Naona Bunge letu bado wanatumia system ya kupiga kura kwa karatasi. Kwa ufanisi zaidi ingefaa kama wangeanzisha system ya electronic voting ambapo kila mbunge anapiga kura kwa kubonyeza button.
Mimi ni mmoja wa wafuasi wa kupigania haki za wanyonge na kupambana na ufisadi Tanzania.>nilifurahishwa sana na Bunge lililopita na jinsi lilivyoendeshwa. Lakini kinachonikwaza mpaka leo ni namna...
- Wakuu heshima mbele sana, naomba kuuliza vipi mgombea wa Chadema kule Bukoba, ambaye pia huko nyuma aliwahi kuwa mbunge, na pia aligombea tena mwaka huu kupitia Chadema Ndg. Rwakatare, mbona...
Tumeona juzi Dr Shain Rais wa Zanzibar akichagua baraza la mawaziri litakalo msaidia kwakipindi cha miaka 5!Katika uteuzi huo umeenda sambamba na kuteua viongozi toka chama cha upinzani...
Jenerali Ulimwengu: "Hakuna Siasa; Itikadi Bali Longolongo Za Maslahi Binafsi
'Our politics' is shorn of politics, we need to go back and start from the beginning
How I wish we could go back...
Wadau naomba maoni yenu. Mimi naona Mizengo Pinda hatarudi tena kuwa waziri mkuu bali kundi la mafisadi wataingia sawa sawa kuchukua nchi na kufanya wakalo knowing ni kipindi cha mwisho cha Mkubwa wao
Leo hakika hamad rashid amethibitika kuwa mnafiki.anataka kuungana na mrema? Anabeza kitendo cha kutotambua rais,hajui ni vipi lipumba kamzidi seif kura zbar? Jbu lipo kwenye muafaka wa kifisadi...
Kutokana na wizara nyingi kuwa na mwingiliano wa kimajukumu na kusababisha gharama kubwa zisizo za lazima wala tija kwa watanzania, natamani wizara hizo zivunjwe kabisa au ziunganishwe na wizara...
Rostam Aziz amejitetea huku akimnyanyapaa Dr. Slaa kuwa ni mzushi na anazeeka vibaya lakini utetezi wake Bwana Rostam ya kuwa alikuwa Afrika ya Kusini wakati tarehe za hicho kikao cha kupanga...
Kwenye CCM ya Nyerere, ushindi huu mdogo wa CCM .ungesababisha baadhi ya watu kuwajibika ili kuleta heshima mbele ya jamii. Lakini kwa UONGOZI WA SASA WA CCM hilo ni gumu kufanyika, labda kutokana...
Aliyemtusi JK mbaroni
LABDA WATU HAWAJUI METHALI...
"""POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imemtia mbaroni mgombea ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya CHADEMA, Dickson Nghili, kwa tuhuma...
1. Serikali Kuu, Chini ya Rais
2. Mahakama Chini ya Jaji Mkuu
3. Bunge Chini ya Spika
Je kuna implication gani kama chama cha siasa chenye viti bungeni kikikataa kumkubali au kumtambua Rais...
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ina matoleo mengi mpaka sasa. Kwenye duka la serikali wanauza toleo la mwaka 2005 (Kiswahili) kwenye tovuti ya serikali kuna toleo la mwaka 2000...
Ndugu wana JF pamoja na kujua kuwa kuna watu wangependa muungano wa Tanganyika na Zanzibar uendelee kuwepo nimeona nilete hii mada hapa ili nipate mawazo ya wadau wa JF juu ya muungano huu amabao...
Wana JF na watu wote wenye mapenzi mema na Tanzania, naomba mnijulishe ni nini tunaweza kufanya kama week ijayo Rais akimteua mshikaji wake E Lowasa kuwa Waziri Mkuu. Au je katiba ya nchi...
Wakuu,
Kadiri siku zinavyokwenda ndivyo idadi ya watumiaji na watembeleaji wa mtandao huu wanavyoongezeka. Tungependa kutoa ufafanuzi juu ya mambo kadhaa ambayo watumiaji wa mtandao huu...
NDUGU WANA JF MIMI BADO NAJIULIZA KILA SIKU IENDAYO KWA MUNGU,KUWA KWANINI TUNA SELIKARI YA MUUNGANO NA SELIKARI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI? KWANI MUUNGANO ULIHUSISHA NCHI NGAPI MPAKA SASA LEO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.