Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mkulo: Kilichoenda kwa wahisani si bajeti Mwananchi, Wednesday, 08 December 2010 Raymond Kaminyoge SIKU tatu baada ya Kundi la nchi wahisani wa maendeleo ambalo zinachangia kwenye bajeti ya...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari, Utafiti uliopatikana hivi karibuni umefumbua yaliyofichwa... Wengi wamekuwa wakisikitika kwa CHADEMA kutoka bungeni bila kuwa na baraka za wananchi.. Mengi yameongelewa lakini wengi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Gazeti La CCM Uhuru la leo linatuhabarisha ya kuwa Wenje ametimkia Dar akikimbia mkono mrefu wa dola ambayo inamsaka kwa kuhamasisha machinga kufanya vurugu endapo Chadema haitanyakua nafasi ya...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
ni furaha iliyooje kwa watanzania bara leo tarehe 9 desember kusherehekea uhuru lakini ja unafahamu kuwa uhuru wa zanzibar ni kesho tarehe 10
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu Wanajamii!, Kuna Wazungu Watatu wanaishi mjini Tanga,Ni raia wa Nchi za kigeni.Ni Wazungu ambao wamekuwa kero kwa Wakazi wengi wa Tanga.Inasemekana kuwa Wazungu hao ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mpendazoe kuweka wazi masuala ya kesi yake dhidi ya Mahanga Jumamosi Ndugu zangu wote katika JF, mmekuwa mnakumbuka kuwa nimekuwa nawafahamisha kuhusu kesi aliyofungua Mpendazoe dhidi ya Mahanga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Victory for Dr. Slaa depends on the high voters turn out. This is important because it will make it very hard to manipulate votes in one polling area, more votes less vote manipulation because...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
Wednesday, 08 December 2010 NA PETER KATULANDA, GEITA MKAZI wa Kasamwa wilayani Geita, Mussa Dotto, ambaye alitembea kwa baiskeli hadi Dar es Salaam, kumpongeza Rais Jakaya Kikwete, amerejea...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Shehe Yahya amtabiria JK ushindi 2010 Imeandikwa na Na Mwandishi Wetu; Tarehe: 23rd December 2009 MTABIRI maarufu wa Afrika Mashariki, Shehe Yahya Hussein ametabiri kuwa Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sitta amechemka - Wanasheria Siku moja baada ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kutoa maoni yake kuhusu hukumu ya mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro ya...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Hivi hamjajiuliza hivi mheshimiwa sana bwana SK kwanini amebakiwa na habari moja tu kila wiki toka uchaguzi uishe? Hivi bado hamjajiuliza mtu huyohuyo aliyekuwa akianika ufisadi mpaka akamwagiwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza; hivi hii ni miaka 49 ya uhuru wa Tanzania au Tanganyika. Maana kwa uelewa wangu mdogo, Tanzania haijawahi kutawaliwa and therefore haijawahi kupata uhuru. Au ni kwamba baada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu, sifahamu hasa wamiliki wa JF na kwamba waliazisha wakikusudia nini. Kwangu mimi ni dhairi kwamba JF imechangia sana katika kukuza demokrasia katika siasa na sera za Tz. Pia katika...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau nisaidieni, huyu mtu (NM) amekuwa akihusishwa na tuhuma nyingi hasa zile za kimataifa kwa kutumia taaluma yake ya sheria.
0 Reactions
28 Replies
8K Views
The UN Security Council has issued a statement saying that Ivory Coast opposition candidate Alassane Ouattara won the disputed presidential election. The statement came after three...
0 Reactions
1 Replies
995 Views
Maana ya Rushwa ni matumizi mabaya ya ofisi ya UMMA kwa manufaa binafsi... Sasa simwellewi waziri anapodai kuwa watoto wa vigogo ndo wenye akili wakati tunajua fika wao ndio vilaza namba Moja hapa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanabodi, Leo 9 December tunaadhimisha miaka 49 ya Uhuru na miaka 48 ya Jamhuri ya Tanganyika. Kwa wale wenzetu wenye access ya TV au walioko uwanjani sio mbaya wakichukua picha za matukio...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo Hii Wale Tunaoifuata Siasa ya Tanzania Tutaona Jinsi Gani Siri Zinaimaliza Inchi. Miaka Nenda Rudi Tanzania Inaongozwa na Kikundi cha Watu Wachache Sana. Hawa Mafisadi Ndio Wanaamua Waombe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ukiangalia Mikoa Iliyovunjwa ni ile yenye Uchumi Bora na Upinzani kwa CCM wakati Mkoa Wa Pwani, Lindi na Morogoro ni mikubwa lakini haijaendelea kama Mwanza, Shinyanga, Arusha, Mbeya kiuchumi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najua ni kwa kiasi gani tumesoma kwa shida tulio wengi kuanzia zile shule zetu za msingi tulianza kusoma kiingereza darasa la tatu, michango ya madawati ,ada na michango mingine isiyo na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom