Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Miaka ya 2003 Mh Pombe magufuri alikuwa na na kesi na jamaa mmoja alikuwa anamdai m300, jamaa alikuwa anatumwa kwenda kulamba 10% tanroards, sehemu kibao tu, kesi waliombwa waitoe mahakamani na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Harufu kali ya rushwa ndani ya CCM kwa wanachama wa chama hicho wakati wa kura za maoni ilinishtua, na taasisi ya kuzuia rushwa ilionekana imekamilika kulivalia njuga. Karibu kila kona ya nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tukubalianeni kabisa kuwa uchaguzi umemalizika kwa salama,kama ni mechi ndio imekwisha na mshindi ameshatangazwa ,ikiwa ni rufaa basi wa kushitakiwa na kukabwa ni refa na sio mshindi ,ndivyo mambo...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Gazeti la Rai leo hii limekumbana na Umafia wa watu wanaosadikiwa ni wa TIS kwa kununua nakala zote ambazo ilikuwa imeziandika habari ambazo huenda zitajiri siku za usoni. Watu hao walikwenda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Siku zote wahenga hunena, panapofuka moshi kuna moto, Nimeanza kwa msemo huu nikijaribu kuoanisha na jinsi mambo yanavyokwenda katika kipindi hiki kifupi baada ya uchaguzi. Migomo imeanza kushika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dk.msekela amechemsha kwa kusimama mbele na kutangaza kuwa maandamano ya wanachuo ni haramu. Hivi rc anayetakiwa kuwa neutral anapokuwa na upande watu wakimbilie wapi?? Amejiaibisha kwa kuingilia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimesoma habari ya kushangaza kidogo kwenye gazeti la HabariLeo ikimnukuu mtu anayeitwa Khamis Mgeja (Mwenyekiti wa CCM Shinyanga) akisema eti atamfikisha Samuel Sitta NEC ya CCM kutokana na kauli...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Mwananchi amwambia wakikutana uso kwa uso patachimbika..... Akijibu swali kuhusu madeni ya Tanesco asema Tanesco ilikuwa inadai zaidi ya bil 100 wakati netgroup solution walipoondoka lakini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Chama Tawala CCM, kimetwaa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma. CCM OYEEEEEEE!!!!!!!!
0 Reactions
31 Replies
3K Views
ccm ya leo ya lowasa,rostam, na jk, imejaa idadi kubwa ya wezi, magaidi, mafisadi,wabinafsi, wakwepa kodi, matapeli,watu wanaopenda maisha ya chapu chapu, wavivu, na watu wasiomogopa MUNGU.ccm ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BAE investigation: Tanzanian anti-corruption chief 'in fear for his life' Dec, 20, 2010 12:01 AM - Guardian (UK) The Tanzanian prosecutor investigating worldwide misconduct by BAE, Britain's...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
a Samson Mwigamba KWA ruhusa yenu wasomaji naomba nianze kwa kuwashukuru sana kwa mrejesho mlioufanya juu ya makala yangu ya wiki iliyopita. Ni imani yangu kwamba Waziri Kombani ameisoma...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakubwa, Jana kwenye taarifa ya habari TBC1 nikamsikia Manumba akitamka kuhusu habari kwamba Zitto kutishiwa kuuawa, mimi sikubaliani kabisa kwamba hivi nani amuue zitto? kwa lipi hasa...
0 Reactions
92 Replies
7K Views
Akihutubia walimu na wanacho kikuu cha dsm leo, kupitia wosia wa baba tbc1, amewakosoa walimu wa chuo kikuu wanaosema hewala bwana kwa kila kisemwacho na serikali. Amesema kuna wachache...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Taarifa kwa vyombo vya Habari Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inafuatilia kwa ukaribu taarifa kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Southwark mjini London, Uingereza kuiamuru Kampuni ya...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Tunamuomba mhe. SALEHE PAMBA avunje makundi kati ya madiwani ktk halmashauri ya wilaya pangani ili kuleta maendeleo. Wananchi wanamatumaini makubwa ingawa hakupata uwaziri kama wengi tulivyotarajia.
0 Reactions
2 Replies
979 Views
Wale vijana wanywa damu sasa wanajiandaa kumywa Martin Shigella kada yule aliyekuwa mkuu wa wilaya wilaya ya Mama Salma na akaletwa UVCCM kulinda maslahi ya kundi hilo. Hatua hii inakuja leo baada...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Waungwana, Mimi binafsi nimekuwa nikifatilia mijadala mingi na yenye tija kwa taifa hili kupitia luninga ya Star, ambapo baadhi ya mijadala hiyo nimepata kuchangia. Ninadhani sasa,, ya kwamba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wana jf niko katikati ya jiji la Arusha,hali ya hapa si shwari magari ya polisi yakiwa yamejaa FFU yakiwa na bendera nyekundu huku yakipiga ving'ora yakiwa sambamba na lile la kumwaga maji...
0 Reactions
116 Replies
11K Views
Hapana shaka Jakaya Kikwete amekuwa akihusishwa sana katika michongo mingi ya kifisadi iliyo wahusisha marafiki zake. Imekuwa ikisemekana kuwa fedha zilizopatikana kwenye michongo hiyo ndizo...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom