WikiLeaks cables: Tanzania official investigating BAE 'fears for his life'
Prosecutor Edward Hoseah voiced safety fears over inquiry into 'dirty deal' involving sale of radar system to...
Kuna habari nilizozisikia kwenye vyombo vya habari Kuhusiana na mtoto wa mkulima kukataa gari ambalo tayari amenunuliwa! Sitaki kuamini kuwa tokea mchakato wa manunuzi ambao kwa serikalini...
Zamani tuliaminishwa kuwa sheria ni msumeno kwa maana kuwa hukata mbele na nyuma na kwamba hauchagui pa kukata.
Lakini taraaatibu ukweli nimeanza kuujua kuwa sheria siyo msumeno. Baada ya...
Huko nyuma nguvu za ccm zilitokana na chama hicho kwa dhati kabisa, kuwa mtetezi wa wanyonge kwa kauli na vitendo. Msimamo huo ulibadirika ghafla wakati wa uenyekiti wa rais wa hawamu ya tatu...
Jamani mbona SISIEM inatupeleka pabaya! Kweli tuna sheria za kipuuzi za namna
hii zinazoweza kuruhusu mbunge wa viti maalum mkoa wa Tanga aitwye Mary Chitanda kushiriki uchaguzi wa umeya Arusha...
Juzi tumeendelea kushuhudia uhaini wa demokrasia ukifanyika ndani ya nchi yetu wakati wa uchaguzi wa meya wa manispaa ya Arusha. Nauita uhaini kwa sababu kitendo kilichofanywa na madiwani wa CCM...
Siku ya leo maeneo mengi ya jiji wamekata umeme
jana wametangaza bei mpya kuongezeka kuanzia january au wanatafuta fedha za fidia ya dowans!!!!!!!!
Hatuwezi pata mpinzania wa tanesco kama...
Salaam wana JF.,
Imekuwa ikisisitizwa mara nyingi hasa na viongozi wetu kwamba kiswahili ndio lugha ya taifa tuienzi. Na sababu kubwa ya kuiweka kuwa lugha ya kufundishia ni kwa sababu ni lugha...
Wanajamvi
Hii mahakama ya kadhi ikirudi itabidi tuwaombe wazee wetu wapiganie kurudiswa kwa mahakama za kimila/Kijadi amabzo kwa kweli zilikuwa ni msaada mkubwa sana .
Kule vijijini...
Wakuu naomba nisaidieni juu ya aina ya vibali vinavyotakiwa kutolewa kwa hawa wanaokuja nchini kama watalii,exchange programe kwenye masecondary na wanaokuja kufanya kazi ya umachinga kama wachina...
Kamanda wa Polisi, anasema kwamba dereva alitoroka ama kutoroshwa na kwamba polisi hawajui yuko wapi na wanamtafuta??? Nadhani kesho watasema "wamempata" akiwa hajachubuka hata 'nywele'.... Je...
Dk Hoseah adaiwa kufichua siri za JK Send to a friend Monday, 20 December 2010 23:53
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, anadaiwa kufichua...
Rafiki yangu mmoja hakusita kutamka wazi kuwa anaomba rushwa iendelee. Nikamuuliza kulikoni? Naye akasema "Wewe unafikiri kama polisi-trafiki watafuata sheria zote, ni magari mangapi yatatembea...
Habari zinadai Chadema nao wameteua meya na makamu wake.
Mwaga mboga; tunamwaga ugali.
ngoma droo.
hizi ndo siasa za bongo.
full maji-taka.
source: Gazeti la Udaku(HabariLeo)
Diwani wa Kata ya Sokoni kupitia TLP, Michael Kivuyo amesema Meya wa jiji la Arusha Gaudence Lyimo wa CCM pamoja na yeye wamechaguliwa kinyume na kanuni ila kinachopaswa kufanywa na Chadema ni...
Mr Justice Bean tells Southwark Crown court it appeared that BAE had paid 'whatever was necessary' to get contract
BAE has steadfastly argued that it did not make corrupt payments to secure...
Wadau hebu naomba tuchangie hoja hii. Hivi ni kweli usalama wetu uko hatarini kiasi hiki?
Usalama wa Watanzania sasa uko hatarini!
Na Daniel Mbega
YAMEANDIKWA mambo mengi katika siku za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.