa wanafunzi wa vyuo vyetu hapa nchini. Mwodoko huu wa migomo umesisiwa na CHUO CHETU CHA KATA-Dodoma ambacho ni kipenzi cha JK na serekali...
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio...
Mfumo tulionao wa malipo baada ya kustaafu unafaa uangaliwe upya ili kuboresha kuendana na ukali wa maisha ya Mtanzania wa leo. Mfumo wa kupata malipo kwa mkupuo si mfumo mzuri kwa vile kuna...
Wataalam wa sheria naomba mnijuze.
Hivi kuna kipindi maalum cha kupinga mahakamani matokeo ya uchaguzi wa mbunge? Nimedokeza na rafiki yangu mmoja ambaye yupo serikali kwenye kitengo nyeti...
Shuhudieni wanaume waliochoka na utawala mbovu unaosababisha kupanda kwa gharama ya maisha !
Vumilia iishe tangazo ndio ushuhudie !
Day of anger in Egypt
Lakini Tanzania, thubutu ! Utawala...
Wandugu,
Wengi wenu mmesikia kauli ya 'mtoto wa mkulima' kuhusu dowans. Siju kama nimemweleza vizuri, ni kama amesema suala la dowans kamwe halitarudi bungeni. Kwamba litaachwa lifuate mkondo wa...
MWANDISHI WA MAKALA HII HAPA CHINI NI PROFESSOR WA HISTORIA CHUO KIKUU CHA NAIROBI...NIMEPENDA SANA MAKALA YAKE IMENIKUMBUSHA JINSI SISI TULIVYO WAJINGA...KWA NINI WATANZANIA TUSIIGE MFANO WA WATU...
Tangu nchi ipate uhuru sijwahi kusikia msuguano kati ya Polisi na wafuasi wa ccm,Licha ya vurugu za kisiasa huko visiwani, kwa bahati sijasikia au kuona wanaccm wakikumbwa na nguvu za dola. hii ni...
Mara sehemu ya kwanza ya makala haya ilipotoka wiki iliyopita, nilipata taarifa ya mshtuko. Nilinasa sherehe za watu wanaochekelea. Wanadai vurugu za Arusha zimefanikiwa kuwaweka juu.
Ni ile ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.