Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
SERIKALI imesema iko tayari kukaa meza moja na chama cha upinzani cha Chadema au taasisi nyingine yoyote itakayotaka kujadiliana kuhusu mustakabali wa taifa. Waziri wa Nchi Ofisi ya...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
GreaTthinkErs Kwa jinsi suala hili la umeme linavyonikera licha ya kuwa na maporomoko mengi ya maji. Kwa jinsi mafisadi wanavyowabembeleza na kufunga vibaka kwa wanavyopeana vyeo utadhani nchi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
"ka nzi" kanakozunguka kwenye ofisi mbalimbali za serikali kamerudi na uchafu mwingine. Uchafu huu unadaiwa kuwa uko kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi ambayo ndiyo chombo ambacho Watanzania...
0 Reactions
46 Replies
8K Views
kuna wadau wameanza kampeni "PETITION" ya kuzitaka nchi wafadhili kukata misaada kwa Tanzania kwa sabau za kifisadi za serikali ya kikwete. Mnaomba kusaini hiyo petition ili hawa mafisadi washike...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ufisadi Ardhi wamtisha Waziri Anna Tibaijuka • RIDHIWAN, SOFIA, MWANRI, DK. KIMEI WAFIKISHWA TAKUKURU na Ratifa Baranyikwa WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ikiwa hali ndizo hizi,chaguzi za nini?. Hivi tunavyoandika chaguzi zenye mizozo ziko Haiti,Misri na Ivory Coast. Unajua haya mambo ya uchaguzi yana gharama mno,kuanzia mali mpaka muda na afya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hakuna asiyejua mtu aliyetuingiza kwenye mkenge wa ajabu wa jitu linaloitwa Richmond ambalo sasa linazaa jitu kubwa zaidi linanyonya damu yetu linaloitwa Dowans. Hapo zamani tuliambiwa na PCCB...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Imekuwa ni kawaida ya marais kusamehe wafungwa wa makosa mbalimbali hasa ya kifungo kidogo na makosa ambayo wafungwa wametumikia kwa muda furani. Ndg liyumba anasiku magereza na je wanajamii...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu Watanzania ambao tunaoshi maeneo ya Washington DC, tunawatangazia wote kwamba tutafanya mandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu, 2010 na namna shughuli ya kuhesabu kura za uchaguzi...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
BBC Kiswahili walitangaza leo jioni kwamba inaonekana marais wa Afrika wamebuni mfumo mpya wa demokrasia. kwamba waliopo madarakani wakishindwa kwenye uchaguzi hukataa matokeo. Lengo ni...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jumapili ya tarehe 5 dec 2010 ilikuwa ni siku ya furaha kwa wana wa moshi baada ya mh mbuge wa moshi mjini na madiwani wake kuandaa party ya shukrani kwa kila kata.ilikuwa imetulia sana.source me...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kiwewe baada ya kusikia Slaa(PhD) atapeperusha bendera ya Chadema kutumia vyombo vya ulinzi (unakumbuka hadithi ya shimbo?) kuchimbia mkwara wananchi kugomea kufanya mdahalo wa moja kwa moja kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna watu wana ham kweli ya kuona Chadema kinapotea katika medani ya siasa. Ninawasikitikia kwa sababu wamechelewa. Chadema kimeteka akili za Watanzania waliokwenda shule kama CCM kilivyoteka...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Obama amemwambia rais Bagbo kwamba akubali alishindwa kwa mpinzan wake na aachie madaraka. Kwanin Obama hakumwambie JK kwamba ameshindwa na amuachie Slaa nchi? Kama mnakumbuka mmoja wapo wa...
0 Reactions
65 Replies
5K Views
Jana nimensikia mh Nahodha, waziri wa mambo ya ndani akiongea na waandishi wa habari akiwa pamoja na vyombo vyake vya usalama. Alikuwa akizungumza kupitia kipindi kilichorekodiwa cha Polisi na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
CUF tangu kuanzishwa kwake imekuwa na nguvu sana Pemba, na idadi ya wabunge wake wakati wote imebakia ile ile kukiwa na mabadiliko kidogo sana. Licha ya kwamba chama hiki kilianzishwa Tanzania...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Sitta: Kuilipa Downs ni kuhujumu uchumi Send to a friend Wednesday, 08 December 2010 08:13 ASEMA HIZO NI NJAMA ZA GENGE LINALOTAFUTA FEDHA ZA UCHAGUZI MKUU 2015 Na Mwandishi Wetu WAZIRI mpya wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika Gazeti la MwanaHalisi la wiki iliyopita kulikuwepo stori iliyohusu namna wakubwa waliokuwemo katika serikali iliyomaliza kipindi chake hivi karibuni, walivyo jinemesha wakati wa kulipana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wengi huhitaji kuchaguliwa kuwa viongozi lakini hutaka ajira zaidi na madaraka yatakayo ambatana na malupulupu na huu ndio ukweli.Idadi ya mawaziri ni kubwa mno kiasi kwamba wengi wao hawana uwezo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Monday, 06 December 2010 08:45 Fredy Azzah MWENYEKITI wa CCM, Jakaya Kikwete amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho katika ngazi zote, kuaangalia kwa makini mambo ambayo yalisababisha...
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Back
Top Bottom