Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Gazeti la Habari Leo linatufahamisha ya kuwa Mahakama zimewaonya wenye kesi za madai ya kupinga matokeo ya kura za Ubunge...........kwa kudai ya kuwa wazitafakari na kuona kama zina misingi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inaonyesha wandugu mna tatizo kubwa sana ,na bado hamjalielewa hadi hii leo ,mnahitaji kusaidiwa kwa hili ! Hiv mnaelewa kuwa bado kabisa mahakama zetu hazijaweza kujitegemeaa katika kutoa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jana naibu katibu mkuu wa CDM Zitto kabwe amefanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya kawawa mjini kigoma na kueleza haja ya kufanya tathnimini ndani ya chama juu ya uchaguzi uliopiita...
0 Reactions
76 Replies
8K Views
Nimeona ili uwe serikaliini wana scales zao wanaita TGS sijui E,F n G pia na PUTS inayo kuanzia hapo 16-21 Mi nataka wanaJF mnijuze hili maana kule Economic forum visitors wachache naona...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
19 December 2010 Leon Bahati JAJI Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, ameiponda hukumu iliyotolewa na jopo la majaji saba wa Mahakama ya Rufani kuhusu suala la mgombea binafsi akisema imeonyesha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania yaingia ubia umeme wa upepo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Power Pool East Africa, Machwa Kagoswe, akitoa maelezo kwa Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Lazaro Nyalandu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Diwani Chadema kuwania umeya Arusha Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 13th December 2010 @ 11:08 DIWANI wa Kata ya Kimandolu katika Jiji la Arusha, Estomi Mallah amepitishwa na Chama...
0 Reactions
266 Replies
28K Views
With reference to african mode of assuming power,I now find it appropriate to raise a new form of government, "democratic dictatorship" This suits as far as many african leaders conduct democratic...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Gazeti la Tanzania Daima la leo linatuhabarisha ya kuwa SYNOVATE ambao wengi tunaamini ni magwiji wa kuchakachua matoeko ya kura za maoni ya Uraisi hawajawalipa wafanyakazi wao mishahara yao na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.
0 Reactions
88 Replies
8K Views
GrEatThinkers, Kuna wadau wametoa wazo la kutengeneza fulana za Dr. Slaa, Ushauri wangu ni kuwa ktk maandamano ya Januari tuwe pia na Sare ya Fulana hizo ikiwezekana. mnasemaje wadau??
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Salamu za Sikukuu ya Noel na Mwaka Mpya. Leo nimesoma habari njema katika gazeti la Mwanachi kuwa Tanzania nimeingia ubia na kampuni ya Power Pool Africa ili kuingiza umeme wa Upepo katika grid...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wiki iliyopita niliandika hapa nikiuliza kama kulikuwa na uhalali wowote wa kumuita EL kuwa ni PM mstaafu, niliandika hivyo nikiwa nalinganisha matendo yake ya kabla ya kujiuzuru na ya sasa, pia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
For the JF members in USA, please tune to CBS 60 minutes there is coverage of Tanzania and Serengeti specific about the great migration and possibility of its decline if not extinction! Mods...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni hapa jamvini lakini nimejaribu kupitia Post za wanajamvi lakini CJAWAHI kuona,kusoma au mchango wa Mh JMK ndani ya Jamvi je? Hatembelei humu ndani kama afanyavyo Dr Slaa?Au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mimi ni kijana ambaye najisikia vibaya kuendelea kuitwa mwana sisisem, nina kadi ya sisisem na nataka niachane nao nijiunge na CHADEMA, naomba mnisaidie maswali yafuatayo yananitatiza:- 1...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
*************************** SOURCE: Gazeti la Mwanza liitwalo MZAWA Toleo la : 588 Date: Desemba 25, 2010, Page: Front Page Headline: Sakata la Umeya wa Jiji la Mwanza, CHADEMA yamkaanga...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Gazeti la Mwananchi linatutaarifu ya kuwa Spika Mstaafu Mheshimiwa Samweli Sitta anamvutia pumzi kada wa CCM Bw. John Mgeja ambaye ameahidi kwenda kwenye NEC ya CCM na kujenga hoja binafsi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CHADEMA yatoa masharti mgogoro wa mameya Na Reuben Kagaruki CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa masharti ya kumaliza mgogoro ya uchaguzi wa mameya katika maeneo yote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
YouTube - Waislamu Tanganyika 1.mp4
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom