Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu zangu wanajamvi, leo kwa macho na masikio yetu tunayaona yakutokea yanavyotokea, viongozi wasio na uzalendo na hari ya kweli ya kuleta maendeleo wamejaa kila idara,Haya yote yanatokea ktk...
0 Reactions
1 Replies
946 Views
"KAMA NINGEKUWA NA UWEZO NINGEVISUKUMIA MBALI(maili 300) VISIWA VYA ZANZIBAR" Ni kauli ya Mwl Nyerere. Kwa anayeweza asome kitabu cha Towards democratization process in Zanzibar cha Dr Mohamed...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
1. Anajaribu kutuaminisha udini upo - kati ya Wakristo na Waislamu - na anajenga hoja kuwa makundi haya mawili yalipiga kura kidini. Ana data au anafikiria hivyo? 2. Anajenga hoja pia Waislamu...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Mjadala wa kupanda bei ya umeme
0 Reactions
31 Replies
3K Views
KIKWETE 80%, LIPUMBA 14%, HASHIM RUNGWE 3%, DOVUTWA 2% and others share 1%.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ya nini kupiga mzunguko wa kichaka (hit around the bush)? Waliyofanya ccm kwenye chaguzi za meya Arusha na kwingineko, ni kivuli tu cha yale waliyofanya mwezi november mwaka jana.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu zangu! Wote tumeshuhudia jinsi Dr. Wilbroad Slaa alivyomtoa MKuu wetu Kamasi! Ushindi tumepata wa kishindo, lakini si kishindo kikubwa kama kile cha awamu iliyopita. Tujipe moyo tu kwani...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ubabe umetumika kuzuia chaguzi za mameya katika halmashauri kadhaa nchini au kulazimisha chaguzi katika manispaa nyingine kinyume na taratibu. Tumeshuhudia wabunge wakipigwa hadharani, wananchi...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Na Maggid Mjengwa Disemba 29, 2010 UKITAKA kumjua Mwafrika, basi, mwangalie siku anapohama. Ndivyo tulivyo. Hata kwenye uongozi, ni hivyo hivyo. Mwangalie kiongozi wa Afrika anapoingia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika siku za karibuni, kulifanyika mkutano baina ya wafadhili na serikali ya Tanzania, kwa lengo la kutathmini hali ya utekelezaji wa mipango mbali mbali ya kuimarisha uchumi. Wakati wa mkutano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vijana wetu wa jeshi la polisi wanafanya kazi kubwa sana, nzuri na yenye kutukuka. Leo wamepambana na majambazi mjini Mwanza na kufanikiwa kuyaua majambazi mawili. Lakini vipi serikali yetu, mbona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu Watanganyika kupoteza Roho za watu wawili bado haiwezi kuwa juu ya Sheria za Mtu Mkuu katika CCM? hii ni Mara ya pili hii ilitokea kwa Ditopile Mzuzuri na Sasa Mzee wa Vijesenti Andrew...
0 Reactions
0 Replies
993 Views
CUF watishia kwenda ICC Send to a friend Wednesday, 29 December 2010 20:52 0diggsdigg Sadick Mtulya na Elias Sichalwe CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetishia kwenda Mahakama ya Kimataifa ya Jinai...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Rostam (Persian: رستم, pronounced [ɾostæm, ɾʊstæm]) is the national hero of Greater Iran in Persian mythology. Rostam is the champion of champions. As a...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Huyu jamaa nakua simwelewi anampango gani Chadema. Naomba apumzike kwanza na siasa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MWANZO WA MWISHO WA MICHANGO MIKUBWA YA SHEREHE Nimekuwa nafuatilia jinsi desturi ya kuchangia na kufanya sherehe kubwa inavyozidi kushika kasi, ikipelekea ule wigo wa kuomba michango...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kukaa kimya bila kusema chochote baada ya wafuasi wake kuandamana na kupigwa mabomu ni sawa na kukubaliana na kitendo kile.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi kama Mtanzania mzalendo naipa hongera CUF kwa kufanikiwa kuanika hadharani nia na lengo la kudai Katiba mpya ,hivi sasa sio siri tena Dunia nzima imeshapata habari,hivyo kiongozi mkuu yeyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wananchi Tusome Hii Article Kutoka AP. Tunaona Hawa Makada wa CCM Huku Jamii Forum Wanajitahidi Sana Kutetea Madhambi na Maafa ya CCM Tanzania. Ukweli Kama Tulivyojua Tangu Zamani JK na CCM...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom