Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
tumeona GUINEA MPINZANIA KAPITA BAADA YA WATU KUUMIA SANA KWA HIYO HATA SISI KAMA TUME HAITABADILIKA 2015 ITAKUWA NI NOMA. SASA TUNAKATA MAENDELEO NAOMBA CHADEMA WAFANYE VIZURI KWENYE HII MIJI ILI...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
What does freedom mean to you?
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Tunazidi kushangaa jinsi hali ya siasa inavyoendelea nchini mwetu....hivi hii serikali mpya mbona wengi hatuoni mabadiliko?ni kama tumewekewa mvinyo wa 1960 katika chupa mpya?viongozi wenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiifupi na Kihistoria mji wa Mtwara ni mji wa mwambao ambao upo kusini mwa Tanzania yetu ambao kipindi cha ukoloni ulikaliwa na waarabu toka mashariki ya kati, ni mji ambao unajulikana kihistoria...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kwanza tuomba kuwasalimia Watanzania wenzangu! Kwa kweli, naomba niyaseme yaliyomo moyoni mwaka maana nchi yetu inapelekwa kubaya. Nakumbuka enzi hizo za utawala wa mzee Mwinyi kuna mambo yalitaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakati wananchi wana mategemeo labda mbunge wao atakuwepo kwenye baraza jipya la mawaziri sisi wa korogwe vijijini hatuna chetu mbunge wetu ni mbumbumbu ile mbaya wala hajui kilicho mpeleka bungeni
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Naomba uliza wana forum huyu mchawi wa ccm ameumbuka au bado uchaguzi hautafanyika bongo?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Prof Mnyaa aligombea jimbo la Mkanyageni akashindwa na Mohamed Habib Mnyaa - CUF (jana alijitoa kuwania Unaibu Spika kumpisha mgombea wa CCM) Hi ni hatari kweli hakuna watu wengine hadi wana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wakati wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Mpanda Mjini wakifurahia matokea ya ushindi wa ubunge, Said...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natoa azimio kuwa mwaka 2015 nagombea jimbo la Rorya kupitia tiketi ya CHADEMA ,kwani nia ninayo na uwezo pia ninao .Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa JF wote.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Thumb up guys for the standpoint on what you think its right. Tuko pamoja nanyi on this ila muendelee hivyohivyo na msimamo msije mkapewa vikamati huko bungeni mkasahau kilichowapeleka kwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
bunge la mwaka huu likiongozwa na mwanamke tegemea kusikia maneno ya kitchen party bungeni kama!!!!!!!!! "muheshimiwa waziri heshima yako inashuka" "muheshimiwa mbunge limekuganda" "muheshimiwa...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Wapendwa Maprofessor na Wasomi wa Vyuo Vikuu Acheni kugombea kwa tiketi ya CCM. Iga mfano wa Professor Baregu, Dr.Mbassa, Professor Kahigi, Profeesor Mlambiti na wengine wenye mapenzi kwa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kitendo cha mbowe kukaa kimya taratibu za bunge zikikiukwa kama serial nos ktk balot paper mpaka mh.lissu na mh.mnyika kusimama inaonyesha udhaifu wake mapema na kutojua yuko pale kufanyanini...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
……Nchi yangu Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote…. Waungwana kwa kusema ukweli hakuna kitu kinanikera kama hizi siasa za sasa hivi za majitaka. Achana na mengine mengi ila huu udini huu ndio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati akitoa hotuba yake fupi ya kuwashukuru wabunge kwa kumpitisha kuwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda aliendeleza kauli yake maarufu kwamba yeye ni mtoto wa mkulima. Nimekuwa nijiuliza mara...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Thinkers, Nimeshuhudia thread nyingi zikitafakari mwenendo spika Anne Makinda utakavyokuwa na hakika wasiwasi ni mwingi kama ilivyo kawaida kwa kitu kipya. Wapo wanaolalamika tu kama vile...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama ni kweli msimamo wa chama kuwa hamtambui Rais, JK basi lazima mfuate yafuatayo: 1. Wabunge wenu wasipige kura ya kuridhia jina la waziri mkuu leo hii, watoke nje ya ukumbi wa Bunge (kuinuka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Lisu na Mnyika wameanza kwa haraka na kasi kubwa mno. Watadhitiwa hata kabla ya kazi yenyewe. Wasome vizuri namna ya kufanya mashambulizi hasa kwa kupitia Spika M/ke ambaye hatakubali hata km...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nilikuwa kwenye show inaitwa 'mtikisiko' uwanja wa Samora Iringa. Kulikuwa na wasanii wengi maarufu wa ndani na nje ya nchi wakitumbiza kama Radio na mwenzake, Chege, Juma Nature, Barnabas...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom