Wabunge wetu wa CHADEMA wamechukua uamuzi mgumu sana, uamuzi ambao unataka ujasiri na uthubutu wa vitendo. Ni lazima tuelewe kuwa mgogoro uliopo siyo na JK kama JK, la hasha bali na mfumo...
Pongezi nyingi ziwaendee wabunge wa chadema wakiongozwa na mh Mbowe pale walipotoka nje wakati mwenyekiti wa ccm anahutubia.Wametekeleza kidemokrasia msimamo wa chama na kupeleka kilio cha...
Nimeshitushwa na tamko la CCM kuhusiana na ''walkout'' ya wabunge wetu kupitia chama cha chadema.Ninachelea kusema CCM haina watu makini na wanakurupuka kutoa tamko bila kuliangalia suala hili...
Je hatua ya CCM kufanya mapendekezo ya spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha Jinsia kimekanya katiba sehemu ya 9 kifungu kidogo cha (g)? wadau naomba masaada hapo.
9...
Siku moja nikiwa katika nyumba fulani ambapo hutolewa huduma ya Kiroho mtoa huduma hiyo aliongelea aina 3 ya viongozi (kwa mtazamo wake) kama ilivyo hapa chaini.
Je viongozi wetu hasa wa Kitaifa...
Mr president anaonesha wao kama chama cha ccm wana nia ya wazi ya kuwapa wanawake nafasi muhimu za uongozi nchini kama sehemu ya kuwawezesha.... Na hili anasema ndo maana wakamteua mama makinda...
Kama CCM ina fedha nyingi kwa nini wasitumie hizo fedha kuwavutia wananchi wakipende? Simple logic...ningekuwa mimi ni katibu mkuu wa CCM ningekaa na wenzangu tukajadili kuhusu miradi...
Penye ukweli unazi hauna nafasi sikia nyie madogo hawa wawakilishi wa wnanchi wametumwa bungeni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao na si maigizo wanayofanya ka wanataka fani si wakajiunge the...
Naomba wasom wetu ndani ya chama wafikilie kuweka tv ya chadema ambayo inaweza ikawa inamilikiwa na chama moja kwa moja au watu binafsi kuficha identity......tunapata shida sisi wadau na hasa...
Wadau hebu tujadili hii barua ya Makwaia inapatikana hapa: Daily News | You need to rebuild your party, Mr President!
H.E. Mr Jakaya Mrisho Kikwete,
President of the UR of Tanzania,
The State...
Russian opposition parties have walked out of parliament and threatened to raise mass demonstrations in protest at local elections they say were rigged.
Official results showed PM Vladimir...
Chama Cha Mapinduzi, CCM, kinaandaa tamko na mkakati rasmi kuhusiana na kitendo cha Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kuondoka katika ukumbi wa Bunge hapo jana wakati Rais...
Hawa wanamgambo wa CUF siwaelewi. Tena siwaelewi kabisaaaaaaaaaa!
Hivi inakuwaje wanakuwa wanaongoza kukaa kwenye mic za waandishi wa habari na kukiponda Chadema??
Tunajua kuwa CUF na NCCR na...
Padri Privatus Karugendo alitoa hoja iliyonigusa. Alisema ilikuwaje Lipumba akamzidi Kikwete katika kura za Rais wa Jamhuri lakini Seif akashindwa kumzidi Shein?:angry::angry:
Naomba yeyote...
SAfrican opposition parties walk out of parliament
Tuesday February
JOHANNESBURG (AP) South African opposition parties walked out of a parliament session Tuesday, accusing the governing...
The Left agitation in the capital against price rise had its echo in Parliament today with members of four Left parties walking out of both Houses protesting the government's "lack of response"...
HAYA WANA JF KWA WALE WALIO NA MTANDAO MDA WOTE NA WALIO MBALI NA TZ PATENI HABARI ZA SIASA NA MAMBO MENGINE KUPITIA KITUO KIPYA ONLINE (VIZA TV) ([URL=http://www.HabariCom./MEDIA/1218]...
Kitendo cha wabunge wa chadema kutoka bungeni mbele ya raisi kimetafsiriwa kwa namna mbalimbali na jamii ya watanzania. Wapo wanaokiona kitendo hicho kuwa ni utomvu wa nidhamu kwa raisi, wapo...
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWENYE UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 18 NOVEMBA, 2010...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.