MP joins bandwagon against new constitution
By George Marato, The Guardian, Dar es Salaam
30th December 2010
While some politicians, activists and academicians are agitating for the drafting...
Ndugu Wananchi;
Habari za jioni.
Leo tunauaga Mwaka 2010 na kuukaribisha Mwaka 2011. Kama ilivyo ada, hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, kwa kutujaalia uhai na kutuwezesha...
Date::10/9/2008
Dk Hoseah ateuliwa kuingia katika 'Takukuru' ya kimataifa
Na Peter Edson
Mwananchi
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah...
Nawapa heko WaTZ.
Kwa kupevuka kifikra. Kwa kukataa mafisadi wa CCM kufikiria kwa niaba ya WaTZ. Hii ni hatua kubwa katika kuelekea ukombozi wa taifa letu ambalo tunaambiwa lina utajiri wa...
maana kakabwa kweli. anajuta kuchakachua. anawaza safari za nje safari hii sijui itakuwa vipi. euronews wamerusha picha za kikatili wa polisi zidi ya maandamano ya amani ya waTZ. hapohapo kuna...
Salaam JF, heri ya mwaka mpya.
ndg zangu wapendwa, tumemaliza mwaka 2010 na sasa tumeingia 2011. mwaka 2010 umekuwa wa kihistoria na matukio mengi kwa nchi yetu kama vile uchaguzi mkuu uliokuwa...
Jana nimeisikiliza kwa umakini hutuba ya rais wa JMT nikiwa na matarajio makubwa ya vitu viwili ambavyo vinagusa hisia za waTanzania wengi kwa sasa, nayo ni
1. Katiba mpya
2. Dowans
Suala la...
Ndugu Zangu,
Naandika nikiwa Iringa.
Ndio, tunaumaliza mwaka huu na mjadala wa Katiba mpya. Nami, katika siku hii ya mwisho wa mwaka, nimeona umuhimu wa kuzungumzia suala hili lililo ndani...
Safari za kwenda kwenu baba zimezidi kila siku kwenu tumia akili hii siyo nchi ya starehe'sasa hivi amepita kwenda chalinze kunani chalinze hukuiba kura kwenda chalinze kila weekend hujui matatizo...
Katika hali inayothibitisha ukiukwaji na uporomokaji wa maadili katika sekta ya umma ni uteuzi wa Jaji Werema uliofanywa na JK kuwa Mwanasheria Mkuu..........Kisa ni kugonganisha mihimili mitatu...
Tangu nchi yetu ipate uhuru takribani miaka 50 iliyopita, imepata mafanikio mengi ya kujivunia. Pengine makubwa kuliko yote ni; amani, utulivu, na mshikamano wa wananchi bila yakujali rangi...
Wapendwa wapenda mageuzi na ustawi wa jamii inayoishi maisha bora na ya haki, mafisadi na mashabiki wao, mabibi na mabwana nakupongezeni sana kwa kufika mwisho wa mwaka mpya na nakutakieni...
Term iliyopita Rais alikuwa na utaratibu wa kulihutubia taifa kila mwisho wa mwezi. Sina hakika kama bado Rais ataendelea na utaratibu wake wa awali kwa kipindi hiki cha miaka mitano...
Taarifa ya habari katika Television ya National Broadcasting Company (NBC) ya Marekani jana saa kumi alasiri ilitangaza kuwa Serikali ya tanzania iliopo madarakani sasa imekazania kujenga barabara...
Katika hotuba yake ambayo hivi sasa inafikia ukingoni. JK amejikita zaidi katika kueleza mafanikio ya serikali yake. Kwa mwananchi wa kawaida baadhi ya mafanikio hayo anayojivunia yanatia...
Wakati mambo yakiwa yamepamba moto 'Katiba mpya, katiba mpya,katiba'..JK kwenye hotuba yake 'amechombeza' kuwa nae anawiwa na suala hilo..na hivyo atahakikisha linafanyiwa kazi katika kipindi...
Katibu Mkuu wa TLP Hamad Tao jana alisema chama hicho kinataka katiba iruhusu serikali tatu madai ambayo tumeyasikia toka kwa chama cha wananchi CUF, je kauli ya Chadema chama kikuu cha upinzani...
Inasikitisha kusikia eti 26% ya umeme unaozalishwa na tanesco unapotea,hao maofisa wao wanapata unit 750 kila mwezi,nguzo ambazo wanatuunganisha umeme wanatuuzia kumbe kiutaratibu iliwapasa kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.