Muafaka wa CCM na CUF ni kwa nchi ya Zanzibar na si bara CUF Haikuwa na mgogoro na CCM bara msituchanganye na vyama venye mlengo wa uislam huku bara tazama kampeni zote za CUF bara ni sehemu zenye...
Na Maggid Mjengwa.
KUNA wakati, katika mwaka huu, vyombo vya habari vya dunia vilimwonyesha Rais Hamid Karzai wa Afghanstan akitoa machozi hadharani. Ni pale alipotamka kwa uchungu akielezea...
Felix msemakweli mbunge wa nccr amekiri kuwa nccr ikiacha kutii na kusimamia maslahi ya watanzania yuko tayari kukipiga chini na kujiunga na chama chochote cha upinzani hata chadema.
Source star...
ndugu zangu wakati umefika watanzania tukaadamana kutaka tume huru ya uchanguzi iliyoundwa bila kushirikisha serkali iliyoko madarakani.tunahitaji mabadiriko ya katiba kuhusiana na mambo ya uchanguzi.
Kuna mdau yupo halmashauri ya mjini shinyanga kasema hela waliyohongwa na ccm\nec sasa imekwisha hivyo wanaona aibu mbele ya jamii. na kasema baada ya kuona mgombea wa chadema keshashinda...
Wadau jana kwenye hotuba Bungeni nilimsikia akisema kwamba ataunda baraza bila kujali vyama, je kuna dalili yoyote akachagua mawaziri kutoka vyama vingine? hii itakuaje na msimamo wetu CHADEMA uko...
vyuo vikuu ndivyo visima vya mawazo yenye thamani na yanayoweza kusaidia katika kusukuma gurudumu la maendeleo la nchi hii na nyingine nyingi, na ndio maana hata wenzetu huko nje kama Rais Barack...
Ninawasikitikia sana vijana wa Tanzania. Vijana wanaotokea familia masikini, mafukara ambao wazazi wao wanaishi kwenye nyumba za tembe na kulala kwenye vitanda vya ngozi za ng'ombe.
Vijana...
Bosi wa TAKUKURU Dk. Edward Hosea
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
YAH: UCHUNGUZI KUHUSU TUHUMA ZA RADA
Tunapenda kuujulisha umma kuwa uchunguzi na ushahidi uliokusanywa na Taasisi ya Kuzuia...
Mahmoud Ahmadinejad:
He took his PhD (1997) in transportation engineering and planning from Iran University of Science and Technology, located at Tehran, when he was the Mayor of Ardabil...
Since 2005, after election of genuine member of Parliament through Chadema political party, in particular Dr. Slaa and Zitto Kabwe, CCM have been under pressure since then. Chadema which enjoys...
Mchungaji Rwakatare amenakiliwa na gazeti la Uhuru linalomilikiwa na CCM akirejea kauli yenye utata ya kuwa JK ni chaguo la Mungu..........kauli hii ni tata ukizingatia upo ushahidi wa ya kuwa...
Mahmoud Ahmadinejad:
He took his PhD (1997) in transportation engineering and planning from Iran University of Science and Technology, located at Tehran, when he was the Mayor of Ardabil...
Morning wadau,
sote tulishuhudia mh. shibuda kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa pinda na kupata laga za mh. rais kikwete jioni.
akizungumzia uhalisia wa kuwabwaga chadema, shibuda alisema yeye...
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana...
Katika moja ya magazeti ya leo, makala ifuatayo imeandikwa juu ya kile kinachosemekana kilijiri wakati wa utangazaji wa matokeo ya urais wa Zanzibar na nini kinawezekana au kutabiriwa kutokea siku...
ubaguzi huu ni yale maeneo chadema iliyoshinda au yale ccm iliyoshinda au zanzibar ambapo chadema wamepata kura ndogo?WASWAHILI WANASEMA UKICHEZEA MPIRA UKUTANI UTAKURUDIA
Nimekaa tena na kuzungumza na kigogo wangu na safari hii tumejikuta na tatizo jingine at least ndivyo tulivyoliona tuko tayari kusahihishwa..
a. Waziri Mkuu anateuliwa na Rais na kupitishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.