Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tajiri wa kiatabu ambaye ni brigadia mstaafu wa jeshi la omani bw suleiman mohammed yahya al andwi alisema alishawishiwa kuja tz na rostam azizi. Tajiri huyu alikuwa na hisa vodacom akiwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mnyika ajitolea mshahara wake Send to a friend Sunday, 12 December 2010 21:14 0diggsdigg Geofrey Nyang’oro MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika, ametoa asilimia 40 ya mshahara wake kwa...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
nimepata tetesi kuwa nahodha anaandaliwa kuwa rais wa jamuhuri 2015. sababu ni kuwa CCM wanataka kuokoa makundi yatakayoweza kujitokeza kutokana na mchakato. hii inatokana na watu wawili...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Nileongea na padri mmoja huko Sumbawanga kuhusu suala la waamini waliotengwa. Alinieleza kosa lililofanywa na waamini hao lilikuwa kushabikia suala la Utatu Mtakatifu kutumika katika kufananisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CHADEMA yaiponza CCM na Christopher Nyenyembe, Mbeya USHINDI mkubwa na wa kimbunga uliolikumba jimbo la Mbeya Mjini na kupoteza kiti cha ubunge na viti vingi vya udiwani vilivyokuwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamii, What areas to consider when doing a 'self apraisal' katika kazi tofauti tufanyazo, Najua huu ni ulingo wa great thinkers hivyo naomba tubadilishane UZOEFU katika hili. Naomba...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Hii serikali ya mseto ya aina yake ya Ivory Coast imechelewa sana kuja. Ulikuwa uwe mfano mzuri sana wa kuigwa na Tanzania, kwa kuwa sisi ni mahiri kwa hilo. Kama tulivyoweka serekali ya mseto...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
kwa kweli kila nikijaribu kujiuliza hii sera ya udiwani wa viti maalum nashindwa kuelewa mchango wake ni nini, ukizingatia kila jimbo linatoa madiwani wa viti maalum ambao sio chini ya kumi. hivi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nikiwa kama mtanzania wa kawaida ambae ninaipenda nchi yangu,sina budi nikitoa maoni yangu. Nimejaribu kufatilia sana siasa za Tanzania tokea uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995 kipindi cha...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ndugu wana JF, Nimesikitishwa sana na habari kuwa jumba la sanaa limehamishwa ili kupisha ujenzi wa gorofa ya kigogo mmoja ambaye alishawahi kuwa waziri mkuu. Jumba hili ni la muhimu sana na lipo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwa wale wafuatiliaji na ambao wangependa kujua kuhusu hii kesi, Itaanza kusikilizwa february 3, 2011 katika mahakama kuu hapa Dar es Salaam. Taarifa hiyo ilitolewa jana katika viwanja vya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
na Neema Kishebuka, Tanga MBUNGE wa Viti Maalumu, Amina Mwindau (CUF), amemwaga machozi, baada ya kuelezwa changamoto zinazowakabili watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Ansaar Muslim...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ofisa usalama adaiwa kuingilia uchaguzi Na Patrick Mabula, Chato MADIWANI wateule wa Hamashauri ya Wilaya ya Chato wamemtuhumu Ofisa Usalama wa Taifa wa Wilayani hiyo, Bw. Cusbert...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Seven theories to achieve; -History of our nation doesnt teach fatalism.There are moments when the will of a free men breaks through determinism and opens up new roads. -We have enjoyed so much...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Watanzania,kumbuka kila mtu ana imani yake. Baada ya kufuatilia mgogoro wa wafuasi wa ccm Sumbawanga kusadikiwa kuwekewa vikwazo katika sakramenti mbalimbali,nimeshangazwa sana na kauli inayodaiwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wana JF?ama baada ya salam ninapenda kuuweka jamvini utata nilionao kuhusu bwana Sumaye Waziri mkuu mstafu wa serikali ya awamu ya tatu,mwaka 2005,alikua ni mwiba kwa kikwete...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hii nieiona kwenye Face Book page ya rafiki yangu wa kwenye face book Kweli wazee huona mbali, Hongereni wazee wa CHDM, Zitto angekuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii CHDM kingekuwa wapi? tujadili...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Katka mfumo wa chama kimoja and backwards wakulima na wafanyakazi ni makundi makubwa yaliyotetewa na chama tawala. Kwenye bendera ya ccm kuna jembe na nyundo ikiwa ni alama ya jembe kwa mkulima...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
In Tanzania today, air-tickets, school fees, hotel accommodation, automobiles, import duty, merchandise and even rent within affluent parts of the country is being priced and paid in United States...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Leo asubuhi wakati wa kipindi cha udondozi wa magazeti, Tom Chilala alijitokeza ghafla na kukatiza habari aliyokuwa akisoma mfanyakazi mwenzake, kutoka kwenye gazeti la Mzalendo. Habari hiyo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom