Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa kipindi cha Miaka mitano iliyopita, serikali ya JK ilishindwa kuudhibiti mfumuko wa bei kabisa kwa mfano , katika zili bidhaa muhimu kila siku kwa maisha ya Mtanzania wa kawaida zimepanda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanabodi, Hatimaye Baraza jipya la Mawaziri ndio lianza kutangazwa sasa live kupitia TBC! Endelea kufuatilia... UPDATES: Wizara ya maji imeunganishwa na Kilimo - Itakuwa Wizara ya Kilimo na...
0 Reactions
794 Replies
87K Views
Katika wizara ambazo moja kwa moja nimekuwa na imani zinaweza kufanya vizuri ni wizara ya Ujenzi chini ya John Pombe Magufuli na Harrison Mwakyembe,kwa kifupi mbali na udhaifu wa kibanadamu hawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pendekezo la Wizara za Jamhuri ya Muungano 1. Menejimenti ya Utumishi wa Umma 2. Utawala Bora 3. Muungano, Mahusiano na Uratibu 4. Mazingira, Maji, Maliasili na Utalii 5. Katiba, Sheria, Sera...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uchaguzi umekwisha salama! TUNAMSHUKURU MWENYEZI MUNGU! Woote tunajua katika kipindi cha miaka mitano iliyopita maisha yalikuwa magumu sana! (toa Mafisadi) Woote tunajua uwezo wa JK ni mdogo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SAY YES AND THE OTHER ONE CAN SAY NO…AND BOTH CAN BE RIGHT AND PEACEFUL… Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA,Dr.Wilbroad Slaa,akimnadi mgombea ubunge katika Jimbo la Ubungo kupitia chama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Unawafahamu mawaziri na naibu mawaziri wapya? Send to a friend Wednesday, 24 November 2010 21:09 0diggsdigg Na Neville Meena Jana Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mmh!...I doubt if mr. president is real serious. jina kama Hawa Ghasia kuendelea kuwepo kwenye wizara inayosimamia maliasili muhimu kama wafanyakazi ni udhaifu mkubwa kwa aliyemweka hapo. uhusiano...
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Kikwete amejitahidi kiasi kuepukana na mawaziri ambao wana tuhuma/kashfa za ufisadi kwenye cabinet yake mpya. Lakini nimegundua kuwa wanasiasa vilaza wenye uwezo mdogo wa akili, ubunifu na kuchapa...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
  • Closed
  • Poll Poll
Hebu tujipime tumegawanyika vipi ndani ya jamvi kati ya Marando na Makinda Uspika?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Eti wadau kurejeshwa kwa Magufuri miundo mbinu ina maana jk mwanzo alichemka kumpeleka mifugo na makazi au alipanga kumuua kisiasa na sasa ameshindwa ameamua kumrejesha pale palipo mpa jina kisias
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Rais ametangaza Baraza lake la Mawaziri, kama kawaida ya watu wengi wanachojua ni kumsifia tuu bila kumkosoa. Uchaguzi huu tumeona kura za Rais zimepungua zaidi ya asilimia 20 na bado Rais...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
http://www.youtube.com/Mwalimu Nyerere's meeting with Tanzania Press Club 1995 party 3-4 of 1o
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Bado Vigogo vya TZ Jury convicts DeLay in money laundering trial Former U.S. House majority leader faces up to life in prison AUSTIN, Texas - Former U.S. House Majority Leader Tom...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dr slaa na chadema wangetangazwa kuwa wameshinda uchaguzi wa oct mwaka huu na tume ya jaji makame na nec, kisha ccm wakakataa kuachia madaraka, je ni kile kitabu kinaitwa katiba ya jamhuri ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Greetings, the upcoming issue of Raia Mwema is said to be extremely explosive that the Printers has been forbidden to continue printing it for tomorrow. Thus, all the already printed issues will...
0 Reactions
75 Replies
8K Views
tathmini ya uchaguzi mkuu mwaka huu wa 2010regional # of voters voters to vote kikwete lipumbaslaarungwepetermugahywa total winner by regionalarusha 831,827.00 540,687.55 179,240.00 10,814.00...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Licha ya UCHAKACHUAJI mkubwa unaosadikiwa kutendeka kwenye Uchaguzi wetu Mkuu mwaka huu hajachangia tu Uchakachuaji utakua umepunguza sana idadi ya WATETEZI WA MASLAHI YETU SISI WANYONGE. Lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza apewe heshima na utukufu Muumba wetu wa mbingu na ardhi, malaika na mitume na maandiko yao hali kadhalika sie wanadamu wafuatilizi. Tulisubiri kipindi cha uchaguzi nacho kikaja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya Samuel Sitta na Dr. Mwakyembe kupewa uwaziri, nani sasa kuongoza mapambano ya ufisadi ndani ya CCM? tutarajie nini kwenye bunge hili iwapo hawa ndiyo walikuwa wapinzani ndani ya CCM...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom