Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Dr hossea alisema kweli kwamba kikwete hataki kuwapeleka mafisadi wakubwa mahakamani !! Na ndio maana hata wakati wa uchaguzi mwaka huu aliwanadi watuhumiwa wote na kuwapongeza kuwa ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa nini inaonekana Zitto hapati sympathy kubwa kutoka kwa wananchi (hata humu ndani JF) kutokana na kufikishwa kwake mahakamani? Hii ni dalili ya kuwa nyota yange yaanza kufifia kutokana na kauli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natabiri anguko kubwa la CDM kabla ya mwaka 2013. Na pia natabiri CCM kupata ushindi mkubwa zaidi ktk uchaguzi wa 2015. Anaebisha na abishe, Novemba 2015 tutasutana.Tuombe uzima
0 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Closed
Kumezuka na zengwe kubwa la udini katika uchaguzi wa mwaka huu. Kila chama kati ya vyama viwili tajwa hapo juu vikituhumu kingine kujihusiha na siasa za Kidini na kibaguzi. 1. CCM Umekuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
WanaJF, SALAAM!! Kwanza nianze ku-declare interest kuwa mimi ni muislam, nisiye na mpenzi na chama chochote cha siasa. Ni mpenzi wa yeyote yule anaeitakia mema Tanzania na Watanzania. Nianze...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
UVCCM: Hatuna mpasuko, tunajipanga 2015 Imeandikwa na Angela Semaya; Tarehe: 24th December 2010 @ 23:26 JUMUIYA ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema haina mpasuko wala makundi ndani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwamba kwa ukanda wa Afrika Mashariki, 'shule' ilianzia Kenya, ikaja mikoa ya Kaskazini (Magharibi na Mashariki zake) mwa TZ? Ndiyo maana leo hii watawala waongo-waongo hawafanikiwi kudumu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi karibuni kwenye taarifa ya habari TBC1 Manumba alisikika akitamka kwamba Zitto anatishiwa kuuawa! Ni habari ya kuogopesha na kushangaza kwa vile watanzania hatuna utamaduni wa mauaji. Hadi...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Umeya wazua kizaazaa • CHADEMA wataka chaguzi ziahirishwe na Mwandishi wetu CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa John Tendwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nina believe ya chuki sana na hawa watu wa Tanesco, kwasababu nina experience ya miji kama mitatu hivi kuhusiana na hiyo Heading na ndio maana inanifanya niamini kunaconection na Majambazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa uelewa wangu mimi, najua Selikali ya umoja wa kitaifa huundwa na vyama vyote ambavyo vinahusika katika kukamilisha uchaguzi mkuu wa vyama vingi, ninapo sema hivyo namaanisha vyama vyote viwe...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikikereka na tatizo la umeme katika nchi hii.Tatizo la ukosefu wa nishati hii muhimu limekuwa tatizo kubwa sana tangu enzi na enzi huku viongozi wa TANESCO na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mpango wa serikali kuvipa vyama vya siasa RUZUKU ni sawa kabisa kwa kuwa ni vyama vyetu sisi wenyewe. Lakini, maswali yote yatakua yamejibiwa juu ya zoezi hili ipasavyo?? Labda nanze kwa kuuliza...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
DIWANI wa Kata ya Bumera, wilayani Tarime, Tengera Marwa (CHADEMA), amelazimika kula kiapo akiwa rumande wakati wa kikao cha kwanza cha baraza la madiwani wa halmashauri hiyo mwishoni mwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana TUCTA wamekuja juu na kusema hawaafiki bei mpya ya umeme na kuwa wataitisha maandamano nchi nzima kupinga bei hiyo ambayo itachangia sana kuua soko la ajira na kuwaongezea gharama ya maisha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cables released by whistle-blowing website WikiLeaks show that the drug trade is not only facilitated by security personnel, but also high ranking military personnel, influential businessmen and...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimelitafakari sana hili, na nimegundua kwamba tangu kuapishwa kwa JK mwezi uliyopita, Watz wamekuwa wanaonja machungu tu: Mgao wa umeme na maji, habari za kupanda bei za umeme, ongezeko la bei ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Reviewing Nyerere in Elections Year Amir Demeke 25 August 2010 Book review Kigali - For those concerned with Africa's liberation, it becomes increasingly important to anchor our steps in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chadema yaandaa maandamano kupinga bei mpya ya umeme Wednesday, 22 December 2010 20:07 Hussein Issa na Eveline Kijumbe CHAMA Cha Demokrasia...
0 Reactions
244 Replies
15K Views
Kila mwenye imani aombe Dua kwa imani yake ili MWENYEZI MUNGU ATUANGAZIE BAYANA TUONE HILI BILA UNAFIKI WALA UBINAFSI AU UMASLAHI WA PANDE MOJA YA MUUNGANO; Tulikubaliana tuue mama zetu ili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom