Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Samahani wanaJF Heading imebadilishwa ambayo haiendani na maudhui niliyokusudia sitaki kuonekana mbabaishaji post nimeifuta.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wabunge wetu wamechukua uamuzi mgumu sana, uamuzi ambao unataka ujasiri na uthubutu wa vitendo. Ni lazima tuelewe kuwa mgogoro uliopo siyo na Kikwete kama Kikwete, la hasha bali na mfumo...
0 Reactions
198 Replies
16K Views
Walioandikishwa kupiga kura ni milioni 19 Waliopiga kura (turn out) ni milioni 8.6 Kikwete kapata kura milioni 5.2 Slaa kapata kura milioni 2.2 Katika chaguzi kuu kumi zilizopita hatujawahi...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Channel Ten leo jioni imetuhabarisha ya kuwa Mchungaji Mtikila ataiburuza NEC mahakamani kwa kile anachodai kunyimwa haki yake ya kimsingi ya kugombea Uraisi Alidai yakuwa NEC ilimwonea...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
In Julius Ceasar's novel, William Shakespear said that; "there is a tide in the affairs of men, which taken at flood, leads to fortune; omitted, all the voyage of their life, is bound in shallows...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
  • Closed
Mheshimiwa Halima James Mdee; Hata sisi makada wa ccm tuliukubali uchaguzi wako kwa roho moja. Knowing you are independent mind, and you will go to bunge and bring kawe improvements and also...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana JF Kwa dhati ninapenda kutoa pendekezo langu kwa JF administrator na wana jf kwa ujumla, kwa vile tumekua tunatoa michango mingi yenye manufaa makubwa kabisa katika jamii na maendeleo ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Madai ya KATIBA mpya na TUME HURU ni madai ya upinzani wote.. Lakini wengine wameshachoka ndio maana CUF, NCCR wameamua kuwaachia CHADEMA ambao wamepata bahati ya kuwa wengi bungeni na sasa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dar es Salaam, Tanzania Tanzania's members of parliament from the main opposition Chadema party, Thursday snubbed President Jakaya Kikwete when they walked out from the House as he took the...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
zamani mzazi alipokuwa akimlaani mwanae alisema utaokota makopo(chupa za maji), leo hi watz wengi wameingia ktk aina hii ya ajira, na rais ameitaja kama ni chanzo kipya cha ajira, je watanzania...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
“Kwa sisi kugomea hotuba ya Rais, tunajua ujumbe wetu umefika kwa wahusika wakiwamo bwana mkubwa mwenyewe (Rais Kikwete), viongozi wa mashirika na taasisi mbalimbali na mabalozi, kuonesha kuwa...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Wana JF; Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo Mgombe wa CHADEMA Dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha...
0 Reactions
119 Replies
13K Views
Kumekuwepo na porojo mbalimbali kupitia kwenye vyombo uchwara vya habari kwamba chadema imegawanyika kutokana na kitendo chake cha kususia hotuba ya jk bungeni hivi karibuni. Porojo hizo ni mbinu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
zamani mzazi alipokuwa akimlaani mwanae alikuwa anasema ataokota makopo(chupa za maji) lkn leo hii kazi hiyo imekuwa sio laana tena bali ni ajira, je hawa nao wamelaaniwa na rais? watz hali zetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mh. Alishtuka na kushangaa sana pindi wabunge wa CHADEMA walipoinuka na kutoka bungeni, Kwa mtazamo wangu hakuwa na taarifa kwamba CHADEMA walikuwa na mpango ule, Cha kushangaza watu kwa maelfu...
0 Reactions
105 Replies
9K Views
Nimefuatilia kwa ukaribu kuhusu raisi kikwetwe na kwa mtazamo wangu ni raisi ambaye haishimiki na wana CCM na hata Watanzania. Kikwete atakuwa na wakati mgumu kipindi hiki kwasababu mawaziri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa washabiki na wanachama wa CCM wanapanga kuandamana kulaani wabunge wa CHADEMA kutoka Bungeni wakati Mwenyekiti wao alipokuwa anahutubia. Hii inaonyesha wazi kuwa sasa imefikia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndoa ya CCM na CUF ya kugawana madaraka ilihitimishwa jana kwa Rais wa ZNZ Dr Shein kutangaza baraza lake KUBWA la mawaziri lenye mawaziri kamili 19 na manaibu wake 6 na kufanya idadi kamIli ya...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
NEC imetoa majina na mgawanyo wa wabunge sita wa viti maalum waliosalia, Chadema, CUF na CCM kila kimoja kimepata wabunge wawili zaidi. Names of appointees later Source: Nipashe
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom