Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wazungu waliokuwa na mashamba makubwa, walirudishiwa thamani ya mali zao, wakiristo waliokuwa wanamiliki zaidi ya nyumba moja, hakuna hata mmoja alietaifishwa. Mabenki ya wazungu, yalirudishiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wananchi Tuanze Kufuatilia Faida za Uuzwaji wa Madini na Mikataba Hewa. Leo Hii Sijui Kama Wengi Tunafahamu Mikataba na Faida Zinazoingizwa Kutokana na Hii Migodi Yetu? Wananchi Leo Hii Hatuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wiki kama mbili zilizopita Waziri wa nishati alinukiriwa na vyombo vya habari kwamba swala la mgao wa umeme sasa ni hadithi TZ. Sasa Tanesco wametangaza mgao, tena mgao mkali wa umeme. Je kuna...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kitu cha Kushangaza Kwanini Wananchi Tunawalipa Wafanyakazi wa TBC na Daily News? Watanzania Tunajua Hivi Vyombo ni Mdomo wa CCM Kwanini CCM Isiwalipe? Sisiem Si Wana Mnamiradi Yenu? Wananchi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna taarifa kwamba vita ya Umeya Kigoma imechukua sura mpya baada ya Zitto kabwe kuitwa polisi na kuna habari kwamba amekwisha kuandaliwa mashitaka mazito ya kumtorosha mtuhumiwa kituo cha...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF, Hivi wananchi wanaolalamika kuhusu kupanda kwa bei ya umeme, walitarajia nini wakati wenyewe ndiyo walioichagua ccm?? Mtazamo wangu ni kuwa kama wamemchagua jk na ccm yake...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Six members of the Kenyan parliament and a businessman have been named for having links to drug trade in the east African country. Kenyan Internal Security Minister George Saitoti said Ali...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mchangiaji mmoja amehoji hapa kwamba maadamano ya upuuzi yatakwisha lini? Amewataka wananchi watulie kwa vile uchaguzi umekwisha na CHADEMA wasilete chokochoko. Waiache ccm iendelee kutekeleza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wachumi na wale mlio karibu na taarifa sahihi tujuzeni. Uchaguzi umeisha miezi miwili iliyopita, ccm na serikali walifuja pesa sana. Je, hawajaongeza idadi zaidi ya noti kwenye mzunguko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanini mawaziri wote makini wa serikali yetu mpaka sasa wanatoka mkoa mmoja?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tupo pamoja kwenye JF
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Wana JF, NAJUA mtavmba macho kuhusu hii mada. But, i stand for logic and transparency! Hili shirika la umeme apewe mzalendo kuendesha, nchi isonge mbele. Mambo haya ya ufisadi, yataisha.. Ujamaa...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Wajameni kama ni wafuatiliaji wa mrengo wa haya magazeti mtagundua kubadilika kwa ghafla mtazamo wao kuhusu hali halisi ya Ufisadi katika CCM. Kulikoni? wadadisi wa mambo wanasema Matokeo ya kesi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi members! This is my first post and I hope will be given chance by MODs I request members to give out their views on three contested mayoral seats at the abovementioned cities and municipal...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunampongeza Mh Tibaijuka kwa kazi anayoifanya ya kujribu kufuata taratibu zinazohusiana na plan ya jiji kama lilivyotakiwa liwe na wizara ya ardhi. Ambalo linatia wasiwasi kidogo ktk shughuli...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Gazeti la Rai limekusanywa leo na halipatikani kabisa. Taarifa tulizonazo zinaeleza kuwa lilikuwa na habari inayoonyesha kuwa Beno Malissa na Ridhwan Kikwete wanaandaa mapinduzi ya kumng'oa Katibu...
0 Reactions
52 Replies
9K Views
Kwamba hawezi hata kufikiria kuihama Chadema. Labda kuna watu wanataka ahame, lakini yeye hawezi kurudia makosa waliyotenda waliomtangulia source: tbc1 radio, saa 2 usiku huu my take, kwamba...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
kumetokea ajal hapa daraja la wami watu watatu wamekufa papo hapo ajali imehusisha gar aina ya fuso..kilichowakumba abiri wanaenda arusha na wanaoenda dar ni folen yan hakupitk kabisa.. Tanzania...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Posted Date::11/14/2007 Wanasiasa, wasomi sasa wapongeza uteuzi wa Rais Kikwete Na Waandishi Wetu, Dodoma Mwananchi BAADHI ya wanasiasa na wasomi wameunga mkono uamuzi wa Rais Jakaya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Najua kuna wengi huenda hawakuipata hii. Nimeitafuta sijaiona jamvini baada ya rafiki kuniambia niitafute. Ila nimeikuta feacebook yake. Wanaoitafuta kama mimi, hii hapa Msimamo wa Chadema...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom