Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wanajamii na Wananchi Tuchimbe Uteuliwaji wa Sitta na Mwakyembe Wizarani kwa Undani Zaidi. JK Anafanya Kazi Sana Kipindi Hiki Kuimaliza Demokrasia ya Tanzania. Wananchi Hasa Sisi Tusiopendelea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF mnaikumbuka hii report attached hapa chini?? Tunapojadili uwezekano wa kuunganisha kambi ni vizuri kujua kati ya CUF na CDM ni chama kipi kimejenga upinzani wa kweli kwa serikali ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sadick Mtulya WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewataka wanasiasa na wafanyabiashara, kuacha tabia ya kuingilia utendaji wa vyombo vya habari nchini. Kauli ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Uchaguzi umekwisha kilichobaki ni kutekeleza ahadi tulizo ahidiwa. Si mda tena wa kampeni wala propaganda. Watanzania bwana. Badala ya kuchapa kazi we use a lot of time discussing problems rather...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Gazeti la Majira leo lina kichwa cha habari kisemacho.....................Chadema yalaani kuzuiwa mikutano.................................... Huku gazeti la Tanzania Daima nalo...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wazee kama mtakuwa mlisikiliza mdaharo wa Mbowe na Hamadi Rashidi mtakuwa mmemsikia Mh Hamadi Rashidi akisema kuna mtu alimwambia kuwa alibadili jina lake ili asijulikane dini gani ndio akipigiwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau,leo asubuhi around 12:30 askari wa JWTZ aitwae sgt Said Kindamba amegongwa na gari la Polisi wakati akienda kazini na kufariki papo hapo. Ajali imetokea karibu kabisa na kambi ya jeshi TMA...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ikıwa haya Majımbo mawılı yalıyofanywa ( Uchakachuaji) Je tusiyoyajuwa hayo Majimbo yaliyofanywa Uchakachuaji yatakuwa ni mangapi? Kwa hiyo CCM haikushinda kiuhalali?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa masharti kwa Chama cha Wananchi (CUF) kuweka wazi msimamo wake kuhusu suala la Katiba mpya, kabla ya kukishirikisha katika uundwaji wa Kambi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya baraza la mawaziri kuapishwa juzi nilitegemea kila waziri angeanza mchakato wa kuangalia mapungufu yaliyomo kwenye wizara yake kama walivyo fanya akina dr Magufuri na dr Mwakyembe,ila kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kila serikali yao ikifanya jambo fulani, watu wanatafsiri na kuelewa kuwa ni upupu au siyo upupu. hata wakiongea kitu cha maana lazima kitiliwe mashaka kwanza. mimi binafsi, tangu 2005...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Gazeti la Mwananchi limetuhabarisha leo ya kuwa Mheshimiwa Spika Mstaafu Mzee Sitta akiaahidi ya kuwa ataendeleza moto ule ule aliokuwa nao katika kutetea haki za wanyonge............... Vile...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Wakuu, Jamani imekaaje hiyo ya kutuonyesha kikao cha kwanza cha baraza la mawaziri, si mbwembwe tu hizo kama ilivyokuwa mwaka 2005 wakati wa Ngurdoto??
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Popote pale ulipo. Lowasa unatisha! Masai unatisha. Nasikia unashusha kitu cha Bilioni 70 Bongo. Nasikia umenunua jumba kwa Malkia wa Uingereza. Nasikia unataka kuwa Rais 2015. Hii kali...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
katika hali inayoonyensha ni kujutia dhambi zake za kutesa wananchi na viongozi wenye mahabuba na inji yao, magufuli karejeshewa rungu. akiwaidiwa na mwakyembe! magufuli kalini amekuwa akiteswa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesoma kwenye article ndani ya mwananchi NP Mawaziri wapya wamekabidhiwa Toyara GX v8 gharama yake ni kati ya sh M 210-240, jamani, nimejaribu kucalculate hapa kwa wizara zilizotajwa ni balaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamii forum na watanzania wote kiujumla nimejaribu kuipitia haraka ilani ya chama cha mapindunzi ccm na miongoni mwa vitu nilivyokuwa na interest navyo ni pamoja na mambo yanayoihusu wizara ya...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Ilianza "hata tusiposhinda, tutajishindisha" Ikafuta" Ushindi ni Lazima" Ikaja " Tutashinda kwa gharama yoyote" Hapa tunajifunza nini
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Kuzuiwa kwa mikutano ya chadema majimboni kwasababu za kiusalama inamaana polisi wangezidiwa nguvu na waarifu au hawakutaka kulinda mikutano ya chadema.kama kuna ukweli rais atangaze hali ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huko Haiti, chama cha tawala cha nchi hiyo ambacho kina shabihiana sana na CCM kwa muonekano na vitendo kimeshutumiwa kwa wizi wa kura. Tofauti na Tanzania, wapinzani karibu wote wameungana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom