Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu nimepata tetesi kutoka e-group moja kwamba Chenge amhukumiwa miaka mitatu jela au faini ya 700,000 pesa ya tanzania (which is less that $500) Je ni kweli? na kama ni kweli hii ina maana...
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Wenyeviti, wanachama, wapiga debe na wawakilishi wa matawi ya CCM kule UK, Russia, na kule USA mmekuwa na kelele sana wakati wa uchaguzi na hasa baada ya Mkwere kushinda tena. Fine. Mmmeitisha...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Picha sasa inaonyesha wazi kuwa Spika mstaafu Mh. Sitta aliondolewa uspika na CCM ili kujaribu kuruhusu ulipwaji wa Dowans ambayo ilirithi mkataba wa kampuni feki ya Richmond. Kwa vyovyote vile...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tafadhali wana jamvi,hapa bkb tumeshindwa kufahamu bkb mjini ilipata sh.ngapi za mfuko wa jimbo.mbunge hasemi ila eti fedha alizopata ni kama tone kwenye ziwa.mwenye scandal za huyu mtu za binafsi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, Waone walalahoi sasa wameanza. kwa nini tunawadharau? Dunia imepata habari.. au wamefanya kosa hapa...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Wakati Thread ya Mtoa Pumba ikiwa gerezani na Useless JF member ikiwa Hot. Please let us Nominate our favourite JF member of the year 2010.
0 Reactions
1 Replies
843 Views
CCM Rukwa yataka Kanisa litubu Imeandikwa na Peti Siyame, Sumbawanga; Tarehe: 28th December 2010 @ 23:53 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa, kimewataka baadhi ya viongozi wa Kanisa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ukiangalia Chanel ya CITIZEN ya Kenya huwa wana kipindi maalum huwa wanaonyesha watu wanaoshikilia uchumi wa Kenya kwa kuwa na vitega uchumi almost nchi nzima mfano ,mmojawapo ambaye Citizen...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tutoe shinikizo kwa EU na USA kuwapiga mkwala wa kwenda ulaya na marekani viongozi wote wa CCM pamoja na familia zao kwa wizi wa kura. Haiwezekani watuibie kura halafu waende kujichana kwa pesa...
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Kabla wapambe hamjaanza kumsakama SD kwa hii thread, naomba tu mfunge macho yenu, mkuze fikra zenu, mchore picha mawinguni, muuhisi mdhanio wa upepo mwanana wa bahari ukivuma tokea pwani ya Tanga...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Fuatilia wizara alizoongoza kipindi kile
0 Reactions
13 Replies
2K Views
GrEatThinkers, Hukumu ya Chenge siitofautishi na ile ya Ditopile, Kama ni Sinema basi hii ya Chenge Ni Ditopile Part 2. Je Part 2 itaishaje?? Swali kwenu wana JF!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mkoa wa Mara, ni jimbo lililojitenga? Wiki chache zilizopita dunia nzima ilishuhudia unyama wa aina yake waliofanyiwa wasichana wadogo huko Mkoani Mara kwa kuwakeketa na kuwashuahia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA ameonesha ujasiri mkubwa. Anajua matatizo ndani ya chama chake yanayoweza kupelekea chama chake kikapoteza hata kiti kimoja ilichonacho Kigoma. Amejitokeza wazi...
0 Reactions
110 Replies
8K Views
  • Closed
Kwenye taarifa za gazeti la guardian uk zilizonokuu na kuchambua taarifa zilizovujja kupitia wikileaks wanasema Tanzania haina Air force . ...................Tanzania, which has no air...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nimekuwa natatizwa sana na hili neno pindi linapotumika katika ulingo wa siasa hasa katika vyama.Vyama vinavyofanya kazi ya kuikosoa serikali vinaitwa vyama vya upinzani.Mi naona litafutwe jina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Israel's former President Moshe Katsav has been convicted of rape by a court in Tel Aviv and could go to jail. He was found guilty of raping an employee in the 1990s when he was tourism...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
WanaJF bado najiuliza kinachoendelea kwa vyombo vya IPP( ITV na Radio one etc) vya mzee mengi. Muda mrefu mzee huyu amekuwa akipambana na mafisadi lakina sasa naona wanatokea mlango wa nyuma na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wabunge wa chama pinzani walipomsusa mkwere na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kule Dodoma, watu wa UDOM kwa haraka militoa tamko na kulaani kitendo hicho. Fine. Now, tunaomba tamko lenu kuhusu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom