Yaani bado nacheka,
Niko kwenye foleni barabarani, amenifuata muuza icecreem (na baiskeli yake ya Azam, ananifahamu). Akaniuliza, "bro, mjengoni si tarehe 8 mwezi wa pili eh?"
nikamwabia...
DOWANS SCANDAL...
High Court to set aside ICC ruling
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE High Court of Tanzania will likely reject a ruling of the Paris-based International Court of Arbitration...
Hello wana JF kesho saa nne asubuhi Star Tv wataonyesha collection ya ukweli juu ya yaliyojiri Arusha..,so utakuwa muda mzuri kuona uchakachuaji uliofanywa na Polisi..Mwambie na mwingine...
WAMENITIA NGUVU KIDOGO INGAWA NIMEAMBIWA CHEKI IKO MBION KUTOKA
Wabunge wa CCM waigomea Dowans
*WAIBANA SERIKALI ISILIPE SH 94 BILIONI AU DENI LIPUNGUZWE
Tuesday, 25 January 2011
Na...
Ndugu Viongozi na Wanachama wa Chadema na Wote Wenye Nia Njema;
Kwanza najua mapenzi yasiyo ya kinafiki kwa chama ni kitu ambacho hakilazimishwi, bali hutoka moyoni kutokana na mchango wa chama...
Cheyo, Nape watupa kombora lao Dowans
Tuesday, 25 January 2011
Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo
Boniface Meena na Tausi Ally
MBUNGE wa Bariadi Mashariki, John Cheyo, amemtaka Waziri...
Nawaza hivi, kama anayetajwa kuwa mmiliki wa KAMPUNI YA KITAPELI ya RICHMOND, anashitakiwa na serikali kwa kuitapeli na kuisababishia hasara kubwa-Mohammed Gire, je imekuwaje Gire kusaini mkataba...
Nimesikia Askari Police Wawili Walichinjwa Kama kuku Arusha!! hivi Tanzania tumefikia hapa?
serikali imeamrisha vyombo rasmi vya habari kutozungumzia jambo hili,je hii siyo kuingilia uhuru wa...
Kweli sielewi kama kuna watu wana akili timamu. Hawa waigizaji ni njaa au? Dhihaka na vitisho kwa jamii kwa kutumia televisheni ya serikali ktk masuala muhimu ya kitaifa ni upunguani.
Na ni...
Lile jinamizi la migomo vyuo vikuu limetua kwa kasi ya ajabu pale Makumira university. Ni pale wanachuo wa mwaka wa kwanza walipozira kuzama class kutokana na ugumu wa maisha wanaokumbana nao...
• Asema kanuni haziruhusu, awashauri waungane na Chadema
SPIKA wa Bunge Anna Makinda amesema ni jambo lisilowezekana kuwepo na kambi zaidi ya moja ya upinzani bungeni.
Makinda alisema...
Salaam,
Naomba kuwasilisha makala hii nzuri inayosambazwa kwenye email ili wana JF wenzangu muisome na kutafakari maneno ya busara sana ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...
Chadema yamuunga mkono Kafulila
*Ni kuhusu hoja ya Dowans kurejeshwa bungeni
*Lissu asema lengo kupinga kuzawadia ufisadi
Na Jumbe Ismailly, Singida
HOJA Binafsi ya Mbunge wa Kigoma...
Amakweli, imefikia hatua watz tunatia imani..Ndiyo,tunatia huruma. Tunahitaji neema ya kina Rostam,Mkono,Lowasa kutuhurumia.. Yaani kwa ufupi ni kama yatima fulani.. Yule wakili mwizi, wakiri wa...
Habari za kiinteligensia kutoka AR zinasema Lyimo Meya wa CCM ambaye alikuwa kiongozi katika baraza la Walei Parokia Ya Kijenge likongozwa na Marehemu Sam Mdee, na Mzee mwingine aitwae Makeba...
Wana JF Hii sasa inaashiria kwamba sisiemu wasipokuwa makini si muda mrefu ,yatatokea yale yale ya Tunisia na Algeria.
Wanachuo wa Chuo Kikuu cha Tumaini sehemu ya Makumira wafunga barabara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.