Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Jaji Mkuu Augustino Ramadhani ameamua kuingilia kati kesi ya wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Africa Mashariki (EAC) kwa ajili ya kulifanyia mapitio ili kujiridhisha kuwa Mhe Jaji wa Mahakama Kuu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani,, kunawatanzania wanashindwa kuelewa Maana ya Chadema kutoutambua uraisi wa Bwana Kikwete,, Naomba hapa tuwekane sasa Chadema ilipata wabunge 25, na maanisha na Jimbo la Segerea, lakini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nilikuwa nazungumza na mzalendo mmoja mwishoni mwa juma na akaniuliza maswali fulani yakitu ambacho labda hatukukiangalia kilipotokea. a. Rais akitangazwa kuwa Rais anaapishwa na Jaji Mkuu -...
0 Reactions
73 Replies
28K Views
Kweli Rais asiye makini tunaye, kikwete alitumia fedha nyingi sana kualika viongozi na wakuu wamikoa huko ngurudoto, na kutueleza kuwa ni semina elekeza viongozi. Sina uhakika kama ilifanya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Poleni kwa kazi. Ninaomba kupata picha na CV/Profile ya Mheshimiwa mbunge wetu wa Viti Maalumu kutoka Tabora, Sarah Msafiri. Natanguliza Shukurani.
0 Reactions
9 Replies
9K Views
WanaJF naomba mwenye taarifa anisaidie hapa!!!!!!!!!! Comment zangu kwa barua hiyo ni hizi hapa!!!!!!!!! MwanaJF M. M. Mwanakijiji naungana na Great Thinkers WanaJF kukupongeza kwa kuchukua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa Wakuu Muundo wa uongozi Tanzania unaelekea kuibua maswali mengi. Pamoja na kuwa tumo ndani ya Muungano bado Watanzania Bara hawana nafasi ya Uongozi huko Zanzibar. Juzi tumeshuhudia...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kitendo cha watendaji wa serikali kuzuia wastaafu wa Afrika Mashariki kufanza maandamano yao kudai haki zao zilizokwamishwa na serikali kwa miaka zaidi ya 30, ni ishara gani? Ni woga au sababu za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Makamanda na Wana JF; Ule Waraka uliosomwa mbele ya vyombo vya habari uko Dodoma na THOBIAS MWESIGA RICHARD aliyekuwa anadai anausoma KWA NIABA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU MKOA WA DODOMA ni...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
Maamuzi ya kidemokrasia hufanywa na watu. Ilimshangaza kila mpenda haki pale Chadema waliposhindwa kuwapata wabunge wa viti maalum wanawake kwa njia ya kura na badala yake wakatoa tenda ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wandugu, Tangu jk aingie madarakani kumekuwa na kasi kwa kiwango cha kutilia shaka ya watoto na ndugu na jamaa wa vigogo kuingia kwenye siasa. Kimsingi, siyo vibaya watoto au ndugu wa kigogo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ulimwenguni sasa hivi nchi zinazofadhili mataifa ya ulimwengu wa tatu sehemu ya bajeti na misaada mbalimbali zinafanya hivyo kwa msharti ya nchi husika kuendesha siasa za vyama vingi. Hii ni kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katiba ya Muungano inaweka utaratibu wa vyeo vikuu vya Serikali ya Zanzibar na inaelezea juu ya vyeo vingine au taratibu nyingine kwa mujibu wa "katiba hii (ya MUungano) na Katiba ya Zanzibar"...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kitendo cha wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni jana kimetafsiriwa kama udhaifu mkubwa kwa raisi wetu JK na pia kinaonyesha kuwa wananchi na wabunge hawana imani na serikali ya huyo bwana. Viongozi...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Tunaposema kiognozi mwadilifu na mchapakazi ni sifa mbili ambazo si rahisi sana kuzipata kwa mtu mmoja. Watu wengi waadilifu sio wachapakazi kwamaana ya kuwa na fikra endelevu (Innovative). Ukimpa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Madagascans give huge backing to new constitution (AFP) – 5 hours ago ANTANANARIVO — Madagascans strongly approved a new constitution in a referendum held last week, with 74 percent of the...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
hapa kama anasema ......... 'Duh kweli nimemis sana raha za mjengoni...inji hii tamu sana'! Source: JIACHIE
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Napenda kutoa changamoto kwa Chadema na wapenda mabadiliko halisi kwamba msifikiri kwa kupata wabunge 23 wa kuchaguliwa na 25 wa viti maalum ccm wamefurahi au wanaona ni sawa tu, yaani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
GAZETI LA NIPASHE JUMAPILI HII LIMEANDIKA HABARI ZA WABUNGE WA CHADEMA KUTOKA BUNGE LIKIEGEMEA KWENYE UPANDE MMOJA TU WENYE KUPINGA. HABARI HIZO NIMEZIWEKA HAPO CHINI. KUNA HABARI KUU TATU TOFAUTI...
0 Reactions
35 Replies
12K Views
Ukweli siku zote unabakia ukweli TANGANYIKA INDEPENDENCE - British Pathe p://www.britishpathe.com/record.php?id=42881
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom