Wanajamvi nimesoma hotuba ya mkuu wa nchi, lakini nimestaajabu pale ye mwenyewe anapodai bado swala la matumizi makubwa linamsumbua, wakati huohuo yeye ndo amekuwa kinara wa matumizi mabaya, sasa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, jioni ya leo, Ijumaa, Desemba 31, 2010, atatoa salamu maalum za Mwaka Mpya kwa wananchi.
Rais Kikwete atatoa salamu...
Wana Jf.
Leo nimekuwa mbali na vyombo vya habari kwa hiyo cjaweza kujua kama leo `Bw Mkubwa` atahutubia Taifa letu hili linalohitaji katiba Mpya na sio viraka kama anavyotaka muraaa...
Hili serikali iweze kuongoza vizuri inahitaji kuwa na wengi wa raia wake nyuma yake. Hivi sasa kila kona ya nchi hii kunasikika vilio vingi vikiilalamikia serikali iliyoko madarakani na chama...
Aliekuwa CEO bandidu wa bank ya Exim Mama Mwambenja Sabetha kapigwa chini effective tangu jana......japo wafanyakazi wameambiwa kuwa mama kaamua kustaafu lakini news za ndani inasemekana kapigwa...
EURONEWS, Shirika la habari lililo na nguvu na linaonekana dunia nzima kuanzia na Ulaya hadi America na Africa limekuwa likionyesha kila baada ya dakika kadhaa Maandamano ya CUF kudai Mabadiliko...
Pamoja na wizi ulikithiri serikalini katika kila idara bado serikali kupitia selina kombani bila hata aibu yoyote anasimama na kutuambia eti serikali haina pesa kwa ajili ya kugharamia uuandaaji...
Mwanzoni mwa utawala wa JK baadhi ya vyombo vya habari vilimpamba sana hadi kuonekana kuramba miguu yake; lakini, ilipofika mwisho wa muhula wake wa kwanza inaonekana ni kama vyombo vya habari...
Na Maggid Mjengwa,
UKITAKA kumjua Mwafrika, basi, mwangalie siku anapohama. Ndivyo tulivyo. Hata kwenye uongozi, ni hivyo hivyo. Mwangalie kiongozi wa Afrika anapoingia na anapotoka...
CUF, Civic United Front keeps writing history while paving the way for full democratisation of my beloved country. There are some who hate it, but love them or loathe them, CUF will deliver this...
Wana JF nimejaribu kupitia ripoti mbalimbali za kuhusu uchaguzi wa Ivory Coast na ninapata mashaka kukubali media stories kwamba Outtara alishinda. Lakini pia napata tatizo la kuamina Gbagbo...
Huu ni ukweli usipipngika kwani viongozi wengi wa Africa ni wachakachuaji wakubwa wa matokeo ya kura,na ndiyo maana hata laisi wenu kiweteee hawezi kumlaani Gbagbo, kwa sababu naye ni walewale...
inawezekana nikawa nyuma ya mabadilikob ya katiba na vipengele vya sheria hapa nchini.Ila kwa ufahamu wangu ni kwamba ukikiwa na tuhuma na kuthibitika mahakamani unakosa na hukumu ikatolwa kama...
Kwa upande wangu haya ndiyo majeraha ya moyo niliyobaki nayo baada ya uchaguzi mkuu. Nadhani na wenzangu mnaweza kuniunga mkono kwa hili.
Majeraha niliyoexperience ni kama ifuatavyo. Unaweza pia...
Dedicated to the people of Tanzania,
Raised people's self awareness,
Raised his political party from bottom to second top,
First person from opposition party to get more than 2mil. votes in a...
Siku nikipata bahati ya kukutana na hawa viumbe wawili nitawambia yafuatayo:-
1. Roho za wa Tanzania zinaumia na kuteketea kwa ajili ya tamaa yao.
2. Hawata ishi milele
3. Tumechoka kuibiwa...
WanaJF,
Kwa maoni yangu, tangu uhuru wa nchi hii, watanzania hawajashuhudia uongozi wa nchi ukiyumba na gharama za maisha zikipanda kwa kasi kubwa, kama ilivyo sasa. Kadri siku zinavyokwenda...
WanaJF,
Jana usiku kulikuwa na kipindi cha moja kwa moja cha mahojiano kilichorushwa na ITV. Mada ilihusu kupanda kwa bei ya umeme. Kuna jamaa mmoja hakusita kuelekeza lawama kwa serikali kwamba...
Send to a friend Friday, 31 December 2010 00:14
Salim Said
MJADALA wa katiba sasa umeingia sura mpya baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Jaji Omar Makungu kutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.