Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Leo wakti nasikiliza vichwa vya habari vya magazeti nikasikia Gazeti la Uhuru linasema,"TUNDU LISSU ASHUSHULIWA''. Gazeti la Mwananchi likajinadi kwa kichwa cha habari ''TUNDU LISSU NA MNYIKA...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Huwa sisomi gazeti la HabariLeo, kwa sababu limegeuka kuwa la udaku. Je, huu ni mgao au? Ni mikoa gani hiyo?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Meghji: I was duped by governor Ballali -Minister comes clean on Kagoda Agriculture Limited payments saga THISDAY REPORTER Dar es Salaam THE Minister for Finance, Ms Zakia Meghji...
0 Reactions
352 Replies
36K Views
Tetesi kutoka kwa watu wa karibu na JK, baada ya kuwateua Zakia Meghji na Shamsi Vuai pia jina la LAWRENCE MARSHA limo kwenye list ya wabunge 10 wakuteuliwa
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Jana kwenye hotuba yake ya kulishukuru Bunge, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda alitoa changa moto ambayo alidai ndiyo yenye uwezekano mkubwa wa kumkomboa mkulima, mfugaji na mvuvi mdogo mdogo hapa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
CHADEMA imekonga mioyo ya Watanzania Barnabas Lugwisha HAKUNA ubishi kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetokea kuwa kipenzi cha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 16/11/2010 YAH: BARAZA KIVULI LA CHADEMA NDANI YA BUNGE NI BATILI HALINA SURA YA MUUNGANO Ndugu Waandishi wa habari, Napenda kuwaeleza kwamba sura ya...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Chama cha Cuf kimekufa,kimezikwa,kaburi lake lipo zanzibar,yatima wamebaki bara wakifarijiwa na chama chama cha majambazi.Hiki ndicho kinachooneka dhahiri baada ya uchaguzi na kinachoendelea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
JK amewateua wabunge 3 kati ya 10 aliyopewa kikatiba.Ktk uteuzi huo yumo shamsi vuai nahodha na zakia meghji.SOURCE tbc taifa.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wajameni, Nakusudia kugombea ubunge Sikonge kupitia CHADEMA 2015.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
UTATA katika ujumlishaji matokeo ya kura umezidi kuongezeka baada ya matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa Jimbo la Vunjo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kutofautiana na yaliyotangazwa awali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani zanzibar ina watu mil 1.xx inakuwaje baraza la mawaziri linakuwa kubw sana. Kweli tunataka maendeleo au kupeana ajira tu?? CUF kwa nini msingekataa, Elimu na afya zanzibar bado sana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana kuna rafiki yangu aliniuliza swali dogo nikatumia muda mrefu kulijibu huku nikitoa maelezo meeengi ..naomba tu share majibu yetu jamani.....swali ni hivi uchaguzi wa 2010 tumejifunza kitu...
0 Reactions
3 Replies
849 Views
1). Tunaelekea wapi kutokea hapa? 2). Lazima kiukweli na kwa makusudi kabisa kwanza tujitambue tuko wapi kwa sasa? 3). Maana vitu na huduma nzuri wanazo watawala,wafanya biashara na wezi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna tabia ambayo inaanza kujengeka katika siasa za Afrika ambapo majeshi na vyombo vyetu vya usalama vinatumiwa na vyama tawala kuhakikisha kuwa vyama hivyo vinabaki madarakani, hii ni tofauti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuanzia kuchagua spika, waziri mkuu, na naibu spika imekuwa dhahiri kwamba chadema ndicho chama pekee cha upinzani bungeni. Waliobakia wote ni chama tawala na matawi yake. Ndiyo maana pia sioni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style. 2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
samahan wana JF mimi sio mwanasheria na hata mwanasiasa.... (nikikosea nikosoeni nitafurahi, nina diploma ya ualimu na digrii ya uhsibu na fedha) Kuna majimbo kadhaa ambapo hadi leo hakuna...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hivi watu wazima mnapigwa changa la macho hivi hivi..............! NA Wamatumbi..!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom