Yule Tajiri mwenye kujiamini ameahidi siku ya tarehe 31 Dce 2010 kuwa anatarajia kujichimba visima 1000 vya maji katika wilaya zote za Tanzania isipokuwa Dar es Salaam. Gharama ya kila kisima ni...
Sote tunakumbuka jinsi Maalin Seif alivyoshinda Zanzibar na Lyatonga alivyoshinda Dar lakini kwa ruksa ya Nyerere Serikali ya Mzee Mwinji ilichakachua matokeo.
Pia Majaji makini walirule ya kuwa...
Great thinkers nimekuwa nikitafakari kuhusu raisajaye kupitia ccm nikaona anayefaa labda kidogo dr. Magufuli, lkn hiyo wizara aliyopewa si anaweza kukwamishwa kwa makusudi kiutendaji ili aonekane...
Mimi naonaga wafanya biashara wa kimasai wanaoishi Arusha huwa wanateseka sana. Hawa mabwana wanaishi kwa matumaini wakitegemea kwamba Lowassa atakuwa Raisi wa nchi hii mwaka 2015.
Kila kukicha...
CCM taabani kifedha
Friday, 31 December 2010 20:56
Katibu wa chama cha mapinduzi,Yusuph Makamba
Hussein Issa na Habel Chidawali, Dodoma
MAMBO si shwari...
Wapangishiwa hoteli za gharama kubwa
Waliotemwa wapewa muda kuachia nyumba
Serikali inatumia mamilioni ya fedha kwa ajili ya kuwapangishia hoteli baadhi ya mawaziri wapya na manaibu wake...
Gazeti la mwananchi la leo linatupasha habari ya kuwa ushauri wa jaji Mkuu ambaye sasa ni mstaafu juu ya haki ya kuhoji Mahakama Kuu kuhusu matokeo ya kura ya uraisi yaliyotangazwa na NEC...
Gazeti la Nipashe la leo linatutaaarifu ya kuwa mamilioni ya fedha yanaendelea kuteketezwa kuwalipia mawaziri ambao wapo mahotelini...................................
Hili siyo jipya kwa JK kwani...
Hii imetolewa muda si mrefu na wizara ya Mmabo ya Nje ya Uingereza ikiwaonya raia wake kuhusu kutembelea Tanzania
ambako wanasema hivi:
There is a general threat from terrorism. Attacks could...
Nimeangalia katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nimeona hivi kuhusiana na hali inayofanana na hii aliyo nayo Mh. Chenge.
Ibara ya 67
(2) Mtu hatakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au...
Nimekuwa nikijaribu kutafakari historia ya uongozi wa tanzania Tokea wakati wa awamu ya kwanza mpaka hii ya Sasa.
Kihistoria Mwalimu alichaguliwa na wenzake nae akajaribu kufanya aliyo weza ili...
Jamani kuna siku nilikuwa nasoma humu jf nikaona thread moja inayosema nyimbo anajiandaa kufungua matawi mia ya chadema njombe sijui amefikia wapi?
Nawasilisha
Festo Polea
MFANYABIASHARA maarufu wa jijini Dar es Salaam, Mustafa Sabodo, amesema kama viongozi wanaotuhumiwa kuhusika katika ufisadi wa namna yoyote nchini wanataka kusamehewa na Mungu na...
Ndugu zangu wanaJF. Tukubali kwamba kwa yeyote aliyemsikiliza mhe. RAIS jana kwenye hotuba yake basi atagundua kuwa JK is man of people. Jamaa ni MZALENDO sana na anafanya MAAMUZI SAHIHI KWA...
WanaJF,
Kwa namna nchi inavyokwenda chini ya uongozi wa Jk, nimekuwa nikipata wasiwasi juu ya uwezo wa rais jk kiuongozi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hivi nchi yetu ingeelekea wapi endapo Jk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.