Kwa muda mrefu sasa tatizo la umeme kukatika limekuwa likitokea mara kwa mara na mara nyingi ikiripotiwa kusababishwa na kupungua kwa maji katika mabwawa ya kuzalishia umeme, ndugu zangu ikiwa...
Tamko ama tishio la Tume teuzi ya Mawasiliano TZ ya kuwashtak watu/kikund kinachotoa/vujisha mawasiliano ya watu/viongoz wa kijamii is absolutely a time barred and myophio thinking na haina nafas...
Wa-Tanzania tusizike tu kichwa kwenye mikataba ambamo tayari kumeshaingizwa mjini, je na mikataba mingine ambayo HAIJALIPUKA BADO NA TAYARI YAMESAINIWA nchini tuyapekue haraka kabla ya kufikia...
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali...
Pale mwenge stand kuna ndg yetu albino anauza magzeti,sasa sijui ni amri ya nani na kwa malipo gani nmekuta ameyageuza magazeti ya mwanahali upande wa michezo ndio ulikuwa ukionekana kwa wapita...
Wana jamii ni ukweli usiopingika mwezi wa kumi na mbili mwishoni Dar es salaam foleni huwa zinatoweka kabisa,je ingekuwa namna hii the whole year si wananchi wangepiga hatua kubwa za kimaendeleo...
Maelezo au maoni ya watu mbalimbali na wanazuoni kuhusu sakata hii wanaweka msimamo kumpinga Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Lakini, lipo tatizo nadhani inawezekana ni la msingi. Mara mbili sasa...
Sijaamini macho yangu niliposoma habari kuhusu hukumu iliyotolewa na mahakama dhidi ya Mbunge wa Bariadi (CCM) Andrew Chenge a.k.a Mzee wa Vijisenti ambapo licha ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya...
Wajumbe WDC wamsusia diwani wa CHADEMA
Na Said Njuki, Arusha
WAJUMBE wa Kamati ya Maendeleo ya Kata (WDC) ya Elerai wamemkataa mwenyekiti wa kamati hiyo, Bw. John Bayo kwa sababu ni...
Ni mwaka mwingine tena unakaribia kuanza, mwaka (2011) ambao Tanzania itasherehekea miaka yake 50 tangu kuwepo kwenye ramani ya dunia. Kama taifa ni nini tunatafakari wakati huu?
Je kama taifa...
Kutokana Yote Tunayafahamu Mpaka Sasa, Sharif Alipanga Kurudi CCM kwa Kupitia Njia ya Uchaguzi. Kawaida Wapinzani Dhaifu Wanarudi CCM kwa Njia ya Kutangaza Habari Maalumu Ila Sharif Ametumia...
Wanazuoni mbalimbali katika fani ya maendeleo na uchumi wamewahi kuja na theories mbalimbali katika kujaribu kueleza dhana ya kutokuendelea kwa nchi za dunia ya tatu, pia wamejaribu kutoa hatua...
Well, kuna wakati inabidi tuseme tu kuliko kuzungushana kwenye huu utando wa buibui wa ufisadi. TUmekuwa kama kumbikumbi, na kama vipepeo tumenaswa na wao wanatuchezea tu.. kama paka aliyeshiba...
CCM yamgeuka Lowassa
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 23rd December 2010
Habari Leo
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa.
MGOGORO wa kisiasa wa kuhusu uchaguzi wa Meya wa Jiji la...
Heshima kwenu wendawazimu wenzangu wanaJF..
Ndugu, nimelazimika kutumia lugha kali dhidi yangu kwa kujiona ni mwendawazimu (sijui mtakubaliana nami au la,)..kuwa Tanganyika yetu siku za usoni...
sote tunakumbuka vile ccm walikuwa wakijipamba kwa mafulana yao ya kijani na makofia kipindi cha uchaguzi. tena wale wenye uwezo kifadha. ndiyo yalikuwa mavazi yao ya kuvaa hata maofisini.
baada...
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ulinzi ya Knight Support akitishia kuondoka kikaoni kwa ghadhabu
baada ya kutofautiana na Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Ukiangalia hapa Mkurugenzi...
CUF ndo chama peke chenye msimamo na ndio kitakacholeta mabadiliko-hadi katiba mpya. Wanachama wake huwa ni watiifu na hujitoa saana ktk maandamano. CHADEMA wanachama wao huwa ni waoga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.