Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Siku za karibuni hapa Tanzania tumeshuhudia mpatano wa kifikra katika ya taasisi fulani za kidini na baadhi ya vyama vya kisiasa. Mfano ni madai ya katiba mpya au shutuma za ufisadi dhidi ya...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Wajamani bado nipo na hang over but nimeweza kusikia hii Kituo cha redio Triple A FM imetangaza kuwa mkutano wa chadema Ambao unatakiwa kufanyika leo wanasema si halali Hivyo tunatahadhalishwa...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA, kimekiri kwamba mbunge wake wa arusha, Godbless Lema alishikiliwa na kuhojiwa vizuri na polisi kufuatia fujo zilizojitokeza kwenye uchaguzi wa meya wa...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
TANESCO ni nini? EWURA ni nini? na Nchi yetu inapelekwa wapi na Taasisi hizi?? Ni hali ya Masikitiko makubwa, Uchumi unavurugika, Wananchi wanazidi kudidimia ktk dimbwi la kukosa huduma, ziwe za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais, wabunge na madiwani ni wachaguliwa na wananchi, na wanalindwa na vyombo vya dola kimsingi tokana na wajibu wa kazi zao wakiwa ndio sauti za wananchi. Vyombo vya dolla vina utararatibu na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nina maswali mawili tu kwa leo nilyoyatohoa kwenye gazeti la wiki hii la Mwanahalisi kwa wenye mapenzi bado na Mheshimiwa huyu ambae kwa maoni yangu naona kama vile heshima yake inaanza kushuka...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mwandishi wetu, Arusha JESHI la polisi mkoani Arusha, limekumbwa na kashfa nyingine, baada ya polisi wake wawili kutuhumiwa kuwateka vijana watatu waliokuwa wakifanyabiashara na kuwapora...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wote tunajua kuwa moja ya sababu kubwa ya watanzania wengi hasa wale wenye upeo wa kiasi fulani kuhusu siasa zetu na historia ya harakati za demokrasia ya vyama vingi hadi sasa kushindwa kuamini...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Ukisikia tukio la ujambazi POLICE na FFU watafika kwenye tukio baada ya waharifu kuwa wameondoka. Ukisikia mkutano wa Chama Cha Upinzani na hasa CHADEMA POLICE na FFU watafika sehemu ya mkutano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu?ndugu zangu mi na maoni yafuatayo, kwa kutumia kura kamwe hatuwawezi mafisadi, pia kikwete ndio kinara wa ufisadi na kamwe hawezi watosa wenzie hivyo basi tusitaraji hukum ya...
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Umaskini, Ujinga, Maradhi, Udini na Ufisadi ni maradhi ambayo amini msiamini yanaisokomeza Tanzania na kuimaliza kabisa. Tanzania imejaliwa raslimali nyingi sana lakini ni bado ina umaskini wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Safari za Kikwete zakausha hazina Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 12 May 2010 SAFARI za Rais Jakaya Kikwete nje ya nchi, tangu alipoingia madarakani, zimeligharimu taifa mabilioni ya...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Jamaani mnafiki ole aliwahi kusema jk kamanda wa kupambana vita ya ufisadi sasa hosea amenukuliwa na wikileaks anasema jk ndo kikwazo.hii imekaaje kwa olesendeka binafsi namshauri asijiite tena...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama ni kweli kuwa JK na IGP walikuwa Arusha siku ya tukio la mbunge wa Arusha kupigwa maana yake ni nini? Haina maana kuwa alikuwepo katika kupanga hayo yaliyotokea? Tunaweza kutafsiri vipi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
CHENGE KUFURU TUPU, AMILIKI BILIONI 25 (Kayumba hana hata mia mfukoni) Na Saed Kubenea WAZIRI wa Miundombinu, Andrew Chenge anaogelea katika utajiri wa zaidi ya Sh. 25 bilioni zenye utata huku...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Daily Mail 24 November 2010 BAE Systems appeared at London's Westminster magistrates court charged with failing to keep proper records relating to payments for two contracts for an air traffic...
0 Reactions
122 Replies
9K Views
nimepata faraja kwa mtandao wa wikileaks kuonyesha ni jinsi gani serikali anavyokumbatia watuhumiwa wakuu wa rushwa na kikwete kutokuwa na dhamira ya kupigana na rushwa. hivi hakuna taarifa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF, baada ya kufuatilia kwa kina comments, analysis etc kutoka kwa wana Great Thinkers, nimegundua kwamba wana JF ni zaidi ya experts katika njanja zot-(Siasa, Uchumi, Sanaa, Jamii, Utali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[B] Jamani jana nilisikitika saana nilipokuwa nasikiliza Taarifa ya habari kupitia moja ya TV station hapa Bongo walipokuwa wakihojiana na mwandishi wa habari Ayoub Mzee toka Mahakama ya Hakimu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Source:- RADIO 1 STEREO. "Kikao cha kumpata MEYA wa jiji la Mwanza leo kimevunjika baada ya kutokea mvutano mkali baina ya madiwani wa CCM na Chadema ukumbini" Kazi ya uchakachuaji haijaisha.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom