Yapo mambo ambayo mtu kufaulu kuyafanya kunahitaji sana kusoma hali ya hewa. Mifano ni kama kilimo, kuruka kwa ndege, na kuabiri baharini kwa boat. Haya na mengine mengi mtu ukiyaendea bila kwanza...
Najua kama kawaida wengi wetu tutapiga kelele saaaana kuhusina na hili jengo, ila limeshajengwa!
Mimi ningependa kusikia hoja za mtu YEYOTE YULE tafadhali, anayeweza kueleza huu umati sababu za...
A Spectrum of Scandals and Some Solace...
by Florine Roche
Daijiworld Media Network
Mangalore, Nov 20: The Manmohan Singh led UPA government at the centre is embroiled in an unprecedented...
Nimefuatilia kwa kina mwitikio wa watu mbalimbali na hususan wa viongozi wa CCM kufuatia the "walkout" a.k.a "kutoka nje" kulikofanywa na wabunge wa Chadema jana. Hata hivyo nimejitolea kutoa...
Raisi kikwete anaonekana kabisa kwamba hana raha na ushindiwake wa kulazimisha na kuiba. Kama mnamjua kikwete anaonekana mnyonge kwasababu rohoni anajua kashidwa na amewekwa na watu kwa manufaa...
Asaalam, ndugu yangu...
Mimi napenda kutoa mwelekeo halisi wa kisiasa hapa nchini ya wapi tupo na tunakoelekea..Sitaki kujua tulipotoka kwa kuwa chama kimoja ni zama za mawe.. Moja kwanza...
Yusuf Makamba
Baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupoteza majimbo 53 ya ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 31, mwaka huu, Katibu Mkuu wake, Yusuf Makamba sasa ameamua kila mgombea...
Hicho ni kipande katika hotuba ya jk jana pale uwanja wa taifa. Nachompendea jk ni pale anaposema nakuibia na anakuibia kisha anaiba kweli. Alituambia majuzi kuwa wizi wa kura utafanyika katika...
Mimi ni mwana jangwani mzuri sana, toka nina umri wa miaka minne. Sasa nina miaka 36 still naipenda Yanga sana. Kuna wakati naamua kuacha kuifuatilia but unakuta nashindwa kufanya hivyo. Sasa kuna...
1. Sambwee Shitambala - Mgombea Ubunge CHADEMA- Mbeya. Huyo aliuza ubunge kwenye uchaguzi mdogo, kauza tena kwenye uchaguzi uliopita- ushahidi upo wazi kabisa- kila mtu anajua
2. Prof...
Wajameni naomba kuuliza hivi ina maana mapadre, wachungaji na masheikhs wetu hawaoni serious irregularities zinazoendelea katika demokrasia yetu? Na mbona wako kimya? hawakemei? hivi nani hajui...
Baada ya kutoka ukumbini wakati Mh. Rais wa JMT - DR. JAKAYA , M. KIKWETE akianza kuhutubia. Wabunge wa CCM sasa wanajipanga kutoa AZIMIO LA BUNGE kwa wale wabunge wote hawamtambui Rais watoke...
Makamba ni mpumbavu asie na huruma na maisha ya watanzania masikini.
Uchaguzi umekwisha ingekua wakati muafaka sasa wakuweka mikakati ya kumpunguzia mwananchi mzigo wa umasikini alio twikwa na...
Kuna tetesi ya kuwa Capt. mstaafu mwenye cheo cha ngazi ya juu katika ccm, jana alielezea mpango wa chama hicho kuvunja bunge, na badala yake kuunda Baraza la Mapinduzi ambalo litajumuisha vyama...
Katika hali ya kawaida, mwakilishi wa wananchi mfano Mbunge au kiongozi mwingine wa kutumikia watu huchaguliwa kutokana na kukamilisha vigezo kama vile utendaji uliotukuka, uchapa kazi unaoendana...
Ninaongea kwa moyo wangu wote, kutokana na hali halisi ninavyoiona, kwamba wabunge wa Chadema wana dukuduku moyoni, na pamoja na kwamba wana ccm wanajua ya kuwa chadema wana dukuduku, wao hawataki...
Aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Willibrod Peter Slaa pamoja na aliyekuwa mgombea ubunge wa Segerea Fredy Mpendazoe watanguruma siku ya Jumapili katika viwanja vya...
Oktoba 31, 2010 kulifayika uchaguzi Tanzania. Matokeo ya uchaguzi yametoa yafuatayo:
1. Matokeo ya kura za wananchi dhidi ya kura za NEC.
2. Wagombea waliochaguliwa na Wananchi na wagombea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.