Ndugu zangu Watz naona si wakati tena wa kuwa wavivu wa kufikiri na kutokuwa na muelekeo sahihi wa power ya wananchi, zidi ya taarifa za uongo juu ya mambo yanayoadhili maisha yetu na maendeleo ya...
msiseme msukuma nimekuwa mkabila.
ila huu ni ukweli.
baadhi ya indians, na hasa wale wameajiriwa kwenye kampuni za wazawa au wawekezaji wasio wahindi, hawataki kupokea mishara yao ya mwezi...
Imeelezwa kuwa gharama za kuendesha kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi ni Tshs Bilioni 2 kwa uchache na hizi gharama zinalipwa na waTZ waliodhulumiwa haki zao na watawala walioamua kujitangazia...
Lile dukuduku la chadema kuzuiwa kufanya mkutano leo Arusha wamesharuhusiwa! Ndesamburo/Lema/Mbowe ndani ya uwanja leo:peace::whoo:WAO WANAPESA SISI TUNA MUNGU!
Hivi wajameni kwanini kusiwe na watu watakaojitolea kuwachapa risasi mafisadi? maana mahakama (sheria) zimeshindwa kuwagusa, Hosea naye anawagwaya..., kilichobaki ni sheria mkononi...maana hamna...
Badala ya Tanesco kuwa na monopoly ya sole provider wa umeme Tanzania Kampuni nyingine ziruhusiwe kuprovide umeme. Kama ilivyotokea kwa TTCL... Tanesco inaweza kuendelea kuwa inalease miundombinu...
Nimepita pale lango la Lugalo...kukuta yard kubwa sana ya matrekta....yameegeshwa kusubiri wadau wa kilimo kwanza....nikaona vema niingie nisikilizee labda masharti yako vipi nami...
Nimeona ruzuku watakayo pata chadema kama itatumika ipasavyo naamini chama kitafika mbali itumike kufungua mashina,kufika vijijini,kutoa elimu ya uraia na maeneo mengne chadema kinapata milion 200...
Jamani naomba ufafanuzi wa tofauti ya kimadaraka na kikazi kati ya Mayor na RC. Je kuna ulazima wa kuwa na vyeo hivyo viwili mkoa mmoja? Kwanin kisifutwe kimoja kupunguza gharama?
YAMO MAGARI YA WAHISANI YALIYOTOLEWA KAMA MSAADA
na Betty Kangonga
WAKATI serikali ikitamba kwamba imejipanga kudhibiti matumizi, baadhi ya vigogo katika wizara na idara mbalimbali...
Viongozi waandamizi wa Chadema wakiwemo Tumbo na Singo Benson.............wamenguruma kuwa mapendekezo ya bei mpya ya umeme yasitishwe kwa sababu ni mzigo usiobebeka kwa wananchi na chanzo cha...
Dr,W.Slaa
Kuna thread ya maandamano ya amani nchi nzima. Tafadhali ipitie hiyo thread na usome mawazo na ujumbe uliomo humo. Uone kama kwa upande wenu kama CHADEMA mutaichukua hiyo changa moto...
Pole kwa wale waliodhani kwamba Tanzania ni taifa lisilokua na wenye uchungu nayo!!!
Mama nako pia sehemu za kupikia vyakula vya wazungu katikati ya mji tayari vimezidi sasa tunaomba usikie...
President Jakaya Mrisho Kikwete presents a Makonde carving to the newly appointed Tanzanian goodwill ambassador for tourism Mr.Doug Pitt during a special recognition ceremony held in New York last...
Nimepita hapo saa moja na nusu usiku, yaani dakika chache zilizopita. Askari wa Jiji na polisi jumla hawapungui 100. Magari matano yamepark upande wa baharini yameeasha taa kumulika upande wa pili...
Kwanini wabunge wa CDM hawakushinda katika maeneo haya? maana nashindwa kuelewa ni kwa nini raisi wetu apate kura nyingi namna hii the tusipate mbunge hata mmoja ina maana walichakachua kihivyo...
Mimi ni mwanamageuzi wa siku nyingi napenda kugombea ubunge kupitia CUF mwaka 2015 jimbo moja mkoani manyara, vipi uungwaji wa CUF huko na mikakati gani natakiwa kufanya kuanzia sasa?
Tuache...
TANESCO ni nini? EWURA ni nini? na Nchi yetu inapelekwa wapi na Taasisi hizi??
Ni hali ya Masikitiko makubwa, Uchumi unavurugika, Wananchi wanazidi kudidimia ktk dimbwi la kukosa huduma, ziwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.