Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili...
Wadau naomba mnipe darasa kidogo. Hivi nchi nyingine za EAC nazo zina wizara hiyo? Au ni kitengo cha Foreign affairs ministry za nchi hizo?Kama jibu ni negative kwanini sisi tunaipa kipaumbele...
Siku ya 18th November 2010 09:56 PM nilitoa post hii kama tetesi... Watu wengi tulikataaa huyu na Meghji kuchaguliwa kwa kigezo cha GENDER ili tuokoe jahazi... Lakini Bahati mbaya Media karibia...
Kuna tetesi mtaani kuwa kuna baadhi ya watu ccm walikuwa wanajua kuhusu mpango wa wabunge wa Chadema kutoka bungeni ila wa kakausha ili jamii na Tanzania kwa ujumla iweze kuona ukomavu wa...
Nilikuwa nafikiria namna nyingine ya kutatua mgogoro uliopo sasa hivi kati ya CCM na CHADEMA kuhusu suala la matokeo ya Urais. Nimefikiria kuna kesi mbili ambazo nikiwasikiliza CCM na wale wenye...
Wengi wetu tumewahi kusikia kiapo cha TZ kinachotumika na Mawaziri,wabunge n.k.kuna sehemu kinasema "NITAITUMIKIA KWA MOYO WANGU WOTE" Kibadilishwe na kusomeka hivi "NITAITUMIKIA KWA MOYO WANGU...
JK na kibarua kigumu
Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 24 November 2010
Kisima cha Mjadala
Miaka mitano iliyopita, tunaweza kuitafutia udhuru wowote ule kueleza kwa nini baadhi ya mambo...
wanajamii,
Nimepata dondoo kuwa kesho star katika kipindi chao cha TUONGEE ASUBUHI wana mada iliyo moto, na wiki iliyopita walisema watairusha mapeeeema ili kutoa fursa kwa watazamaji na...
Akihutubia ktk ufungunzi na mahafali ya chuo cha Udom Rais Jakaya M.Kikweta amewashauri wanafunzi wa vyuo wajikite zaidi kwenye masomo badala kujiingiza kwenye mambo ya siasa,hasa kutumiwa na...
Ukizingatia yaliyotokea Zanzibar baada ya Uchaguzi mkuu yaani kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, na ukiangalia performance ya CUF kwenye uchaguzi mkuu kwa upande wa TZ-Bara...
SEVERAL top prisons officials have allegedly squandered 5bn/- allocated by the government for the implementation of four irrigation projects in support of the 'Kilimo Kwanza' initiative, sources...
Wote tunafahamu yakwamba kwa sasa Zanzibar ni Nchi kamili inayojitegemea hii ni baada yakufanya Mabadiliko Makubwa katika Katiba yao.
Pia kuna Wabunge wengi sana wanaotoka Zanzibar ili kuunda...
Je hii ni Vita mpya inayokuja:
Pombe + Mwakyembe against RA through Estim Construction Ltd:
Why JK amemtua Pombe na Mwakyembe kwa ajili ya kumpiga vita RA as kampuni yake ya Estim ndio...
Madaraka ya Sohia Simba
1. Mwenyekiti wa CCM - Umoja Wa Wanawake - UWT
2. Mbunge wa Kuteuliwa-- UWT
3. Mbunge wa Kuteuliwa-- SADC
4. Waziri wa Ustawi Wa Jamii, Jinsia na Watoto
5. Mjumbe wa...
It is not about who was chosen, not about gender, education, age, religion or whatever criteria Bwana Mkubwa used to hand pick the A-Team to help him deliver the Maisha Bora kwa kila Mtanzania...
Mzee Mwinyi alianzisha sera ya RUKHUSA, sera hii ililenga kupunguza ukasi wa maisha kwa Watanzania,na pia alituonya kuwa 'ukifungua dirisha inzi pia huingia' pamoja na mabadiliko yaliyotokea...
Hili la waziri mkuu kutaka kuanzisha kituo cha kulelea albino arusha mji hatari wenye wachimba madini watoa kafara je hao watoto watapona kweli au ni ile anzisha kiwanda penye urahisi wa kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.