Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
1-Je ni wana jelous? 2-Wana uelewa wa jinsi ambavyo haki haitendeki? 3-Wanafahamu zaidi ya wizi unaofanyika? 4-Wanaufahamu wa mambo yanayofanyika nchi nyingine? 5-Wanafahamu jinsi rasilimali...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
According to Nipashe, Jana Mpendazoe alikamatwa na gari alilokuwa akiliendesha kwa kigezo kwamba liliripotiwa limeibiwa tangia June mwaka jana. Mpendazoe alisema kwamba hilo ni gari lake halali na...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
JK, JK, pokea ushauri/mapendekezo yangu najua hutaki kusikiliza, fanya haya plse kama unataka maendeleo ya kweli, sijakupa kura yangu, but muda huu election campaign is over, ni kushauriana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jioneeni wenyewe mambo ya Kikwete: YouTube - Kigamboni - New Dar City Center 1) Mtakufa navyo vijiba vya roho. 2) Mwenye wivu ajinyonge 3) Kama mnaweza pandeni juu mwende mkazibe. Jakaya, hiyo...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Wanajamii nimeshtuka leo gazeti la mtanzania limemkariri waziri mteule nyarandu akidai atapigana kuhakikisha anatokomeza nyumba za tembe,sio hawahawa waliokuwa wanambeza dr slaa?kweli ccm...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu, Kwa wale mlio Tanzania na wale wenye access na TBC1 jaribu kuangalia saa 3 usiku huu ambapo baadhi ya members wa JF watakuwepo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na matokeo yaliyotangazwa na NEC hadi sasa majiji ya Tanzania yamekombolewa na CHADEMA majiji hayo ni Mwanza City (Nyamagana) Ezekiel Wenje Arusha Godbless Lema Mbeya Joseph Mbilinyi...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Naamini wapo watakaoona nakiandama Chadema lakini ninayayazungumza humu wakiyachukulia kama changamoto yatawasaidia sana kujenga chama kikawa cha "demokrasia" na maendeleo kwa muonekano chanya...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Sorry nimejaribu kuangalia kwa haraka haraka wapi ningeweza kuchangia AU KKULIWEKA HILI kati ya hoja ambazo tayari zipo sijabahatika kuona...kuna kitu kinaitwa ''twist of events'' kinaendelea...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
  • Closed
Nimejaribu kutembelea website ya CHADEMA lakini kuna message "Account suspended" Nini tatizo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Makatibu Wakuu Zanzibar 1. BARAZA LA MAPINDUZI 1. KATIBU WA BARAZA LA MAPINDUZI NA KATIBU MKUU KIONGOZI DKT. ABDULHAMID YAHYA MZEE 2. NAIBU KATIBU WA BARAZA LA MAPINDUZI ND. SALMIN AMOUR...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Jamani kuna mtu amenidokeza kuwa yule kijana wa kumtafutia JK vimwana nchi nzima sasa analipwa mafao yake na kuna jamaa wa karibu sana na yeye alinidokeza kuwa atateuliwa mbunge hivi karibuni na...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa taratibu za uendeshaji wa nchi, Chama kilicho shinda na kuunda Serikali (yaani CCM )ndicho chama ambacho ilani yake inatatekelezwa kwa kipindi husika i.e 2010-2015. Kwa mantiki hiyo...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wadau napenda kuuliza kama kama ifuatavyo: Tumezowea kuwa na marais wanaume tangu uhuru, ambapo wake zao huitwa FIRST LADIES. Kwa mfano ikatokea 2015 akapatikana rais mwanamke, je mumewe...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Katika mchakato wa uchaguzi mkuu uliopita na hata baada ya matokeo kutangazwa na wale ‘walioitwa' washindi kutangazwa katika nafasi ya Urais, Wabunge na Madiwani, kuna mambo mengi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete alitegemewa na wengi kuwa raisi toka 1995 lakini Nyerere alikuwa na mtazamo tofauti na hivyo kutokana na ushawishi wake mkubwa akafanikiwa kumwekee ngumu. Basi Mkapa akawa rais...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Eti 6 kapewa uwaziri wa eac ili adili na mambo ya nje zaidi akigusa tu ya ndani wamwambie shughulikia ya eac sasa kwa kuwaumbua hao awalipe wazee wastaafu wa eac tuone watamweka wapi udiwani au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi chadema tuna chetu kweli udom maana ccm wanazidi kujiimarisha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
..ni kutoipa misaada kabisa. Tafiti zinaonyesha kuwa Tanzania imekuwa inapokea missada na mikopo lukuki kwa miongo kadhaa sasa lakini hakuna mabadiliko makubwa. Hoja inayotolewa siku hizi (na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WALK THE TALK ALWAYS - 1. Kama walivyotekeleza kilio cha wananchi pale mjengoni kwa kumpa feedback mwenyekiti wa ccm Taifa, Hon.Kikwete kwamba hakufurahishwa na udikiteta uliotekelezwa na nec na...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Back
Top Bottom