Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
WanaJF: TAKUKURU yetu inayo uthubutu wa kufanya kitu ya namna hii? Soma story hii kutoka kwa majirani zetu. Kacc quizzes Ngilu over graft By WALTER MENYA, Daily Nation, Nairobi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
How I wish we had a leader with the guts and understanding that Chavez. Mpaka unaona Stephen ana sympathise. Hehehe!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuwa wanasiasa wameshindwa kutuunganisha watz na badala yake kugombania masilah na publicity na kwa kuwa wasomi (watendaji wakuu ndan na nje ya serikali) wamekubali kutusaliti sisi ndugu zao...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Aliyemhoji Hoseah ni jasusi aliyebobea Mwandishi Wetu WAKATI wananchi wakimkosoa mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah kupinga taarifa ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Samahani wana JF naombeni kuuliza. Hivi mzee Kingunge Ngombale Mwiru bado yupo katika Bunge la 2011-2015. Nifahamisheni mwenzenu maana sina uhakika kama kaendelea kuwepo au la ingawa kusema kweli...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba uweke uliowaona ni viongozi wa Kisiasa waliopendwa na Watanzania sana 2010 kwa utendaji na si wababaishaji, na wawajibikaji kwa wananchi bila unafiki, usanii i mean they walk the talk, bila...
0 Reactions
67 Replies
6K Views
Gazeti la Mwananchi la leo linatufahamisha ya kuwa utafiti wa jarida moja la Uingereza limebaini ya kuwa JK hana namna ila kulipangua Baraza la Mawziri na kuwapatia Mama Tibaijuka na Mzee Sitta...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Jamani wana JF, Nimefungulia BBC SWAHILI nimeskia kuwa bwana Odinga ameombwa aende kusuluhisha bwana Gnagbo na Ouattara kule Ivory Coast. Mwageni maoni, itawezekana kweli akafanikiwa? Je huyu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Na Mwandishi wetu 25th December 2010 Ni baada ya kuhutubia mkutano jimboni kwake Adaiwa kutorosha mtuhumiwa kituo cha polisi Zitto Zuberi Kabwe...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
CHAMA Cha Wananchi (CUF) jana kiliwazidi ujanja polisi waliokuwa wakidhibiti maandamano yao baada ya kufanikiwa kuyafanya na kuwasilisha rasimu yao sifuri ya katiba kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za uhakika, 100%, ni kwamba baaba ya mheshimiwa JK, Kuamua kumtosa waziwazi rafiki yake ambaye bila yeye urais wa awamu iliyopita angeusikia radioni, mshikaji Lowasa sasa ameamua, MWAGA...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu wanaJF, Najaribu kufikiri kitendo cha kupigwa CUF kwenye maandamano yao leo mchana pale buguruni kuwa ni ishara ya mkakati maalum dhidi ya CHADEMA. Hii itakuja kutumika kama sababu ya...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jamani wana jf aulizae hajui. Hivi kazi za mstahiki meya nganzi ya wilaya ni zipi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mara nyingi Dr. Slaa anapochangia hoja mbalimbali hapa jamvini kuna watu wengine wanatoa lugha za kejeli kwake na hata baadhi kumtukana. Lakini kwa nini basi haachi kuingia na kuchangia Hoja...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Leo ukisikia dk slaa atapozungumzia swala la maandamano kuhusu Downs, kesho ukiamka wanahrakati wetu nao utwasikia hayo hayo, utawasikia eti na wao wanapinga hayo hayo aliosema dk slaa.kwa mfano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
..
..... [thread exists]
0 Reactions
1 Replies
735 Views
Nilisikia kutakuwa na maandamano (CDM) ya kupinga kupanda kwa bei ya umeme mwakani. Kwa nini yasianze maandamano ya kushinikiza tumjue aliyetuingiza mkenge DOWANS aka RICHMOND. Na tukimjua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Alipokuwa anajiandaa kuwania kiti cha PM nchini Uingereza Tony Blair alisisitiza kukifanyia maboresho chama chake cha Labour. Kwa ahadi hiyo alishinda uchaguzi kwa kishindo kwa viti 179. Ushauri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Police use teargas to disperse Tanzania protesters Tue Dec 28, 2010 DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzanian police fired teargas and water cannon to disperse hundreds of opposition protesters...
0 Reactions
1 Replies
808 Views
Sakata la umeya Mwanza limechukua sura mpya baada ya uongozi wa Chadema kumshtaki Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwa yale yanayodhaniwa ni kuvuruga uchaguzi wa Umeya na kukipendelea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom