Tanzania ni nchi nzuri ambayo viongozi wake wamekazania kuiharibu kwa makusudi. Tufunge na kuomba hawa watu wanotuharibia nchi yetu watahayari na kutuachia nchi yetu bila kutuachia matatizo...
Ninashangazwa na wanasiasa na wapambe wa CCM wanaowawekea vikwazo na kuwanyoshea kidole Chadema eti waachane na mpango wa maandamano kwa madai kuwa watanzania hawana utamaduni huo. Naipongeza...
Eti kauli hii ya DCI manumba kwamba mbunge wa arusha mjini hakuguswa na polisi yaani kupigwa kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari, isipokuwa ni propoganda za chadema tu.
pia Star tv...
Tanzania changes depends on the most creative and talented young people,rather than rely on politicians or who will be a president.
As a president has his part however he will never make a big...
Gazeti la Tanzania Daima linatuhabarisha ya kuwa misuguano kati ya Waziri wa Afrika Mashariki Samweli Sitta na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa inainyanyasa CCM na kuleta migawanyiko na mifarakano...
Naomba na wafanyakazi wanaoaanza kazi kwa miaka MITANO(5) ya kwanza wawe wanapewa Tax Holliday na endapo watahamia kwa muajiri mwingine hiwe hivyohivyo mpaka hapo atakapo timiza miaka mitano kwa...
WanaJF
Nichukue fursa hii kwanza kuwatakia Heri ya X-mas na pia kuendelea kushukuru kwa michango yenu Adhimu. Kwa kuzingatia mawazo ya Wadau, ninapost mapema mada ya wiki hii kuwapa muda kufanya...
CUF na TUCTA wanapanga kuandamana. Ni sawa! Lakini jamani tungepiga kura kwa uangalifu, tungekuwa na sababu ya kuandamana? Si tuliyataka wenyewe? Tulipiga kura kama vipofu, sasa tunalalama kama...
Huyu Kipara aka Kipara aka Kipara ndio aibu kubwa ya mwaka huu kwa UDSM...
Chuo hiki kinafahamika kwa mihemuko ya kisiasa hapa nchini lakin mamluki lukuki wameamua ku-dilute ile DARUSO...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Jaji Frederick Mwita Werema kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuanzia leo...
Ninamfahamu kwa karibu kamanda Andengenye RPC wa Arusha. huyu alimaliza masomo pale ya sheria miaka ya kati ya ninety UD na akabahatika kuwa mpambe wa IGP Mahita. IGP Mahita amejulikana kati ya...
By Gerald Kitabu
25th December 2010
The United Civic Front CUF has said the partys preview of the election results held in October this year, shows that it won in more than...
Inaelekea kuna mengi Mkoa wa Pwani na hata yale cha kuchimba choo kwa Mamilioni inaelekea yaukweli.
Nyumba ya Mtumishi imepigwa plasta na kuzibwa nyufa kwa 50 Millioni na 90 Millioni ni kwa ajili...
Bara la Afrika limekuwa likikumbwa na matatizo yanayofanana mfano: angalia Uchaguzi wa Tanzania, Ivory coast, Zimbabwe, Kenya, Sudan na kwingine. imefika wakati baadhi ya watu wanajiaminisha...
Wafanyakazi wote nchini watandamana kupinga bei ya umeme, hayo yamesemwa na
Katibu Mkuu wa TUCTA, Nicholas Mgaya, source Mwananchi 25 Dec 2010
The only way now ni Maandamano to save TZ iliyo...
Takwimu zinaonyesha kwamba zaidi ya asilimia 65 ya watanzania walio masikini wa kutupwa, ni wakulima waishio vijijini. Aidha tafiti zinaonyesha kwamba masikini hao mara kwa mara huwa...
Wana JF,
Hivi ukiondoa marais wa Ghana, Afrika Kusini na Botswana, ni rais gani wa Afrika mwenye jeuri ya kumnyoshea kidole cha shutma Gbagbo wa Ivory Coast?? Kwa mtazamo wangu simwoni. Labda...
Mungu wetu wa Mapendo,mbona unaiacha nchi yetu inakwenda mrama?
Ni nchi yenye amani tangu uhuru toka kwa Waingereza!Jirani zetu wamepigana,wameuana lakini UCHUMI wao na maendeleo ya wananchi wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.