Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Viongozi wanne wa serikali ya Kenya (hawakutajwa majina) leo wamepigwa marufuku kuingia US kwa kuhusika ktk biashara ya madawa ya kulevya. Taarifa hii imetolewa na Balozi wa US nchini Kenya. Hili...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hebu angalieni ibara ya 41 katika katiba ya nchi kipengele cha 6 na 7 vinakinzana mwaka huu 41. (6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sielewi kwa nini Mnyaa aliomba nafasi zote mbili halafu anakuja kujitoa wakati wa kujieleza. Pia anajitoa unaibu spika, ana uhakika gani kuwa atakujakuchaguliwa kuwa mbunge wa SADC?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Source: herman mwampyate: RIPOTI KAMILI Bunge la 2010-2015 ni la vijana, mandhari na kila kitu kinabeba tafsiri hiyo na hapa kuna ripoti kamili ya kilichochukua nafasi mjini Dodoma...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Sera za Chadema za serikali ndogo sasa yaelekea CCM wamezivalia njuga na yeye Dr. Shein leo ITV wametuhabarisha kaunda serikali ndogo ya mawaziri 16................7 kutoka CUF na 9 kutoka CCM na...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Mwandishi: haki Tarehe: Monday, November 15, 2010 | kiungo mahususi WAKILI KESI YA ZOMBE AFARIKI DUNIA ALIYEKUWA Mwanasheria Mwandamizi wa Serikali, Jasson Kaishozi katika kesi ya mauji ya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Helow wana JF jukwaa la mawazo huru na pana. Thread nyingi nimezisoma zikitoa mwongozo kwa wapenda mabadiliko kuanza kuchukua hatua kuwa sehemu ya mabadiliko. Mimi nimeanza kwa kuanzia na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambo ambayo hatuna budi kuwa makini nayo ni yale yaliyotokea huko Shinyanga ambako mipango ya siri ya uchakachuaji matokeo ya uchaguzi kwa njia ya siri yalikamatwa lakini mpaka leo hakuna taarifa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naamini JF kuna watu ambao ni wachambuzi wazuri wa siasa. Naomba wanisaidie katika hili... Tokea jana nimesikia kauli zinazokinzana kati ya Mwenyekiti wa CHADEMA (Freeman Mbowe), na aliyekuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ili jamii yoyote iweze kupata maendeleo ni lazima iwekeze kiasi kikubwa kuliko inavyotumia. Serikali ya CCM kwa muda mrefu imekuwa ni ya kutumia siyo kuzalisha. JK alikwishawahi kutamka kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi kama Mtanzania siamini kama JK alishinda lakini kama kikwete atachagua mawaziri ningependa Tibaijuka kuchukua elimu na Magufuli mambo ya ndani.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Masharti ya kazi ya Rais Sheria ya 1984 Na.15 ib.9 1) Rais atalipwa mshahara na malipo meingineyo, na atakapostaafu atapokea malipo ya uzeeni, kiinua mgongo au posho, kadri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo Daily News ina kichwa cha habari kisemacho............"Obama salutes JK, Shein........." Na Habari Leo wao wasema Chadema yakubali yaishe na JK.........................sasa kuwatuma wabunge...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Majimbo ya uchaguzi yaliyofanya uchaguzi wa marudio j2 trh 14/11/2010 ni SABA. Kati ya hayo saba CCM-3,CUF-3 na CHADEMA-1. Gazeti la MWANANCHI leo, nanukuu "UPINZANI WAZOA MAJIMBO MANNE" Mi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa vile Chadema kimejitokeza kuwa chama kikuu cha upinzani (a Government-in-Waiting), na kimetokea kuaminiwa na watanzania wengi, kitumie kipindi hiki cha kabla ya uchaguzi wa 2015 kujijenga...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
“I think the law is clear about complaints related to election issues, everything should be challenged in court. I think and believe that it is nonsensical not to recognise the elected Head of...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Kwanza napenda kusema wewe ni kiongozi mzuri sana na historia itakukumbuka kwamba uliokuwa miongoni mwa viongozi walioleta mabadiliko ya demokrasia ya nchi yetu.... kwa kiengereza nadhani (you are...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Spika wa Tatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel John Tegeza Sitta amesema kuwa utumishi wake bungeni umetosha, hivyo ni wakati wake kustaafu. Amesema anastaafu bunge lakini...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimesikia namna gazeti la Uhuru na Habari leo zilivyoripoti Tamko la CHADEMA kutomtambua JK nikashangaa sana maana ni kama vile jamaa waliongea na Dr Slaa mwingine. Kwa mfano uhuru wameandika...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom