Aliyekuwa Mweneykiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya mwanasheria SAMBWEE SHITAMBALA amejiuzulu nafasi hiyo!
Anakabiliwa na shutuma za kupokea 600million toka kwa CCM na akuuuza ubunge kwa mchungaji wa...
Says walkout misinterpreted
CHADEMA national chairman and official leader of Opposition in the parliament, Freeman Mbowe
Chadema yesterday clarified that it recognised the elected president...
Naam!
Mimi ni mfuatiliaji wa mada mbali mbali zinazo jadiliwa hapa jamvini..Kwa kweli nimekuwa na amasika muno na mimi kutoa mchango wangu.
Naamini CHADEMA ni chama pekee chenye uwezo wa...
Mjomba mpendwa salaam,
Mimatumaini yangu kuwa unaendelea vizuri wewe pamoja na wote hapo ulipo.
Dhumuni la barua hii ni kutoa pole kwako kutokana na mikikimikiki ya uchaguzi, kwakweli kilikuwa...
Suala la kuanzisha Mahakama ya kadhi limekuwa gumzo kubwa nchini kwetu katika miaka ya hivi karibu.Waislamu wanataka chombo hichi kitambuliwe na serikali. Vilevile, gharama za uendeshaji wake...
Wote tulifurahia na kukiri uwezo wa aliyekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni katika Bunge la tisa.
Bahati mbaya Bunge la kumi halina mtu mwenye uwezo kama wake. Aliyepo amejibebesha mzigo...
Kwanaoikumbuka CUF wanajua ilipoanzia ni Tanzania Bara lakini ilipofika visiwani ikakuta wazanzibar wana hari ya mabadiliko ya kisiasa kutokana na utawala wa kidhalimu visiwani pamoja na umasikini...
Baada ya Kikwete kutangazwa mshindi na tume ya uchaguzi (Ijumaa) kesho yake (Jumamosi) akaapishwa. Mwenzeni nilibaki na maswali kadhaa.
Hivi katiba yetu inasemaje kuhusu kuapishwa kwa raisi mpya...
Kama Rais hatatangaza baraza lake la mawaziri mpaka kesho, tarajieni baadhi ya vigogo kukimbizwa Hospitali kwa presha, maana utake usitake kuna vigogo wanaamini kuwa wao hawatakosekana kwenye...
Kigoma North MP Hon. Zitto Kabwe with Malaysian ex PM Tun. Dr. Mahathir Mohamad after a discussion in his Office at Petronas Twin Towers, Kuala Lumpur. Zitto is in Malaysia on a one week long...
Mbunge wa ccM jimbo la kibaha,stanley Koka siku ya jpili alikuwa akigawa pesa ktk vikao vya harusi nane, kwenye bar iitwayo Bamboo mbunge huyo alikuwa akilalama pesa katumia nyingi kwenye...
Kuna mdau kaniambia katika majadiliano kuwa mseto hauwezekani bara kwa vile chama chenye wabunge wengi ndicho kinaunda serikali. Sasa pamoja na hayo chama tawala hakina mamlaka kuteua mawaziri...
Misingi ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (Toleo la 20 Juni 2005)
KWA KUWA SISI Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika...
Sita Kwenye Mtego wa MAFISADI pale CC ya CCM, Je Uwaziri Utakiokoa CCM Kuzama??
Kumbukumbu kule bunge la Tisa zinaonyesha kwamba SIX alikua ni mwiba mchungu kwenye ngozi ya Kijiwe Cha...
kumeekuwa na lawama nyingi juu ya Mbowe kuhusu wabunge wa CDM kumsusia kikwete. Kama mtu anajua kucheza chess atakubaliana na mm kuwa hatua ya Mbowe kama KUB ilikuwa sahihi kwani hamuoni kuwa CCM...
Mhe waziri Mkuu wa \kenya RAILA ODINGA Jana ametupasha na kutufungua macho watanzania woooteee wakati akiwa Mwanza. Najua wana JF woote wenye nia njema na Tanzania ya leo tutakuwa tunaungana na...
Je, Ni CCM Ipi Hasa Iliochakachua Uchaguzi Wetu Mkuu 2010???
Wan-JF, malalamiko yako kila kona ya nchi yetu kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi kwa njia ya aibu sana usoni mwa ulimwengu, laki...
The backlash of Michezo ya kuigiza. We told you so. Mnataka kumfariji Dr. Slaa on expense of WaTanzania wote. Here is Mbowe.
Imeandikwa na: THE GUARDIAN
Dominic Nkolimwa
Chadema yesterday...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.