Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
WanaJF wenzangu napenda kutoa ushauri kuwa tupunguze MAKALI ya kauli zetu. Kama tutaendelea hivi tutakatishana tamaa na itakuwa ngumu members kutoa HOJA ambazo kwa namna moja au nyingine zina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu,nimesikia kuwa cuf wanaandamana leo bila kujali zuio la polisi.je wameandamana kweli? Na je maalim seif atakuwepo?
0 Reactions
2 Replies
941 Views
Wewe ni judge halafu unatamka maneno hayo kesi gani utaifanyia haki? Marekabisho kwa kuandika katiba ni lazima huwezi kushindana na PEOPLES POWER. Wewe unatulinganisha wenzio na BATA tuonee...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wenzio wanatafuta njia ya kumakiza mgogoro huko Arusha wewe waleta za kimabavu hapa. Huoni ndio uliyoipeleka CCM pabaya.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
GreatThinkers, Nimekuwa nikifuatilia kesi mbali mbali, hasa zinazoihusu Serikali na Mafisadi dana dana na ububu umekuwa kibao kiasi kwamba unashindwa kuelewa kwa nini nchi tumekuwa na Roho ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chadema wacheni kutaka kuichafua nchi,kila siku mnazua jipya linaloashiria upotevu wa amani katika Taifa hili la Tanzania,inawezekana kabisa kuwa baadhi yenu hawana uzalendo na nchi hii na wana na...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Na Maggid Mjengwa, UKITAKA kumjua Mwafrika, basi, mwangalie siku anapohama. Ndivyo tulivyo. Hata kwenye uongozi, ni hivyo hivyo. Mwangalie kiongozi wa Afrika anapoingia na anapotoka kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Spika akiwa anakagua ujenzi wa makazi yake mapya ambayo yanajengwa kwa kodi zetu. Hii ni hali katika hospitali zetu.Baadhi ya walipa kodi wakiwa wamelala au kukaa chini kutoka na uhaba wa...
0 Reactions
80 Replies
15K Views
"KATIKA SIASA HAKUNA RAFIKI WA KUDUMU WALA ADUI WA KUDUMU" Itakuwa vipi leo hii Dr Slaa, Mbowe na Tundu Lissu wakijiunga na CCM ilhali Edward Lowassa, Rostam Azizi na Makamba wakienda CDM? Yupo...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Gazeti la Jambo Leo.....linatuhabarisha ya kuwa Profesa Lipumba ambaye vilevile ni Mwenyekiti wa CUF bado atafakari kama atashiriki mbio za uraisi 2015.................... Nilifikiri baada ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi ni mgeni hapa jamvini lakini nimejaribu kupitia Post za wanajamvi lakini CJAWAHI kuona,kusoma au mchango wa Mh JMK ndani ya Jamvi je? Hatembelei humu ndani kama afanyavyo Dr Slaa?Au...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
hii ni kauli iliyotolewa na mtu anayejitapa kuwa ni mwanasiasa mkongwe. hamad rashid. "process ya siasa ni mchakato" ha ha ha ha!!! hizi ndiyo aina ya akili za mbayuwayu alizosema JK?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wafuatao wana vyeti feki vinavyoitia aibu Serikali na nchi kwa ujumla: (1) Salmin Amour – Ph.D yake ni feki, ya kisiasa. Aliipata Ujerumani Mashariki enzi hizo kwa miezi mitatu tu huku akiwa na...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
@ Madaraka naona nitumie taarifa yako hii hapa JF japo sio yote ,Siku mbili zilizopita, nikielekea kilele cha Mlima Kilimanjaro, katika kambi ya Barafu, ambayo ni kituo cha mwisho kabla ya safari...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
http://www.africareview.com/blob/view/-/1079108/data/224908/-/lab421z/-/In+Africa.pdf
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kukosa URAIS kwa SLAA isiwe sababu ya kuharibu nchi. Yeye ni sehemu ndogo sana ya nchi hii. Amuige mkongwe Prof Lipumba jinsi alivyo mstaarabu.
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Inasikitisha http://www.bloomberg.com/video/65489136/
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Nimesikia Clouds FM Afande Kova amekataa kutoa the so called Kibali cha maandamano ya kesho saa mbili asubuhi na kusema kuwa hakuna kiongozi wa juu wa Serikali aliyeyakataa madai ya katiba mpya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
As we struggle for a new constitution, we need not turn to CANON nor SHARIA laws; but COMMON laws. mwisho wa udini.
0 Reactions
2 Replies
997 Views
Siasa inapoingia katika masuala ya msingi, tunaelekea kuua taifa letu! leo tunaambiwa bei ya unit 1 ya umeme inapanda kwa asilimia 18, so kutoka ilipo karibu Shs. 129 tunaelekea Shs.160 kwa unit...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom