Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
President Kikwete and Ambassador Carlton Masters re-open Mount Meru Hotel President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete cuts the tape to officially re-open Mount Meru Hotel in Arusha yesterday evening...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ndugu Maggid, Ulikuwa unatuletea kisa cha mauaji ya mkuu wa mkoa wa Iringa miaka ya sabini Dk.Klerruu mara ghafla jiii, vipi umeambiwa inahatarisha usalama wa nchi?. Kama vipi endelea basi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikuwa miongoni wa waliolaumu uamuzi wale wabunge waCDM kususa hotuba, Niliainisha kwenye moja ya posting zangu kuwa (hapa nanukuu) ” Madai ya KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI NI YA MSINGI...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Diwani afariki baada ya kuapishwa na Francis Godwin, Iringa DIWANI wa Kata ya Gangilonga, Abubakar Mtamike, amefariki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dowans kuifilisi Tanesco Na Jabir Idrissa - Imechapwa 15 December 2010...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
'MANDUMILAKUWILI' TAMBUENI TANZANIA KUMEKUCHA!!! Kweli nakubali, huu ni uchambuzi MAKINI SANA na wenye kuchokoza zaidi FIKRA za kiundani zaidi za kila mmoja wetu. Na hata kwa MANDUMILAKUWILI...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Baada ya uchaguzi wa mwaka huu Chama Cha Chadema kimetokea kuwa chama mashuhuri kati ya vyama vya upinzani dhidi ya CCM. Si ajabu kuona kuna mikakati ya kukisambaratisha. Tunahitaji chama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutokana na msongamano wa magari ulivyo Dar es Salaam na utendaji wa Serikali ulivyo, hali ya foleni hapa Dar haitakaa iwe na nafuu yoyote ile. Yangu macho. Wakiweza kumaliza tatizo la foleni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
  • Closed
Udini unaweza kutafsiriwa tofatuti Tanzania Kwa Waisalamu: Udini Ni ile hali ya Serikali kuewapendelea wakristo katika nyanja za Uongozi, Huduma za kijamii, na Fursa za kiuchumi, ilihali...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
JAMANI WANAJAMVI NILIKUWA NAPITIA KITABU CHA NYERERE CHA UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA NIMEONA NI VEMA NINUKUU "...Nilisema awali kwamba kansa ya uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo ndo nimejiunga,salamu kwenu.
0 Reactions
1 Replies
923 Views
CCM shines at elections of mayors By DAILY NEWS Reporters, 17th December 2010 @ 11:33, Total Comments: 0, Hits: 73 WHILE the Ruling Party Chama cha Mapinduzi (CCM) has won most mayoral seats in...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wandugu, Kama ilivyo ada yangu kuyapitia magazeti ya bongo, nimekutana na hii habari ya Mhe. Nyalandu, Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko akimpongeza ndugu John Nduguru mfanyabiashara wa KiTz...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Idd Azan amethibitisha namna CCM imajaa wabunge vihiyo. Majira, Gazeti Huru la Kila Siku, inaripoti kuwa katika maeneo fulani Jijini Dar Es Salaam Mbunge wa Kinindoni, Idd Azan alikutana na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jaji kiongozi Ndg. Fakhih Jundu jumla ya Tshs 2bn zitatumika kwa ajili ya kusikiliza kesi 43 za kupinga matokeo ya ubunge katika uchaguzi mkuu. Hizi ni pesa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jaman mi nimeckia wa2 wanasema eti leo kuna newspaper imeandika hvyo lakn mm cjaliona! kama kuna aliyeliona anijuze
0 Reactions
21 Replies
3K Views
CUF kuweka mambo hadharani leo Friday, 17 December 2010 09:19 Na Waandishi Wetu, jijini CHAMA Cha Wananchi (CUF) leo kinatarajia kuweka mambo hadharani katika viwanja vya Temeke mwisho ambapo pia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mmiliki Palm Beach ampa Tibaijuka siku saba Thursday, 16 December 2010 20:51 Nora Damian BADALA ya kuendelea na mkakati wake wa kupambana na watu...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
A Free and fair election that we ought to struggle for: A response to Mwanakijiji. Dear Mwanakijiji, I read your article, that requested CHADEMA to unconditional apologize for their...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wanajamvi Kuna tatizo kubwa serikali yetu kuingia mikataba inayolinda maslai ya watanzania Baada ya kunagalia documentary moja ya kipindi cha wanyama pori walioko zoo moja huko ulaya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom