Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kikwete II can make or break Tanzania… By KARL LYIMO, Daily News, Dar es Salaam, Tanzania Monday, November 22, 2010 THE general elections this year – the Fourth Edition of Tanzania’s Book...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
jamani mimi nashangaa hawa watu wanaotaka mazungumzo kama njia ya kudai katiba walikuwa wapi miaka yote 18. Mfumo wa vyama vingi ulipoanza mwaka 1992 kitu cha kwanza wapinzani kudai ilikuwa katiba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa TAHLISO wanaojiita umoja wa vyuo vikuu japo hawana msaada wowote kwa wanafunzi wa vyuo na wala hatupo nao, wameishia wapi? walikuwa wanajaribu angalau kujionesha kuwa ni wema wakati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo wakati naisoma katiba katika ibara inayotoa muongozo wa Tume ya uchaguzi nilikutana na uozo wa karne. Pamoja ya kuwa karibu vipengele vyote vina shida kubwa tu, lakini hii hapa imevunja...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilikuwa nafuatilia mahojiano ta TBC ambapo Binti Shirima alikuwa anamhoji Mtoto wa Mkulima Pinda nikashangaa alipoanza kusema wapinzani ni watu wa kupinga tu kila kitu. Nikasema ama kweli naye...
0 Reactions
64 Replies
15K Views
Ndugu zangu wana JF, na wapenda maendeleo kwa ujumla. Napenda kutanguliza shukrani zangu kwenu kwa ushiriki weni huku kwenye mijadala ya humu JF na naomba tuendelee na mjadala huu. Naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutokana na uchunguzi wa mwanzo imeonekana Bwana Shitambala hana hatia juu ya kupokea mil 600 toka ccm na ameruhusiwa kuendelea na shughuli zake kama M/kiti. Source: Dr. Slaa -TBC leo saa 2 usiku
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salamuni wapendwa, Nafikiri muda umefika kwa sisi ambao wazalendo wa kweli kuonyesha uwepo wetu katika kuamua mustakabali wa nchi yetu. Ni wazi kuwa a group of Mediocres walioji organize tokea...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Pia wanatoka Chadema kurudi CCM. Mmoja tu aliwahi kutoka Chadema kuhamia CUF. Je hii inaonesha daraja za vyama vya siasa? Kama ndivyo, wakitoka NCCR watakwenda wapi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nduguzanguni mie kama mtanzania mpenda amani ya nchi yangu nilikuwa nawasihi hawa ndugu zetu wanaCCM wasichochee hatari iliyopo mbele yetu katika hili jukwaa la siasa. CDM wamekwisha walk out...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Latest Polls Point to Signs of Change in Tanzania By Richard Whitehead* DAR ES SALAAM (IDN) – Tanzania's fourth multiparty elections on October 30, 2010 were, in some ways, not significantly...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Huu mpango wako Mkwere tumeushitukia. Tena sana tu. Kwamba Mkwere umeona vijana wa Tanzania hatukitaki Chama chako cha matajiri na mafisadi, umeanza harakati za kutuhadaa kwa kuteua vijana kuwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
CCM wanafanya juhudi kubwa kupita kiasi za kuhakikisha kuwa wanaendelea kuifisadi nchi katika mfumo wa chama kimoja. Kazi yao kubwa ni kuhakikisha kuwa wanadhoofisha vyama vya upinzani. Waliua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Lile gwiji la Sayansi ya Siasa toka Chuo Kikuu cha UDSM al-maarufu Benson Bana na mmoja wa viongozi wa Taasisi maarufu ya Utafiti ya REDET amebainisha kuwa CHADEMA WASIKILIZWE MAANA WANA HOJA YA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tukichagua viongozi kijuha, tutaongozwa kijuha, na tutaishi kijuha. - Ayoub Rioba (Mwananchi Jumapili) :attention: Nimeipenda dhana ya UJUHA na ikanikumbusha habari za Mfalme Juha.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa NJAADEMA wananikumbusha NCCR-MAGEUZI na lyatonga miaka ya tisini. Halafu ukiangalia kwa makini utakuta wale ambao waliokuwa NCCR-MAGEUZI miaka ile ndiyo wale wale wamekuwa NJAADEMA leo hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nashangazwa sana na mambo jinsi yanavyokwenda na nashidwa kuelewa nini maana yake.utakumbuka toka uchaguzi tar 31 ni wiki ya nne sasa,lakini yaliyofanyika hayaendani kabisa na muda wenyewe.mambo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Inasikitisha sana kuona kila unapofanyika uchaguzi mkuu wa kuwapata viongozi, maamuzi ya wananchi juu ya kuwachagua viongozi wao kuanzia Madiwani, Wabunge hadi Rais huwa hayaheshimiwi. Unakuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inashangaza sana kusikia watu wanavyoishutumu CHADEMA hawna nidhamu, ooh wanasambaratika mara Zitto anajitoa CHADEMA,mara oo mpasuko ndani ya CHADEMA na blah blah nyingi 2. Ikumbukwe chadema ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Chanzo cha habari TBC1. Wandugu, Hao waheshimiwa wote wanasema chadema haikukiuka sheria yoyote kwa kitendo cha kususia hotuba ya jk.
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom