Profesa Msolla aipa somo CCM kura za maoni
Imeandikwa na Frank Leonard, Kilolo; Tarehe: 26th December 2010 @ 23:44
MBUNGE wa Kilolo mkoani Iringa, Profesa Peter Msolla ameomba mfumo wa kura...
Mahakama ya Kinondoni DSM yamtia hatiani Andrew Chenge (Mbunge wa Bariadi) kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya laki saba. Amelipa faini ya laki saba. Haki???:angry:
source TBC.
Nasikitika kwamba hawa "TIGO" wanao zurura kwenye pikipiki haswa "uhindini" wanantutesa sana...wanatusimamisha na ku uliza maswala na pia wanatu kajeli wahindi...ni kitu kibaya ninawyo fikiria...
Wana JF, just wondering if this was a tricky think about this! we are about to pay DOWANS 185 Bil and accidentaly TANESCO reised their tarrif for 18.5 prc. What a coincidence?
GreaTthinkErs,
Nafahamu tuna michakazto mabli mbali inayoendelea kuimarisha Taifa Letu.
Nimetoa Email na Simu yake kurahisha mawasiliano kwa yule anayehitaji.
Lets Click&dial for Good.
Je,kuna haja ya kubadili jina la kikosi chetu cha kutuliza ghasia na kukiita kikosi cha kutuliza demokrasia, maana naona kila palipo na chembechembe za mapinduzi ya demokrasia hawa jamaa lazima...
Tumesubiri Mpaka Tumechoka na Bado CCM Wanatudharau na Kututemea Mate Usoni. Hili Tunalisema Kwa Sababu Ushahidi Unaonekana Wazi kwa Wananchi. Kama Wengi Tumesikia Jaji Fake Mteule Warewa Anasema...
Hivi Chama cha Makamba(ccm)sorry chama cha mpinduzi Hakina mda mrefu wakuanguka chali kina kila dalili japo kinadhani kitakuwepo milele!lakini kadri siku zinavyokwenda niwazi maisha yake yapo...
Ushauri alioutoa Profesa Mukandala kwa Rais Kikwete kwangu mimi ni wa Kisanii zaidi kuliko wa kisomi. Watanzania wanachotaka ni kuandikwa kwa katiba mpya na sio kuifanyia marekebisho katiba iliyopo.
Nimefuatilia matamko mbalimbali yanayotolewa na jaji Werema ambaye ni mwanasheria mkuu wa serikali na kugundua kuwa hajui wajibu wake.
(1) Amekuwa ni mtoa matamko ya serikali badala ya kuwa...
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ulinzi ya Knight Support,David Sutton akitishia kuondoka kikaoni kwa ghadhabu baada ya Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,Jenerali Matwani Kapamba...
Wadau,
Naomba tuelimishane au kukumbushana juu ya wanawake, ya kwamba:-
Kwa nini wanawake hawapendani
Kwa nini wanawake wanadharauliana sana
Kwa nini wanawake wanapohitaji huduma huwa...
hii imekaaje kwa cuf kupanga maandamano na kisha asiwepo mwenyekiti au makamu wake? Na ni kwa nini wanaandamana kwa staili ya kuwakwepa polisi? Polisi wakipita mtaa huu wenyewe wanahamia mwingine...
Nadhani wiki leaks wanaweza wakawa na mlolongo mzima wa hii skendo ya Dowans! I wish Assange angetusaidia kuitoa live hii nayo, though najua watu wanafahamu hasa nani mmiliki halisi wa Dowans. It...
Najifikiria sana hasa baada ya kila mradi inakuwa ni dili la mafisadi.
Ni nani ajuaye bei ya kutengeneza hizo nOTI
Je USD,STERLING POUND na EURO mbona hazibadiliki mara kwa mara...
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.